makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,754
- 103,692
Mie sikupingi wala sikuungi mkono, just nitachangia mkasa ambao unaendana na huu uzi..
Niliingia duka la madawa nikamkuta mdada anaulizia huyo dada ni shemeji yangu mke wa rafiki yangu yeye hakunijua japo mimi namjua fika, nilikuwa namfahamu kabla hata siku ya harusi yao nilihudhuria ila hakunikariri Labda sababu ya watu wengi na kipindi hicho nilikuwa na mambo ya shule so sikupata nafasi ya kuwatembelea kwao mara kwa mara zaidi ya kuwasiliana na jamaa yangu tu na nikirudi mtaani tunaonana maskani bila kufika kwake
Basi nikamkuta bibie anaagiza miso zake na kwa maongezi yaliyokuwa yanaendelea ni kwamba mtumiaji ni yeye, tena wakati huo najua jamaa yangu amesafiri kikazi kwa takribani miezi mi5 hv.. Nikatabasamu moyoni nikakumbuka mstari wa prof j katika bongo daresalaam, mambo ya kuuziana cheni bandia kwa pesa bandia, wakat bibie anatoa mimba tayar jamaa nae kaishatia mimba nje wanawake wawili tofauti bibie hana taarifa, huku bibie anatoa mimba kumficha mume
Mpaka leo familia yao haijajaaliwa mtoto japo jamaa yangu ana watoto wa 4 wa nje ya ndoa bila mke kujua, mmoja alifukuzwa kwao so kesi ndio ikafika nyumbani kwa mke akizaliwa huyu anakuwa mtoto wa 5 kwa jamaa, mke nae alishazaa mara 2 huko nyuma kabla hajaolewa na mchizi, wanadunda mpaka leo japo hii mimba ya 5 ilitaka kuharibu kila kitu, japo sasa hivi limeisha, na ukiwaona hiv wanaonekana wanaishi kwa amani huwez jua km bibi mafia bwana yakuza.
Niliingia duka la madawa nikamkuta mdada anaulizia huyo dada ni shemeji yangu mke wa rafiki yangu yeye hakunijua japo mimi namjua fika, nilikuwa namfahamu kabla hata siku ya harusi yao nilihudhuria ila hakunikariri Labda sababu ya watu wengi na kipindi hicho nilikuwa na mambo ya shule so sikupata nafasi ya kuwatembelea kwao mara kwa mara zaidi ya kuwasiliana na jamaa yangu tu na nikirudi mtaani tunaonana maskani bila kufika kwake
Basi nikamkuta bibie anaagiza miso zake na kwa maongezi yaliyokuwa yanaendelea ni kwamba mtumiaji ni yeye, tena wakati huo najua jamaa yangu amesafiri kikazi kwa takribani miezi mi5 hv.. Nikatabasamu moyoni nikakumbuka mstari wa prof j katika bongo daresalaam, mambo ya kuuziana cheni bandia kwa pesa bandia, wakat bibie anatoa mimba tayar jamaa nae kaishatia mimba nje wanawake wawili tofauti bibie hana taarifa, huku bibie anatoa mimba kumficha mume
Mpaka leo familia yao haijajaaliwa mtoto japo jamaa yangu ana watoto wa 4 wa nje ya ndoa bila mke kujua, mmoja alifukuzwa kwao so kesi ndio ikafika nyumbani kwa mke akizaliwa huyu anakuwa mtoto wa 5 kwa jamaa, mke nae alishazaa mara 2 huko nyuma kabla hajaolewa na mchizi, wanadunda mpaka leo japo hii mimba ya 5 ilitaka kuharibu kila kitu, japo sasa hivi limeisha, na ukiwaona hiv wanaonekana wanaishi kwa amani huwez jua km bibi mafia bwana yakuza.
