Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Siku moja niliskiza mawaidha ya Waislam kuhusu kujikinga na mimba. Shekhe akasema waislam wanaruhusiwa kumwaga nje. Na karuhusu Mtume (S.A.W). Watu wake mtume wakauliza, sasa mkuu huoni hiyo ni kama uuwaji. Akawajibu....huo sio uuwaji, kimsingi wewe huwezi kuzuia kitu alichopanga Mungu kizaliwe. Hapa ndio nikagundua kuna mimba huwa zinatolewa na zinagoma.
Ila hawaruhusiwi kutoa mimba iliyokwisha tungwa.

Kwa style hii, kama umetiana leo na mumeo na unahisi huenda ukatungisha mimba kuna vidonge ukimeza mimba haitungi....hii inafaa zaidi kuliko kutoa mimba iliyokwisha tungwa. Hayo ni maoni yangu.
Hahaaa...mdah!ahsante kwa maoni
 
Veeeeeery true, kuna dada yeye hata mtoto hakuwa mdogo ila alipoconcive mumewe akamwambia atoe as hayupo tayari kupata mtoto mwingine kwa wakati huo as ana mambo mengi ya kufanya. Bibie akakomaa akagoma kutoa, mtafaruku ulikuwa mkubwa hadi binti akarudi kwao kwa muda. Ila alikomaa hadi akajifungua, baadae akarudi kwa mumewe.

Mimba zinachoropolewa sanaaa na walio ndoani i think kuliko hata ambao hawako ndoani.
Tena wanaume ndo wanaongoza kushawishi wake zao watoe mimba haswaa wakiwa hawako tayari kulea
 
Hahahah unichape matukio gani?kuchepuka?I know men cheat all the time na Wala sijishughulishi kumfatilia mtu niliyekutana naye ukubwani.point is nasex napokuwa safe tu kwani sex ni starehe na idadi ya watoto napanga mie Kama mama full stop.
Safi kabisaa
 
Iwe kwa kushawishiwa au kwa siri mwenye kuamua kabisa mtoto azaliwe ama auliwe ni mwanamke labda iwe vinginevyo km mimba kuhatarisha uhai au bahati mbaya nk
Kabisaa dear mfano Mimi nikisema nalea wala hawezi nizuia...mfano espy katoa hapo binti aligoma mume mpk kamrudisha kwao
 
Seriously???
.
IMG_20190428_162838_397.jpeg
 
Kuna mda mme hataki mtoto mke anataka hapo tifu linaanza
Yeah, mkishakuwa kwenye ndoa suala la ujauzito halina umimi tena, ndio maana hata kupata ushauri ni lazima muwe wote ili kujua athari za kile mnachotaka kufanya.
 
Wanaume ni kama vinyonga unamkubalia unaitoa,,,, siku mkitaka mtoto ukamkosa ndipo utaona rangi zake zote

Mi ndiye mwamuzi na mwili wangu ikiingia nitazaa sitaki kusikia habari za abortion
Kabisaa dear mfano Mimi nikisema nalea wala hawezi nizuia...mfano espy katoa hapo binti aligoma mume mpk kamrudisha kwao
 
Back
Top Bottom