dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,597
- 60,826
chagua CCM tena
Mbona Kuna vyuo wamepewa 163,000Bodi ya mkopo wanatoa pesa ya kujikimu ukiwa chuo. Ukipiga hesabu ya siku utakazokuwepo chuo kwa kiasi cha siku moja haziko sawa?
Mimi nilivojua hyo Siri nimekuwa na amani tele moyoni kujiumiza kufikiria kubadilisha Mambo yaliyo nje ya uwezo ni kujiumiza tu, best way ni ku relax na kufikiria alternative ya ku move forward kuliko kulalamikakabisa,ndio maana mimi siku hizi silalamiki sana
Acha tu kwani inakula kwa naniJamani kwa kilichotokea Leo kutoka kwa Loan board siyo kitu cha kiungwana kwa watoto wa masikini Kama Mimi. Em fikiria nimepewa 306000 hapo crdb hawajakata chao.
Madeni ni Kama ifuatavyo
Ada -250000
Kodi ya nyumba - 120000
Boom advance - 124000 hivi kweli hapa nitamaliza chuo Mimi. Si bora niache tu?
Sasa unaelewa unachosemaAcha matusi wewe kila mtu ana Hali ngumu mno Tena ngoja umalize uje kitaa ndo utalia Hilo bumu hifadhi liwe mtaji bila hivo utachizika bure
Maisha ya kitanzania mbona yanaeleweka tu vizuri Kuna wanafunzi hawana kAbisa bumu na wameridhika tu maisha yanaenda, kulalamika sio solutions mbona Kuna waraka ulitoka kuhusu hyo, Mimi mwenyewe nimekuwa mwanafunzi na Hilo bumu kwangu sikuona umuhimu wake, level nyingine nilisoma bila bumu and I survived. Kufurahia bumu ni raha siku makato yake yakianza na ajira hizi za serikali mishahara midogo tu utajutaSasa unaelewa unachosema
Mimi Niko mtaani pia
Hao wanafunzi unaelewa Hali zao?
Huo Kama ww Una faida ya kutengeneza pesa na kutumia manake ukilala njaa umezembea?
Wao hawa wanategemea kukopeshwa Kwa mujibu wa mikataba waliyoingia na bodi na wanaingia ktk madeni wakitegemea boom ili walipe waishi wengine wanategemea boom walipe Ada hiyo laki 3 au 2 itafanya yote hayo na asaliwe na pesa ya kujikimu hasa chakula ?
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Huyo ni wewe na haoMaisha ya kitanzania mbona yanaeleweka tu vizuri Kuna wanafunzi hawana kAbisa bumu na wameridhika tu maisha yanaenda, kulalamika sio solutions mbona Kuna waraka ulitoka kuhusu hyo, Mimi mwenyewe nimekuwa mwanafunzi na Hilo bumu kwangu sikuona umuhimu wake, level nyingine nilisoma bila bumu and I survived. Kufurahia bumu ni raha siku makato yake yakianza na ajira hizi za serikali mishahara midogo tu utajuta
Tulikaa miaka miwili then yupo aliyemaliza alkua mbele yetu tukapata mwingine tulioelewana mpk tukamaliza chuo vizuri tu. Tatzo lilikua kwenye exile tu huchelewi kulazwa nje siku mojamojaMulikaa kwa utaratibu huo kipindi chote cha miaka mitatu chuo???
Sawa tupige mahesabuTulikaa miaka miwili then yupo aliyemaliza alkua mbele yetu tukapata mwingine tulioelewana mpk tukamaliza chuo vizuri tu. Tatzo lilikua kwenye exile tu huchelewi kulazwa nje siku mojamoja
Poleni sanaBro acha tu
Tunatofautiana machungu tu
Matumizi mabaya sio hoja. Watu wazima na akili zao wana matumizi mabaya lakini mishahara yao ipo pale pale. Tusitafute visingizio visivyo na mbele wala nyuma. Heslb wawape hawa madogo hela zao zote.Tatzo matumizi yao mabaya. Nakumbuka enzi hizo nasoma ili kupunguza matumizi watu tulichangia chumba watu wanne km njia moja wapo ya kupunguza gharama.
Usiandike kama vile umekatwa kichwa. Unajua kuna watu wanajisomesha na hilo boom!Serikali imefanya vzr sana kupunguza hiyo hela, inawachanganya hadi mnauana.
Sent using Jamii Forums mobile app