Walio karibu na Heche mlindeni sana

Walio karibu na Heche mlindeni sana

Nakuombeni sana mlio karibu na Heche!!!!

Britanicca
Heche inambidi atembee na kikundi chake chenye ulinzi mkali. Hakuna kuchukuana kiboya tena. Serikali imesharuhusu watu kuwa na vikundi kama "mbwa mwitu" so,kwa mtu akitekwa kiboya utakuwa uzembe wake!
 
Acheni kuleta taharuki za kishamba, huyo boya kama dola ikimuhitaji kweli basi inamchukua mchana kweupee mbele yenu na hakuna kenge yeyote wa kufanya chochote.
 
Nakuombeni sana mlio karibu na Heche!!!!

Britanicca
Walishindwa kumlinda Lissu Sasa ana mwaka anashughulika na mtondoo, seuse Heche! Anachotakiwa kujua Heche ni kuwa akikamatwa HAKUNA wa kumsaidia. Ajifunze kwa Lissu. Familia inahangaika Ulaya huko na wabongo waliomchochea wala hawana habari nae tena!
 
We unapigwa MITI
Huyu jamaa ni mpumbavu. Na mwenye akili uki- interact na mpumbavu, siku zote hudhani ana akili kama ndiyo maana umevutiwa naye. Njia sahihi ni kutowajibu kwa lolote na ikiwezekana waweke kwenye ignore list. Wakikosa attention watajua watu wamedharau na watabadilika.
 
Acheni kuleta taharuki za kishamba, huyo boya kama dola ikimuhitaji kweli basi inamchukua mchana kweupee mbele yenu na hakuna kenge yeyote wa kufanya chochote.
Mlisema hivyohivyo kuhusu Lissu na kila anayejataa kununulika mnakuwa mnamtafutia sababu ya kutunga ili mumtafute, hilo li-Samia limebinywa internationally hivyo pasina ka-excuse ka kuzugia wanaogopa the international backlash ndiyo maana kila anapoenda wanamuandama firstly kumu-intimidate na secondly wameshaelekezwa kuwa wakiamrishwa(wakishurutishwa) kumkamata isiwe tena kuanza kumtafuta.
 
Hili lipo wazi.
Hawa waovu sasa hivi wapo 'desperate' sana, watafanya lolote wakidhani ndilo litawasalimisha.

CHADEMA sasa hivi ni muhimu kabisa wawe waangalifu zaidi kuliko wakati mwingine wowote.
Utamlindaje mbele ya dola? Dola iogope kama ukoma hata kama ni ya watoto ili mradi iitwe dola.
 
Sina hakika kama wanamdhuru ila yote yote yanawezekana, cdm mlindeni kiongozi wenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom