Wakuu yamenikuta

Wakuu yamenikuta

Akili zikikurudi.....mwite chakata mbususu mzee hayo mengine unajizeesha bure.we kula iyo kitu mzalishe na wewe af pita iv
 
Dah mnanivunja nguvu mi ndio kwanza mapenzi yanazidi na huyu single maza wangu sijui nifanyeje mnapiga mawazo sana
 
Kuna singo mama mmoja nilikuwa nae serious kwenye mahusiano. Alisema baba wa mtoto alimtelekeza, nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana, kiroho safi.

Sasa leo nadhani alisahau kuni 'hide' WhatsApp status, kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede!

Itoshe kusema, nimeishiwa nguvu! Naombeni mniambie nini cha kufanya baada ya kupata nguvu hapo baadae!

Kila siku mnaonywa humu ndani lakini hamsikii.
The only thing single mum anajali ni about mtoto wake and hers
Ww ni sponsor tu
 
Tukiwaambia mnasema hatuwapendi hao wanawake bora mfe tu
 
pole ni kama Mimi tyuu Kuna kijana alinidanganga ivyoivyo baby mama wameachana ila sku moja alsahau kuni hide whatsap nlkuta makopa na caption tata .
for what I learn there is no such thing as kuachana tegemea muda wwte watarudiana
 
Kuna singo mama mmoja nilikuwa nae serious kwenye mahusiano. Alisema baba wa mtoto alimtelekeza, nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana, kiroho safi.

Sasa leo nadhani alisahau kuni 'hide' WhatsApp status, kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede!

Itoshe kusema, nimeishiwa nguvu! Naombeni mniambie nini cha kufanya baada ya kupata nguvu hapo baadae!
Kunywa paracetamol kwa kutumia uji wa moto wa muhogo.
 
Usiwe serious na mwanamke yoyote unayemla.

Hata Mkeo, Usiwe naye serious , sio singo Maza, sio asozaa, wee Usiwe nao serious.


Kuna singo mama namlaga Sasa Kuna Hela alinikopa, Leo nmemwambia anirudishie, basi akaenda akanirushia Kwa wakala.


Alafu ananiambiaje,, Eehh Mkaka wa wakala nimemkuta ni handsome sanaaa kuliko wewe yaan tayari ushankosa .




Nikajua ananitania ila namm nikamjibu '' mwambieee akule lazima akubakishie utamuu maana K Haina makombo "


Kaja kunijibu.... Daaah Yan wee hata Moyo haukuumi
Duhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom