Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,906
Unaweka katika uchi ama sijaelewa?
Sio za kumeza?
Mungu anawaona!!!shoga unameza nyingine unaweka chini!!!kama vile vidonge vya fangasi!!!
Unaweka katika uchi ama sijaelewa?
Sio za kumeza?
Mungu anawaona!!!shoga unameza nyingine unaweka chini!!!kama vile vidonge vya fangasi!!!
Joanah anataka ujuzi nimecheka sana na swali lake tena amemaanishaHahaa...Cheka shoga angu acha kabisaa
!!!shoga unameza nyingine unaweka chini!!!kama vile vidonge vya fangasi!!!
Hahahahh kweli nimeyapata maujuziMie nimecheka na swali lako ujue acha akupe maujuzi
Bora ya kutumia zana kuliko ile kiumbe kimenasa live halafu mnakipanchi!!!Mkuu kuua ni kuua tu sio lazima kawe ka-embroy or zygote ndo ihesabiwe umeua. Kumwaga manii/shahawa chini au kwenye kondom nayo ni kuua pia. Kwenye hili dawa ni kusoma kalenda vizuri basi


kalenda wanaume hawawezi jamani!!!Sijawahi kupima fangus 😟😟Hata vya fangasi vilee!!!![]()
Kalenda haifai watu woteMkuu kuua ni kuua tu sio lazima kawe ka-embroy or zygote ndo ihesabiwe umeua. Kumwaga manii/shahawa chini au kwenye kondom nayo ni kuua pia. Kwenye hili dawa ni kusoma kalenda vizuri basi
Aiseee!Haaa!!hongera aseehh!sasa vidonge vinawekwa huko chini kabisaa!!!Ndo miso inaenda huko kubomoa ukuta wa uzazi!!!
sasa hivi je?
Ili iweje uzae na utoemaana sasa hivi utachambwaa