Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,158
- Thread starter
- #101
Hizo hela zilipatikana kwa kuungaunga SanaHongera ur a lot of money
Hizo hela zilipatikana kwa kuungaunga SanaHongera ur a lot of money
Kuna Wanawake waongo waongo sanaKuna singo mama mmoja nilikuwa nae serious kwenye mahusiano. Alisema baba wa mtoto alimtelekeza, nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana, kiroho safi...
😅😅😅Sasa si ufanye vitu vingineInauma sana .....mapenzi yanaumiza sana
Nikikumbuka nilivomsave kimaisha kumsogeza angalau sasa vimiambili hakosi kumbe nyuma ya pazia Mambo sio dahKuna Wanawake waongo waongo sana
Siku nyengine mfungulie duka mama aliyekuzaa hata akiliua poa tu kwa sababu thamani yake Haina kipimo, achana na wezi mifukoni walaghaiHizo hela zilipatikana kwa kuungaunga Sana
Mapenzi ni part ya maisha kila siku😅😅😅Sasa si ufanye vitu vingine
Umesha msaidia its Ok.Nikikumbuka nilivomsave kimaisha kumsogeza angalau sasa vimiambili hakosi kumbe nyuma ya pazia Mambo sio dah
Basi endelea kuteseka nmeamini kuwa wanaoteswa na mapenzi wameamua😅😅😅Mapenzi ni part ya maisha kila siku
Dah! Wee ni mkweli mpaka unakera🤣🤣🤣🤣Achana naye mara moja ulishawahi ona wapi mechi inaanza mwingine anaongoza moja bila.
Kweli mwanamke mwenzieKua na huruma na mtoto wa mwanamke mwenzio
Dah nishakua mwanamke Tena mkuuKweli mwanamke mwenzie
SawaMkuu,kwani wewe leo ni besidei yako?Subiri ikifika Besidei yako ndo utajua.Kwa sasa we endelea kumpenda.Kwanza kabisa fahamu kwamba Kama Mwanamke akikuambia tu kwamba ametelekezwa na Mwanaume basi Ujue kwamba huyo mwanamke na mzigo.Kwenye mahusiano kuna ama kuwa pamoja ama kuachana kwamba hakuna mawasiliano wala mahusiano hakunaga kitu kam kutelekezwa.
Ushauri wangu.Fanya na wewe umtelekeze tu kama mwenzako huenda na wewe ukapostiwa
Inatakiwa upigwe mawe hadi kufa. Pumbavu huhudhurii vikao vyetu kenge weweKuna singo mama mmoja nilikuwa nae serious kwenye mahusiano. Alisema baba wa mtoto alimtelekeza, nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana, kiroho safi...