Katalama
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 855
- 1,481
Unaweza kuta mtoa mada ni jamaa muuza maandazi amenunua vocha baada ya kupata faida
Nyie madogo! Acheni kujichetua kwenye mambo ya msingi.Mkuu mbona unatufokea sasa, wby?
Unaweza kuta mtoa mada ni jamaa muuza maandazi amenunua vocha baada ya kupata faida
Nyie madogo! Acheni kujichetua kwenye mambo ya msingi.Mkuu mbona unatufokea sasa, wby?
Kauri kama hizi wanatoaga wale wanaotumiwa pesa na wazazi wakiwa chuo, thamani ya mkopo chuoni ni ×100 zaidi hata ukiulipa mpaka unakufa kwa watoto wakimaskini ndio wanaelewa hilo.Huo mkopo mnavyo ulilia subirni muingie job ndo mtajua hamjui





Wanazidi kutunyonga wanyongeCCM wakati mwingine sijui huwa hawafikirii. Utafanyeje madudu haya wakati wa uchaguzi mkuu? Ni kujiongezea liability tu kwa wapiga kura bila sababu ya msingi halafu utasikia ooh serikali ya wanyonge. Wanyonge mai futi![]()







Yaani Hslb inanyanyasa Sana wanafunzi na hizo hela utadhani siyo mkopo.Hii post nataka ibaki hapa hapa jukwaa la siasa maana inahusu mustakabali wa vijana wetu ambao wapo vyuoni
Nimeliona hili bandiko
Kesho nitakunywa sumu
Nimeshangazwa na kitendo cha bodi ya mikopo kuwapunja wanafunzi pesa yao ya kujikimu kwa madai ya muda wa masomo vyuoni ni mdogo kinyume na mkataba huu ni upumbavu wa hali ya juu
Nitashangaa sana kusikia kwamba bodi ya mikopo wametumwa na Rais au hata waziri kufanya hilo kwa wanafunzi
Pesa ya kujikimu vyuoni huwa ni laki 530000 wanapewa, lakini wamepewa laki mbili tu huku marejesho wakija kutakiwa kurejesha laki 530000 hiyo hiyo.
Loan board wamegeuka wabinafsi, watu wenye mihemko na wasiojali wanafunzi ambao wengi ni maskini
Inashangaza sana na kusikitisha sana kwamba mpaka dakika hii wahusika wapo ofisini na wameachwa tu na hapo ndo naanza kuamini kwamba hii ni amri kutoka ngazi za juu
Inasikitisha sana kuona hili limetokea na nikumbushe kwamba wanafunzi wa toka mwaka 2019 November hawajapewa laki mbili ya books and stationery ambayo hutolewa
Swali hizi pesa kwani ni za bure?Jibu ni kuwa wanazilipia,na kinachoshangaza ni kuwa ijapo wamepewa laki 2 na mkataba umesema ni laki 5 watakuja kulipia hiyo laki 5 yote japo walipewa laki 2
Nitashangaa sana kama loan board wanaweza kufanya maamuzi ya ajabu namna hii bila kuzingatia utashi na kanuni na wahusika wapo tu ofisini
Hao mzumbe mbeya si wanakula tuh maparachichi jero
Sasa Bora Udsm wamewaheshimu kidogo wakawapa huyo 306000.
Udom wamepewa 263500
Mzumbe ya Mbeya wamepewa 187000
Yaani kutoka laki tano Hadi laki mojaHao mzumbe mbeya si wanakula tuh maparachichi jero










Tatzo matumizi yao mabaya. Nakumbuka enzi hizo nasoma ili kupunguza matumizi watu tulichangia chumba watu wanne km njia moja wapo ya kupunguza gharama.Kwa nini ulipe kodi ya nyumba 120000
Mkuu siyo kwamba matumizi mabaya, unakutaka wakati mwingine unapanga na unaanza maisha ya kujitegemea mbona hyo Ni pesa ya kawaida sana? Au ulitaka tukae vyumba vya 5000?Tatzo matumizi yao mabaya. Nakumbuka enzi hizo nasoma ili kupunguza matumizi watu tulichangia chumba watu wanne km njia moja wapo ya kupunguza gharama.
Chumba cha 30,000 mnachangia watu watatu. Hicho n kipind cha mpito mnapita mnasonga na maisha yenu. Au unataka ukae peke yako ili utafune dada zetu vizuriMkuu siyo kwamba matumizi mabaya, unakutaka wakati mwingine unapanga na unaanza maisha ya kujitegemea mbona hyo Ni pesa ya kawaida sana? Au ulitaka tukae vyumba vya 5000?
andaa nguo chafu sasa
Sasa Bora Udsm wamewaheshimu kidogo wakawapa hiyo 306,000.
Udom wamepewa 263,500
Mzumbe ya Mbeya wamepewa 187,000
Mulikaa kwa utaratibu huo kipindi chote cha miaka mitatu chuo???Chumba cha 30,000 mnachangia watu watatu. Hicho n kipind cha mpito mnapita mnasonga na maisha yenu. Au unataka ukae peke yako ili utafune dada zetu vizuri
Kwani amesema 120,000 kodi kwa mwezi au ni kodi ya miezi kadhaa?Tatzo matumizi yao mabaya. Nakumbuka enzi hizo nasoma ili kupunguza matumizi watu tulichangia chumba watu wanne km njia moja wapo ya kupunguza gharama.
Pia tukumbukue vyumba maeneo ya karibu na vyuo bei zake hua zinakuaje.Chumba cha 30,000 mnachangia watu watatu. Hicho n kipind cha mpito mnapita mnasonga na maisha yenu. Au unataka ukae peke yako ili utafune dada zetu vizuri