Wakuu yamenikuta

Wakuu yamenikuta

Kiatu cha udongo

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
443
Reaction score
1,158
Kuna singo mama mmoja nilikuwa nae serious kwenye mahusiano. Alisema baba wa mtoto alimtelekeza, nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana, kiroho safi.

Sasa leo nadhani alisahau kuni 'hide' WhatsApp status, kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede!

Itoshe kusema, nimeishiwa nguvu! Naombeni mniambie nini cha kufanya baada ya kupata nguvu hapo baadae!
 
Kuna singo mama mmoja nilikua nae serious kwenye mahusiano baba wa mtoto anasema alimtelekeza nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana kiroho Safi Sasa LEO NADHANI ALISAHAU KUNI "HIDE" WhatsApp status kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede ,ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae
Sasa Status tu imekumaliza nguvu, je ukiwafumania live? Si utakufa?

Be Gentle.
 
Makosa Makubwa...huwezi kuwa serious na singo maza ....lazima uonyeshwe kwanza kaburi na mkanda wa mazishi ya baba wa mtoto ambao jina la kwenye msalaba lisome sawa na la kwenye cheti cha kuzaliwa mtoto tofauti na apo we kula kimasihara na mtoto mhudumie ukipenda sio kama majukumu.

Maana baba wa mtoto hawezi kumtongoza tena wakikutana ni kupima oil tu na miti..na usipoangalia nawewe unaachwa arudi kwa wakwanza akalee mtoto especially kama bado haujazaa nae...maana kwako ni kupunguza machozi tu ila anatamani familia yake iwe na baba wa mtoto POLE.
 
Makosa Makubwa...huwezi kuwa serious na singo maza ....lazima uonyeshwe kwanza kaburi na mkanda wa mazishi ambao jina la kwenye msalaba linasoma sawa na la kwenye cheti cha kuzaliwa mtoto..tofauti na apo we kula kimasihara na mtoto mhudumie ukipenda sio kama majukumu..
[emoji120]
 
Pole sana mkuu
Watu wanaposema usioe au usiolewe na mtu ambaye tayari anamtoto huwa wanaogopa haya.

Kikubwa kama unampenda kaa nae chini myazungumzee kwa uzuri.
Mazungumzo yatafanya ujue unaendelea ama unaishia njiani

Ila
Kwenye mchezo wa mpira wa miguu kanuni ni kuwa na mpira mmoja uwanjan
 
Kuna singo mama mmoja nilikua nae serious kwenye mahusiano baba wa mtoto anasema alimtelekeza nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana kiroho Safi Sasa LEO NADHANI ALISAHAU KUNI "HIDE" WhatsApp status kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede ,ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae

Sioni kosa lake
 
Makosa Makubwa...huwezi kuwa serious na singo maza ....lazima uonyeshwe kwanza kaburi na mkanda wa mazishi ambao jina la kwenye msalaba linasoma sawa na la kwenye cheti cha kuzaliwa mtoto..tofauti na apo we kula kimasihara na mtoto mhudumie ukipenda sio kama majukumu..
🤣🤣🤣🤣🤣🙌
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom