Wanangu wote wanaingia bila kelele...nikivuka tarehe ndo imeisha hiyoNa ulipovuka ikawa mimba
Ngoja nihakikishe kama ni hivyoMwambie anunue kipimo aje nacho siku ya kumpa penzi moto analosubiri pimeni. Ikiwemo anzeni program za kurutubisha mtoto. Hakikisha unampiga mb.. vya kutosha. Hii ndio pindi mwanamke anahitaji ukaribu wa yule aliyemjaza kupa assurance ya kifuatacho. All the best mzee
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuin
Siku mnayokutana ungetwambia Wana jamii tuanze michango ya visepeKabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Tamu hiyo balaaaKiukweli ukianza kula nyama hiyo itakuwa kila ukiona mwenye mimba unatamani uende naye. Zinakuwa na sura ya pekee sana zenye utamu uliokolezwa.🤭🤭🤭
Yule yule mkuuNi yule aliyepekua simu yako Half american?
Sketi za shule mapema yote hiiHiyo imo mkuu mtunze mama na mliwaze hasa kama ana hofu, sema kwa maelezo yako basi ni katoto ka kike, andaa nguo za kike na sketi za shule
Mlete nimwangalie kama mimba ipo au laahKabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Unahukumu bila kujua, nina mipango na huyu binti na nipo tayari kwa loloteJinsi gani inaonekana mwanaume asiye na mipango...
Asante kwa ufafanuzi mzuri mkuu, naona kabisa tayari.Uwezekano? A huyo mtu ku a ni mimba ni mkubwa kwa sababu zifuatazo na chambua kutokana na tarehe 20 ambayo anaingia period
20 - 25 - period
25 - 30 - safe
31 - 07 - danger
08- 20 - safe
Na wewe na yeye mlikutana tarehe 1 na tarehe 02 ambayo ukiangalia katika mchanganua hapo ipo kwenye danger zote may be ikahappen yai likachelewa kufika katika fallopian tube likaja tareh 04 lakin kama likija tarehe 03 ambayo inakuaga always automatic litakuta mbegu zipo kwasabab mbegu za kiume zinakaa masaa 48 na za kike 72 ndo ziharibike ko kwa scenario hiyo mtu huyu uwezekano anamimba
Asanten nawasilisha
Sawa mkuuNazidi kugundua JF wengi bado ni vijana wadogo.
Mkuu, wala usiwe na haraka, kama mimba ipo utaikuta, kama haipo hutaikuta.
Hongera labda na huyu mliefanana nae yupo hivyoWanangu wote wanaingia bila kelele...nikivuka tarehe ndo imeisha hiyo
SijadataKipimo cha buku,kweli umedata
Tundu lisu tena😂Ungeongeza siku mbili mbele kidogo ukakutana nae nauhakika ungemleta Boy .Na Ikitokea kaja ni Boy tumpe jina la Tundu Lisu..
Ila naona ni ka Binti Utamchagulia Jina baba yake ..😊😊🤣🤣
BTW Hiyo imenasa
Kabisa....tuliza akili muweke mambo sawa...Hongera labda na huyu mliefanana nae yupo hivyo
Hii inatokana na nini mkuu?Hedhi inaweza ikakoma hata miezi mitatu mfululizo na baadae ikaendelea.kapime