Oohh kwahiyo hata mwanaume awe na kipato kidogo kuliko mkewe bado atatakiwa kusimamia majukumu yake yote like kulipa bills na kumhudumia mkewe na watoto wake? Na asiulize kabisa kipato cha mke wake kinaenda wapi right?Nataka kusema kitu kimoja
Wadogo zangu mlioolewa na msioolewa ndoa ni sacrifice kwa mwanamke!
Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke,tunafeli kutaka kua sawa na wanaume.Hiko kitu hakipo na hakitakaa kiwepo hata usome mpk wapi au uwe na mshahara billions of cash...!!!Labda uolewe na wazungu hukoo au mukubaliane kimkataba b4 hamjaona kua mtaishi kizungu zungu ila hawa wa kitanzania utaenda kazini,utarudi na utamhudumia yeye binafsi uchoke usichoke utajiju.
Ukihisi huwezi kumtake care mwanaume au unapretend ukiolewa unaonesha makucha yako mtashindwana mwisho kutafutiana lawama kuzungushana mahakamani Bure.
Kingine hakuna mwanaume anapenda mkewe amzidi kipato ikitokea ndo hvyo atakubali lakini wengi inakua shida plus mawivu na maugomvi.
So choose wisely mwenza wako,na Mungu awasimamie sana.
Ndoa ni changamoto sana,siku hizi sihukumu wanandoa mmegundua wake na waume wotee vimeo Siku hizi.
Omba Mungu mzee uwe umebahatika.Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini
Kumbuka hayo si mahusiano mapya.Kumbadilisha mtu mzima Ni kazi na swez kupoteza mda kufanya hvo.
Kwa nn nilazimishe kukaa na mtu ambae naona chemistry zinakataa.
Na ndio maana watoto wanawapenda zaidi Mama zao sababu wanajua mabaya ya baba Ila hawajui mabaya ya mama. Na tunakufa mapema.Wanaume wengi hawapendi kufunguka kuhusiana na matatizo yao ya ndoa
Sijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
Mkuu ndoa yako haiwezi vunjika sababu umejua jinsi ya kuishi na mwanamke wa hiki kizazi cha dotcom. Yani kuna vitu ni very irrelevant kwenye ndoa wanaume wanakazania wafanyiwe ilihali havina tija. Ungekua hujaoa ningekupa hata mdogo wangu maana asingeteseka na hawa wa kutaka kuabudiwaHuo ndio ukweli uliopo kuna wanawake wa aina mbili mama wa nyumbani na mfanyakazi ambaye naye anasukuma gurudumu la kiuchumi kwenye familia na hii imenikumbusha ushauri wa mwalimu wangu nikiwa chuo alisema kuna mambo ambayo anayafanya mke wako kama hayana madhara kwako achana nayo usiyatilie maanani sana kitu kama kufuliwa nguo na yeye, kukupikia au kukuwekea maji ya kuoga bafuni yaani anaweza kukuchotea maji yeye au binti wa kazi wewe ukabeba na kwenda nayo bafuni, kufuliwa nguo na binti wa kazi isipokuwa boxa zako is not an issue ninachomaanisha sio kila kitu ukichukulie maanani sababu unajua kabisa mnatoka wote asubuhi kwenda kazini mnarudi jioni wote kama ataweza kuingia jikoni sawa lakini kama dada kafanya kila kitu whats the problem, mimi nachozingatia kikubwa papuchi sikosi na heshima yangu kama mume na baba wa familia ipo pale pale na kweli sijawahi mpiga hata kibao sababu maudhi mengine najitahidi kuyakwepa mapema.
Haya ndio mambo yanayofanya ndoa ziwe ngumu sana😅Hukumpenda kweli toka moyoni ulimpendea hela na connection baada ya kuingia ndoani ukajua kuwa ndoa ni zaidi ya hela, ikiwemo bond and chemistry hapo ndio ukachaganyikiwa.
Pole na move on with life maana inferiority ilikuwa inakusumbua
Alikuwepo skuhiyo, tatizo alikua ameshalewa...🤣🤣Yeye alikuwa wapi tulipofanya kikao hiki?
Mkuu ilikuwaje ukaoa mke kilaza namna hio au ndio mlikutania KFC 😅🤭🤣 penzi likachipua? Au ndio zile connection za dada yangu hana mtu nikuunge nae😅NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Ulikubaliana na nani na lini??.Mbona wanaume tulisha kubaliana hapa ndani kwamba hakuna kuoa...
Hahahahahah ni irrelevant ila ndio vinanogesha ndoa! Hayo unayoita irrelevant ndio yanfanywa na nyumba ndogo ili kutukamata vizuri sababu hamna mwanaume ambaye hapendi kuwa caressed! Tatizo watoto wa dotcom mnahisi kuishi na waume ni kuwafanyia favours yani sababu mnapenda kuitwa mke ila majukumu yanayoambatana na kuwa mke wa fulani hamyataki!Mkuu ndoa yako haiwezi vunjika sababu umejua jinsi ya kuishi na mwanamke wa hiki kizazi cha dotcom. Yani kuna vitu ni very irrelevant kwenye ndoa wanaume wanakazania wafanyiwe ilihali havina tija. Ungekua hujaoa ningekupa hata mdogo wangu maana asingeteseka na hawa wa kutaka kuabudiwa.
Tangazo lilitolewa na katibu hapa ndani na waheshimiwa wajumbe wakaunga mkono hoja, na kikao kikafanyika hapahapa...😜Ulikubaliana na nani na lini??.
Pole sana Mkuu.Nikupongeza kwa kudumu na mkeo ingawa ana Kasoro kibao.NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Uzi huu bila comments zako sio Uzi Tena.Haya ndio mambo yanayofanya ndoa ziwe ngumu sana
Wewe jamaa ni muongo Sana.Tangazo lilitolewa na katibu hapa ndani na waheshimiwa wajumbe wakaunga mkono hoja, na kikao kikafanyika hapahapa...