mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Hajawahi kukosa pesa za kujenga barabara,madaraja,airport na kwny miradi ya dizaini hio anasemaga kabisaa nchi hii ni tajiri ina mafedha mengiiiiii lkn ikija kwny stahiki za wafanyakazi/wanafunzi/wakulima hapo lazima watu walizwe tu.Huyo ndio JIWE nayemjua MIMI kwenye issue za PESA yaani akishaona hela kama hiyo inaenda huku anaona kama INAPOTEA na ndio maana akasema ipunguzwe dawa yake muonyesheni kwenye sanduku la KURA!!
Sijui ana shida gani na hao watu.