Tatizo ni wewe mkuu sio mkeo.

Kwa karne hii ya 21 mkuu mkeo ishi nae kama demu wako,ishi naye kama rafiki yako na usiishi na mkeo kama mke wako.

Kuishi na mkeo kama demu wako maana yake mnaweza kupiga stori za nje ya mapenzi pamoja kwa muda mrefu mkiwa katika interest moja,sio muda wote mapenzi tu,hakuna maisha ya muda wote mapenzi tu,mapenzi yana muda wake na maisha mengine yana muda wake.

Dunia ya sasa sio lazima mkeo afanye kazi za ndani yeye,unaweza kumsaidia au mkafanya pamoja au ukatafuta mfanyakazi afanye.

Sio lazima yeye apike,tafuta mfanyakazi apike yeye.

KAMA MKE ANAENDA KAZINI KAMA WEWE NA ANARUDI BAADA YA MASAA KADHAA KAMA WEWE BASI ACHA HUYO MKE AWE KAMA WEWE tu yaani asifanye kazi za nyumbani kama ambavyo wewe hufanyi unaporudi kazini.

Kusolve jambo hili ungekuwa ukirudi kazini unaanza kummotivate wewe unamuambia wife mimi nafanya kazi hizi wewe fanya kazi hii,ili aone kwamba inawezekana kurudi kazini na kufanya kazi.

KWA MAANA NYINGINE TU NI KWAMBA SIO LAZIMA MKE KUFANYA KAZI ZA NYUMBANI,KUNA KAZI MOJA YA LAZIMA TU KWAKW KUIFANYWA KUIFANYWA KUIFANYWA.
Mkuu unaishi ughaibuni?
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Hatari sana
 
Oohh kwahiyo hata mwanaume awe na kipato kidogo kuliko mkewe bado atatakiwa kusimamia majukumu yake yote like kulipa bills na kumhudumia mkewe na watoto wake? Na asiulize kabisa kipato cha mke wake kinaenda wapi right?
Ndivyo inavyotakiwa baba asimame km baba mpe baba majukumu yake,shida inaanza tunataka tujipendekeze Mara ufanye hiki,Mara kile automatically atajihis inferior tuu...labda aamue kukuomba umsaidie tena sio kila itokee kwa mwaka Mara 1 au Mara 2 hivi!
Pesa yako fanyia mambo yako au kama mnachanga hakikisha yeye amezidi kea kila hatua!!
Mfanye ajiskie baba ,ukitaka kujifanya wewe ndo mwenye uwezo Mara sijui ufanye hiki unnue kile rafiki ,mtakwaruzana tu atajiona hana thamani.

Muache Annue mpk kiberiti,hii Tabia ya kujifanya eti na miye naweza kwa kua na kazi inatugharimu then tunaonekana tuna kiburi tuna jeuri n.k..!!!
Msaidie inapobidi sio ubebe majukumu ya baba au Mme!hamtaelewna never ever....!!!!Ada wewe,pango wewe,Mara sijui kila kitu kaaah,na unamuambia kama huwezi baasi ntafanya mwenyewe...hii mbaya kabisaa ndo tunapofeli hapo!
 
Being a woman isn't easy..ukikaa nyumbani utaitwa golikipa hata ukifanya majukumu yote utatafitiwa sababu

Ukienda kutafuta 'msaidiane' ukirudi bado utatafitiwa sababu na kuonekana less of a woman, ukisema umechoka unaambiwa kipato kinakupa jeuri
Mkuu ni bothways hata mwanaume huwa lawama hazikwepeki inategemea na partner gani uliyepo nae kwa wakati huo!

Kuna wanawake tunawaplease ila hawana shukurani hata kidogo😅 matatizo yake lazma akulaumu wewe tu no matter what!
 
Huo ndio ukweli uliopo kuna wanawake wa aina mbili mama wa nyumbani na mfanyakazi ambaye naye anasukuma gurudumu la kiuchumi kwenye familia na hii imenikumbusha ushauri wa mwalimu wangu nikiwa chuo alisema kuna mambo ambayo anayafanya mke wako kama hayana madhara kwako achana nayo usiyatilie maanani sana kitu kama kufuliwa nguo na yeye, kukupikia au kukuwekea maji ya kuoga bafuni yaani anaweza kukuchotea maji yeye au binti wa kazi wewe ukabeba na kwenda nayo bafuni, kufuliwa nguo na binti wa kazi isipokuwa boxa zako is not an issue ninachomaanisha sio kila kitu ukichukulie maanani sababu unajua kabisa mnatoka wote asubuhi kwenda kazini mnarudi jioni wote kama ataweza kuingia jikoni sawa lakini kama dada kafanya kila kitu whats the problem, mimi nachozingatia kikubwa papuchi sikosi na heshima yangu kama mume na baba wa familia ipo pale pale na kweli sijawahi mpiga hata kibao sababu maudhi mengine najitahidi kuyakwepa mapema.
Hongera sana!sio hawa wa kwetu!yaani mnarudi wote yy anangalia Mpira we unaingia jikoni anataka chakula cha mkewe au mpenzi wake...!
Ila naona kawaida sana mhimu maelewano pre nuptial agreement zinasaidia sana
 
Kivipi mkuu, Mimi mwanaume anayetaka eti kubebewa ndoo bafuni sijui kupika daily na nimetoka kazini kwangu naona hafai kuwa mume, zama zimechange sikuhizi wooi
I second you. Wanawake sikuhizi wanaweka dada wa kazi training ya maana ya kupika plus usafi kila kitu. Kuingia jikoni mara moja moja especially weekend mume akiwa nyumbani. Hawafui kitu labda nguo za baba za ndani na za kwake. Bado hapo mwanaume atasema ukitoka kazini nataka kula chakula chako na maji unipelekee bafuni wakati kila kitu nyumbani kipo perfect
 
I second you. Wanawake sikuhizi wanaweka dada wa kazi training ya maana ya kupika plus usafi kila kitu. Kuingia jikoni mara moja moja especially weekend mume akiwa nyumbani. Hawafui kitu labda nguo za baba za ndani na za kwake. Bado hapo mwanaume atasema ukitoka kazini nataka kula chakula chako na maji unipelekee bafuni wakati kila kitu nyumbani kipo perfect
Alafu siku huyo dada wa nyumban akikupindua unaanzisha uzi kusema wanaume wabaya.
 
Kivipi mkuu, Mimi mwanaume anayetaka eti kubebewa ndoo bafuni sijui kupika daily na nimetoka kazini kwangu naona hafai kuwa mume, zama zimechange sikuhizi wooi
Kwahio unataka mumeo umlishege chips kila siku ambayo hutaki kupika😅!

Nakusihi jikite kwenye kuwa demu wa mtu achana na ndoa! Muwe mnakutana weekend na kulana uroda tu
 
Back
Top Bottom