Wakuu hapa kuna mimba?

Wakuu hapa kuna mimba?

Nzuri hioo lea mzigo huo, kila laheri katika kua baba bora wengine tushajichanganyaga huko😹 mambo kama hayo ni irrevesible ukiula umeula
Mkuu sipigagi kavu kwa mwanamke asieleweka hata iweje, huyu ni ke sahihi kwangu nilishakubaliana na hali yeyote tangu awali.
 
Halafu wakiwa hot huwa zinakuwa tamu. Nadhani ilikuwq tofauti na siku zingine mpaka ukawa unajiuliza, LEO IMEKUWAJE?

Basi, jibu lake ndicho hicho tunajadili hapa😂🤣
Mkuu acha kabisa siku hiyo niliichapa haswa, raund ya kwanza nilitumia mpira fresh ila nyingine hakuna.
 
Nzuri hioo lea mzigo huo, kila laheri katika kua baba bora wengine tushajichanganyaga huko😹 mambo kama hayo ni irrevesible ukiula umeula
Ndio maisha kikubwa usiitelekeze na kuisahau damu yako
 
Sllipendi sana neno HEDHI. sijawahi kulizoea maisha yangu yote toka nilijue. Linanikera sana nikilisikia. Afadha neno "siku za..." au "mwezini"..

My ex yf alikua anatumia neno "mgeni".
Akikuagiz pedi ,she used to say "niletee mikate, nina wageni".
😅😅
 
Sllipendi sana neno HEDHI. sijawahi kulizoea maisha yangu yote toka nilijue. Linanikera sana nikilisikia. Afadha neno "siku za..." au "mwezini"..

My ex yf alikua anatumia neno "mgeni".
Akikuagiz pedi ,she used to say "niletee mikate, nina wageni".
😅😅
Wageni wenyewe ni Simba sc 😂
 
Back
Top Bottom