Wakuu yamenikuta

Wakuu yamenikuta

Usiwe serious na mwanamke yoyote unayemla.

Hata Mkeo, Usiwe naye serious , sio singo Maza, sio asozaa, wee Usiwe nao serious.


Kuna singo mama namlaga Sasa Kuna Hela alinikopa, Leo nmemwambia anirudishie, basi akaenda akanirushia Kwa wakala.


Alafu ananiambiaje,, Eehh Mkaka wa wakala nimemkuta ni handsome sanaaa kuliko wewe yaan tayari ushankosa .




Nikajua ananitania ila namm nikamjibu '' mwambieee akule lazima akubakishie utamuu maana K Haina makombo "


Kaja kunijibu.... Daaah Yan wee hata Moyo haukuumi
 
Acha uzwazwa be a real Man. Tumia mbinu ya kimafia nenda dukani na kirikuu kakombe mzigo wote pamoja na makorokoro. Umfungulie kiduka wakati aliemzalisha hakufanya hivyo. Upunguani huo!! Na hapo lijamaa linabonda sana
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
M
Kuna singo mama mmoja nilikua nae serious kwenye mahusiano baba wa mtoto anasema alimtelekeza nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana kiroho Safi Sasa LEO NADHANI ALISAHAU KUNI "HIDE" WhatsApp status kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede ,ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae
Meza panado kwanza unywe na maji mengi
 
1. Achana na huyo mwanamke Kwa sababu hakuheshimu

2. Kama ukiendelea nae tambua kuwa haiwezi tokea hata siku moja wakaachana na Baba wa Mtoto wake.
Wanawake ndio wapo hivo hawezi kumsahau wala kumkatalia mwanaume aliemzalisha, ( Labda mwanamke wa shoka, ambao wapo wachache mno ) tena hadi kumu wish HBD hapo wanalalana vizuri tu, tena anaweza mzalisha tena na wewe utalea na utaendelea kudharaulika.

3. Hilo duka sio inshu, muachie tu. Hela zinatafutwa.

4. Achana na Singo mama chief. Wanawake ambao hawajazaa tena wazuri na wanajiheshimu na wanahitaji wenza wapo wengi Sana.
 
Mkuu juzikati ilikua kumbukizi ya kuzaliwa kwangu. Fungua code vizuri nijue kama ni wewe ndio au sio walau hata location mliyopo. Maana yule mwanamke naye namjua mimi mwenyewe anapenda attention kama izo kupost post.

Sio masihara mkuu
 
Asante kwa ushauri

Tatizo lenu huwa hamuhuzurii vikao vya wanaume. Tulifanya kikao pale uwanja wa sokoine mbeya kwa watu wa nyanda za juu kusini, tukafanya kikao nangwanda sijaona kwa watu wa kusini, tukafanya ccm kirumba mwanza kwa watu wa kanda ya ziwa, tukafanya kingine viwanja vya mnazi mmoja kwa watu wa pwani, tukafanya kingine arusha uwanja wa sheikh abeid kwa watu wa kaskazini, tulifanya bukoba kwa watu wa magharibi na tulimalizia dodoma kwa watu wa kanda ya kati, vyote hukuhuzuria. Tuliazimia na kukubaliana kuwa atakae mwoa single maza ambae baba mtoto yupo asije kutulalamikie ni risk yake binafsi maana mpira hauanzwi kwa 1-0. Hivyo kwa atakae taka kuishi na single maza cha kwanza athibitishe kifo cha baba wa mtoto kwa kuangalia kaburi, cd ya mazishi pamoja na cheti cha uthibitisho kutoka RITA lakini pia awaulize majirani na watu wa karibu wa binti akithibitisha yote hayo ndio amchukue binti, kama baba yupo apige kimila na kutoka ndukiiiii kaliiii, ukijikoroga usije kutulilia hovyo hovyo kama mleta mada.
 
Kuna singo mama mmoja nilikuwa nae serious kwenye mahusiano. Alisema baba wa mtoto alimtelekeza, nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana, kiroho safi.

Sasa leo nadhani alisahau kuni 'hide' WhatsApp status, kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede!

Itoshe kusema, nimeishiwa nguvu! Naombeni mniambie nini cha kufanya baada ya kupata nguvu hapo baadae!
Sepa huna chako
 
1. Achana na huyo mwanamke Kwa sababu hakuheshimu

2. Kama ukiendelea nae tambua kuwa haiwezi tokea hata siku moja wakaachana na Baba wa Mtoto wake.
Wanawake ndio wapo hivo hawezi kumsahau wala kumkatalia mwanaume aliemzalisha, ( Labda mwanamke wa shoka, ambao wapo wachache mno ) tena hadi kumu wish HBD hapo wanalalana vizuri tu, tena anaweza mzalisha tena na wewe utalea na utaendelea kudharaulika.

3. Hilo duka sio inshu, muachie tu. Hela zinatafutwa.

4. Achana na Singo mama chief. Wanawake ambao hawajazaa tena wazuri na wanajiheshimu na wanahitaji wenza wapo wengi Sana.
Asante kwa ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom