Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,717
- 62,667
Hahaha😄😅😅😂😂,. Nasubiri ajibu kwanza nimpe control namba aklie rejesho ndio nipate hisia za kupendana🥰🥰Hahaha kijana kajaa kwenye kumi na nane za binti yangu safi sana😅😅😅😅
Hahaha😄😅😅😂😂,. Nasubiri ajibu kwanza nimpe control namba aklie rejesho ndio nipate hisia za kupendana🥰🥰Hahaha kijana kajaa kwenye kumi na nane za binti yangu safi sana😅😅😅😅
Hivi humu kuna watu wanahitaji msaada kweli mi niliwahi kumsaidiaga kenge mmoja yule mtu baada ya hapo akabadili na ID kabisa ila alinipa funzo kubwa sana.Ila kitu kingine Yote mema inaonyesha una ID nyingine, maana hiyo kabla na baada ya hapo sikuiona popote humu. Usije kuwa hii ID unaifanyia michongo.
Unajua, sikukubali haraka mpaka uliposema hata pesa ya kula siku hiyo huna. Kama una ID nyingine acha michezo, kama ni hii tu huwa huitumii sawa, Mungu anisamehe kukuwazia tofauti. Nakutakia mafanikio, unaloomba likawe.
Mzee rudisha ile avatar ya mwanzo hii update sijaielewa emu fanya restorationHahaha kijana kajaa kwenye kumi na nane za binti yangu safi sana😅😅😅😅
Njoo nyumbani kila kitu kipo...Naomba hela kwanza ndio nikujibu kama nakupenda pia😃😃😃
Sio upate hisia za kuvua Samaki?Hahaha😄😅😅😂😂,. Nasubiri ajibu kwanza nimpe control namba aklie rejesho ndio nipate hisia za kupendana🥰🥰
Hahahah😄😅😆😆😆😆,. Ubaya wanakujaga na Id za kike,. Na wako fasta kuleave conversationsHivi humu kuna watu wanahitaji msaada kweli mi niliwahi kumsaidiaga kenge mmoja yule mtu baada ya hapo akabadili na ID kabisa ila alinipa funzo kubwa sana.
Hahaha 😂😂.linda privacy za watu mama!, uliemfanyia muache yeye aseme vile anavyoweza ila wewe mute!.
Wengi wako hivyo kipenzi, yaani hutokaa umuone, hata ahsante hutoipata. Unajitoa tu kwaajili ya Mungu wako.Hivi humu kuna watu wanahitaji msaada kweli mi niliwahi kumsaidiaga kenge mmoja yule mtu baada ya hapo akabadili na ID kabisa ila alinipa funzo kubwa sana.
Hakuna neno nilisha tamka la kupenda humu , hili nakua makini kisa kutoa pesa ambazo sina na sitakaa niwe nazo🤣Hahaha😄😅😅😂😂,. Nasubiri ajibu kwanza nimpe control namba aklie rejesho ndio nipate hisia za kupendana🥰🥰
ubarikiwe mkubwaPole sana, nitakucheki Ijumaa ( nitakuwa kwenye mazingira mazuri ) sikuahidi mambo mengi, ila notakusukuma kwa namna fulani
Toka huko,. Huu mtego sinasi ng'o😄😄Njoo nyumbani kila kitu kipo...
Sawa masterMzee rudisha ile avatar ya mwanzo hii update sijaielewa emu fanya restoration
Jiheshimu nawewe we ni mke kwangu sina haja yakutumia mitego muone...😅Toka huko,. Huu mtego sinasi ng'o😄😄
Kwani wanywa visunguraa Wana SHIDOOOOPesa ya bantu lady ukaifanyia nini bwashee, tusije ajiri wanywa visungura 🤔
Nilimshangaa aisee maana nilikuwa na mpango wa kumsaidia tena na tena ila Mungu aliniepusha nae mapema 😀Hahahah😄😅😆😆😆😆,. Ubaya wanakujaga na Id za kike,. Na wako fasta kuleave conversations
Nilitaka kusema pia nikamezea 😁🤓Sawa master
Kaka umeanza vitu vyetu ,hapo sawa kabisaKwani wanywa visunguraa Wana SHIDOOOO
Hahahaha. Visungura tena ! Wakati mwingine watu hunywa kwa sababu ya kukosa ya kufanya. Omba sana yasikukute lakini kuishi bila kazi tena ukiwa na sifa zote ni mbaya sanaPesa ya bantu lady ukaifanyia nini bwashee, tusije ajiri wanywa visungura 🤔
unahisi vijana wanawaza hayo sasa😃😅😅😅Hakuna neno nilisha tamka la kupenda humu , hili nakua makini kisa kutoa pesa ambazo sina na sitakaa niwe nazo🤣