Litro
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 878
- 1,748
Aya ya kwanza unasema ulioa akiwa corporate lady mwanasheria mwenye connection then badae unasema wewe ndo ulimlink na kumsomesha kitu ambacho kinapingana na mwanzo wako mkuu kwa jinsi hii shida ipo kwako ulioa pesa zake anyways inaonekana uyo manzi ni wale don care na wewe ni wale wanaojali flani pole kwa kuachikaWadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama