Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
AkhsantePoleni sana

AkhsantePoleni sana

Sasa vitu vingine kulalamika Sana sio solutions serikali ishakata panga na hyo hela ni mkopo, kikubwa nikukubaliana na haliHuyo ni wewe na hao
Kuna watu bila Hilo boom hawaishi na kumbuka mtu akizoea kupata Hilo boom anaweka Kama chanzo namba moja cha uchumi Kwa sababu ndio kazi yake kutumika chuoni na ndio chanzo anachoamini ni cha uhakika
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kulalamika ni njia ya kupunguza hisia Kali ambazo ni hatari Kwa Afya ya akiliSasa vitu vingine kulalamika Sana sio solutions serikali ishakata panga na hyo hela ni mkopo, kikubwa nikukubaliana na hali
Hoja yako hai-make sense.Sasa vitu vingine kulalamika Sana sio solutions serikali ishakata panga na hyo hela ni mkopo, kikubwa nikukubaliana na hali
Haya wadai basi wapate hyo hela maana mda unaisha huoHoja yako hai-make sense.
Kwahiyo wasilalamike pesa yao itarudishwa bila kulalamika bodi nikawaida kuleta pesa missallocated njia ambayo wanafunzi wanatumia ni malalamiko mpaka Heslb yenyewe kuna Form kwaajiri ya wanafunzi ambao wanaona sehemu haiko sawa.
Elewa 'kulalamika' ni njia inayotambilika sisi tushwai punguziwa 200,000 tuliifatilia sana ikarejeshwa tungekaa kimya je.
Mimi sijazuia mtu kulalamika ni maoni yangu tu kuhusu hili swala Wala haihusiki na kunyimana Uhuru wowoteKulalamika ni njia ya kupunguza hisia Kali ambazo ni hatari Kwa Afya ya akili
Usimzuie mtu kulalamika hata wewe Leo mwanao akilalamika muache usimzuie na hasa zaidi Kama ana hoja ila muangalie awe na mipaka
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Boss maisha ya hostel Ni magumu kuliko ya njeShida unaishi chuoni hafu unapanga ka mfanyakazi kwa kutegemea boom, badala mubaki hostel Tena sikuhizi Kuna Magufuli hostel hazijajaa, hyo hela ya kuishi kitaa Bora uhifadhi ufanyie ujasiriamali
Boss maisha ya hostel Ni magumu kuliko ya nje
Hostel huwa cheap Sana tofauti na kujitesa kupanga, Kodi ya nyumba, umeme, maji, bado vitu vya ndani ukitulia hostel unaweza ku save vizuri tu, kaa kitaa ukiwa na kipato, hyo hela ya Kodi Bora kuanza ujasiriamali maana maisha after chuo ni msiba mzitoBoss maisha ya hostel Ni magumu kuliko ya nje
magumu kivipi fafanua,Boss maisha ya hostel Ni magumu kuliko ya nje
Chumba cha 30,000 mnachangia watu watatu. Hicho n kipind cha mpito mnapita mnasonga na maisha yenu. Au unataka ukae peke yako ili utafune dada zetu vizuri



Daah hapo mwishoni,watu mnamajibuhapo kaongopa nasubiri elezee, kupanga nje ya hostel ikiwa access ya hostel za chuo unayo hapo umeamua mwenyewe kujipa gharama usilaumu mtu.Hostel huwa cheap Sana tofauti na kujitesa kupanga, Kodi ya nyumba, umeme, maji, bado vitu vya ndani ukitulia hostel unaweza ku save vizuri tu, kaa kitaa ukiwa na kipato, hyo hela ya Kodi Bora kuanza ujasiriamali maana maisha after chuo ni msiba mzito
Si ulishakula ya boom advance sasa unalilia nn?Jamani kwa kilichotokea Leo kutoka kwa Loan board siyo kitu cha kiungwana kwa watoto wa masikini Kama Mimi. Em fikiria nimepewa 306000 hapo crdb hawajakata chao.
Madeni ni Kama ifuatavyo
Ada -250000
Kodi ya nyumba - 120000
Boom advance - 124000 hivi kweli hapa nitamaliza chuo Mimi. Si bora niache tu?
Huko vyuoni pamejaa vijana watiifu wa ccm kila siku wanafanya makongamano ya kuunga mkono juhudi, naamini wao hili halikuwapata.

Mimi sisomi chuo ila nilikuwa mnufaika. Unakopeshwa kwa siku unazosoma chuo, hata sisi kuna vyuo vingine walikuwa wanapata tofauti kidogo kulingana na siku wanasoma. Swali ni je wakipiga hesabu ya kiasi x siku za masomo, pesa ni pungufu? Kama ni pungufu wakadai, lakini kama iko sawa, wanataka zaidi ya nini? Hii ni bodi ya mikopo ya elimu sio mambo mengine.Mbona Kuna vyuo wamepewa 163,000
Shida ipo kwenye kumaliza ada mkuu, hatuhitaji pesa ya kula Bata wala nnMimi sisomi chuo ila nilikuwa mnufaika. Unakopeshwa kwa siku unazosoma chuo, hata sisi kuna vyuo vingine walikuwa wanapata tofauti kidogo kulingana na siku wanasoma. Swali ni je wakipiga hesabu ya kiasi x siku za masomo, pesa ni pungufu? Kama ni pungufu wakadai, lakini kama iko sawa, wanataka zaidi ya nini? Hii ni bodi ya mikopo ya elimu sio mambo mengine.
Ah ah alafu siku zinavyo zid kupungua pesa ndo inapunguaOmbeni Mungu isiwe Laki kama mzumbe![]()



