min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,496
- 168,434
NimerudishaMzee rudisha ile avatar ya mwanzo hii update sijaielewa emu fanya restoration
NimerudishaMzee rudisha ile avatar ya mwanzo hii update sijaielewa emu fanya restoration
Hii comment yako kama ulikuwepo ila naona ni kiumbe wa ajabu sana.Wengi wako hivyo kipenzi, yaani hutokaa umuone, hata ahsante hutoipata. Unajitoa tu kwaajili ya Mungu wako.
Mimi ni konyagi ndogo moja inanitosha kaka.Kaka umeanza vitu vyetu ,hapo sawa kabisa
Nimwombe nani yasinikute?Hahahaha. Visungura tena !m mwingine watu hunywa kwa sababu ya kukosa ya kufanya. Omba sana yasikukute lakini kuishi bila kazi tena ukiwa na sifa zote ni mbaya sana
Basi ndio ufanye mpango baba la baba,. Kuna rejesho hapa inabidi niclie mupenzi😃😋😋Jiheshimu nawewe we ni mke kwangu sina haja yakutumia mitego muone...😅
Dah sijui hiyo ndogo ila pombe kali zote ni msala bwashee 😅Mimi ni konyagi ndogo moja inanitosha kaka.
Pole na hongeraa,. ila ukiwiwa wasaidie tu huwezi jua mtu anapitia niniNilimshangaa aisee maana nilikuwa na mpango wa kumsaidia tena na tena ila Mungu aliniepusha nae mapema 😀
Usijali mpenziBasi ndio ufanye mpango baba la baba,. Kuna rejesho hapa inabidi niclie mupenzi😃😋😋
Taratibu kakaWatanzania wengi ni viazi mtu anatumia sababu za kijinga kabisa kupata kazi just imagine
Ndio ufanye kweli sasa,.Usijali mpenzi
Naogopa Sana kesho hasa hasa sisi ambao tumejitoa kimasomaso kutumia taaluma na ELIMU zetu kutupeleka nchi ya ahadiunahisi vijana wanawaza hayo sasa😃😅😅😅
Kuna siku nilimskia kijana anasema kuna mdada kamwomba amkopeshe 50k akamwambia aifate geto,. nikamuuliza sasa ukishamkula hiyo hela atakulipa kweli??
Vijana hawawazi hata kama kuna kufa maskini
Kaka upo?Taratibu kaka
Natoa maana sadaka kwangu huwa inanifungulia Neema nyingi ila mpaka tuonane nihakikishe huyu kweli ni mhitaji sio ki Jf nitoe msaada imeishia kwa yule tapeli.Pole na hongeraa,. ila ukiwiwa wasaidie tu huwezi jua mtu anapitia nini
Nimeona hapo sasa nakuona maana nilikua naona umebonyeza like ila nikiangalia sikuoni mpaka ikabidi nitulie nijiulize mjinga gani ananifanyia michezo ya kihuni ikabidi nisogee nizoom jina nikaona umeondoa avatarNimerudisha
Mdogo mdogo bwasheeTaratibu kaka
Punguza ukali wa maneno kidogo bwashee, ma jobless pro max sisi ni watu wenye hekima.Mdogo mdogo bwashee
Yeah mtu yeyote mwenye akili timamu lazima awaze kuhusu kesho,. hatakama unachokipata ni kidogoNaogopa Sana kesho hasa hasa sisi ambao tumejitoa kimasomaso kutumia taaluma na ELIMU zetu kutupeleka nchi ya ahadi
Whether or not vyovyote vili siwezi ikimbia familia ya Jf hapa ni nyumbani
Nipo kaka, majukumu ya ki jobless pro max ndio yanayo to tuweka bizeKaka upo?
Hapana Mimi still ni learner kwenye unywaji mwaka wa kumi Sasa still mm ni lenatus njohole..Dah sijui hiyo ndogo ila pombe kali zote ni msala bwashee 😅