Lloyd Munroe
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,336
- 35,701
We fala uwe na akili.Unapenda sana sifa na uzushi wako hapa na Milamli yako ya kijinga jinga tu
We fala uwe na akili.Unapenda sana sifa na uzushi wako hapa na Milamli yako ya kijinga jinga tu
SwadaktaNani alikudanganya kuwa dola ndiyo yenye nguvu? Hakuna wa kuzuia wananchi kama wataamua kwa umoja wao. Duniani kote hakuna sehemu ambayo dola ilishinda wananchi. Ni suala la muda tu. Yes, wanaweza kuua wachache lakini mwisho ni kushindwa. Hii Tanzania unayoiona sasa hivi hata kama utaogopa kusimamia haki lakini kuna siku litakufika la kukufika.
Mkuu Muuza Kangala, asante kuni tag
Mkuu britanicca , asante kwa kumpa jamaa yetu angalizo hili muhimu, ila tulifunzwa "alaaniwe amtegemeaye mwanadamu", ulinzi wa Heche, utatoka kwake YEYE mwenyewe!. Wale watu wa kufanya yao, wakiamua kufanya yao, hakuna mtu wa kuzuia, isipokuwa YEYE pekee!.Nakuombeni sana mlio karibu na Heche!!!!
Britanicca
Maana yako ya dola ni potofu.Utamlindaje mbele ya dola? Dola iogope kama ukoma hata kama ni ya watoto ili mradi iitwe dola.
Nipo nacheka huku nakula Gilbey gin.Mkuu Muuza Kangala, asante kuni tag
Mkuu britanicca , asante kwa kumpa jamaa yetu angalizo hili muhimu, ila tulifunzwa "alaaniwe amtegemeaye mwanadamu", ulinzi wa Heche, utatoka kwake YEYE mwenyewe!. Wale watu wa kufanya yao, wakiamua kufanya yao, hakuna mtu wa kuzuia, isipokuwa YEYE pekee!.
P
Naona vituo vya mwendokas I wamemwagwa polisi wa kutoshaKwahiyo unataka kusema operation heche inahusiana na umeme kukatwa nchi nzima muda huu!!?ama!!?
Huna baya ulitoa tahadhali dereva amekufa na siri angekutwa Hai angesimulia kilichomsibu mpaka kupelekea umauiti
Huyu Britanica atakuwa na data sahihi. Tayari wamepita na dreva wa Heche. Inavyoonekana ni direct warning kwa Heche. Siasa za majitakaMkuu Muuza Kangala, asante kuni tag
Mkuu britanicca , asante kwa kumpa jamaa yetu angalizo hili muhimu, ila tulifunzwa "alaaniwe amtegemeaye mwanadamu", ulinzi wa Heche, utatoka kwake YEYE mwenyewe!. Wale watu wa kufanya yao, wakiamua kufanya yao, hakuna mtu wa kuzuia, isipokuwa YEYE pekee!.
P
Watu wanapotea na kuuwawa wewe umebaki kucheka cheka tu humu bila aibu kisa kiburi cha uzima😡😡😡😡Nipo nacheka huku nakula Gilbey gin.
Hivi unavyosema ni AI, kwani wewe hukutiki? Acha hizo bhana weee.....Ile 97.6 ya kura milioni 32 ilitokana na AI. Tukija kwenye uhalisia, hata 10% ya kura zote wasingepata.