Wakuu yamenikuta

Wakuu yamenikuta

Kuna singo mama mmoja nilikua nae serious kwenye mahusiano baba wa mtoto anasema alimtelekeza nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana kiroho Safi Sasa LEO NADHANI ALISAHAU KUNI "HIDE" WhatsApp status kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede ,ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae
🤣🤣🤣Chai hii,lakin huenda jamaa kaona unafuu wa kulelewa mke na mtoto wake,so unempunguzia mzigo wa matunzo🤔saivi ye anajilia firiii🤣🤣🤣pole
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chai hii,lakin huenda jamaa kaona unafuu wa kulelewa mke na mtoto wake,so unempunguzia mzigo wa matunzo[emoji848]saivi ye anajilia firiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole
Sio chai mkuu Sina sababu ya kudanganya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom