Na walikuwa wanapishana miaka miwili?We umekuja na jambo lako nje ya mada
Zamani hujiulizi kwanini mtu anazaa watoto 12
Eeehhh!!!mjini hapa uko dunia gani mdogo wangu!???
Hizo dhambi za kuua Nani atawapokea!?Wanapishana minne mpk 7 na kuua juu!!
Sio kweli zamani walizaa sana mana ujuzi ulikua mdogo..wapi mtu aende kufanya panga uzazi?..Na walikuwa wanapishana miaka miwili?
Au mitatu kabisa!?
Siku hizi watoto wenu wanapishana miaka mingapi na Bado mnaua wengine?



pole mpenzi wangu...!!!zinatoka hata na antibiotics km Doxy,blufeni (juzi hapa mdogo wangu amepata miscarriage alikunywa blufen hakujua kama ana mimba)
Nipo dunia hii hii ila hayo nilikuwa siyajui
Mie najuaga kutoa mimba unaenda hospitali
Hapa mnatulaumu wanaume bure, mtu mwenye maamuzi ya mwisho kujilinda ni mwanamke, tatizo wanawake kwa asilimia kubwa wanapenda uji wa moto unavyomiminika kwa bibi, sasa ukivaa utasikia mara fangasi, inanichubua, sijakojoa ilimradi iwe kero tu kwa mvaaji.Bora ya kutumia zana kuliko ile kiumbe kimenasa live halafu mnakipanchi!!!kalenda wanaume hawawezi jamani!!!
Nilisikia na majani ya chai yakizidi inatoapole mpenzi wangu...!!!zinatoka hata na antibiotics km Doxy,blufeni (juzi hapa mdogo wangu amepata miscarriage alikunywa blufen hakujua kama ana mimba)
Hapa mnatulaumu wanaume bure, mtu mwenye maamuzi ya mwisho kujilinda ni mwanamke, tatizo wanawake kwa asilimia kubwa wanapenda uji wa moto unavyomiminika kwa bibi, sasa ukivaa utasikia mara fangasi, inanichubua, sijakojoa ilimradi iwe kero tu kwa mvaaji.
Matokeo yake mimba
Hahaha siku za hatari muwe makini hata na mavazi na mikao yenu, sio unanivalia kimini, unakaa unaniachia upaja, unanigusagusa na hilo joto la danger days.. hivi nitakuachaje unadhani?Hahaaa!!!lakini tukiwaambia siku za hatari hamuelewi mnataka tu kavu mwisho tunajikuta tunaconcive bila kutarajia!!!na hamuelewi nyie kichwa cha chini kikishasimamaa


Eeehh!!majani ya chai,mwarobaini mpk Mseto wa malaria
Hahaha siku za hatari muwe makini hata na mavazi na mikao yenu, sio unanivalia kimini, unakaa unaniachia upaja, unanigusagusa na hilo joto la danger days.. hivi nitakuachaje unadhani?
Bora mtukimbie![]()


na siku za hatari ndo mwili wa mwanamke unahitaji vibaya mnooo yaani tabu tupu!!cha msingi kutumia tu zana!!na ninyi msiwe wabishi tukiomba mvae mipira
Basi mimba ina masharti!hapo mtu ukiipata unatakiwa usitumie dawa bila kuuliza daktari