Wakubwa naombeni kazi nitakufa

Wakubwa naombeni kazi nitakufa

Jamani siamini watu humu wote, kuna mmoja atakosa hata kazi ya kujishikiza. Humu tu kama ndugu, ajitokeze mmoja amshike mkono kijana. Mwenyezi Mungu atamlipa zadi, ndiyo dhawabu zenyewe hizi.

Mambo ni taratibu na kufahamiana kabla ya kuongea sana, watu wengine sio wakweli kwa hiyo haifanywi speed
 
Habari wana jamii forum,
niende kwenye mada, nina miaka 29 nilikua ninafanya kazi taasisi binafsi bahati mbaya ofisi yetu ilifungwa.
Baada ya ofisi kusimama nilizidi kupambana kutafuta sehemu nyingine kwa kuhudhuria interview tofauti tofauti lakini sijabahatika kupata.
Humu jamii forum kuna watu wana moyo sana, Nakushukuru sana Bantu Lady uliwahi kunitumia pesa nakushukuru sana Mungu akuzidishie naombeni kazi au connection ya kazi jamani nitakufa.
kwa upande wa professional
System administrator
Database administrator . Kazi yoyote nafanya ninauwezo wa kuadapt.
Namba yangu 0754407408
Bantu Lady
Mshana Jr
uttoh2002
kama ulishafanya kazi kapambane ajira portal. Kama uko fit utapata kazi. Na kama ulishafanya interview za ajira portal ukafika oral ujue unatatizo la kujiamini mbele za watu na linakuangusha Jiamini
 
I
Kumbe umesoma IT, daa
IT ujue vitu kweli hakuna aliyetayari kuajiri mtu awe anaharibu mifumo kisa hajui anachofanya
Kuna skills ndogo ndogooo za muhim sana vijana wengi wanakosaa. Usitegemee kupewa kazi kwa kuonewa huruma juu ya shida zako. Wapo wenye shida kuzid. Weka sifa zako,na eleza value you think you will bring, uza hizo watu wakiangalia hizo watakua wanakulinganisha na post walizo naO kama zipo.

Ila ukilia lia shida, ndio hiv, wabantu watakupa hela kwasababu wamekuonea huruma, then what??????
umeongea vyema
 
IT ujue vitu kweli hakuna aliyetayari kuajiri mtu awe anaharibu mifumo kisa hajui anachofanya
Umenikumbusha mkuu, Kuna dogo mmoja(IT wa hivi vyuo vyetu😂😂) miaka ya nyuma kidogo aliwahi kuharibu system ya mahesabu kwenye kampuni X alisota sana kulipa hasara isiyokuwa yake.... Kuna course kusoma Mzazi/Mfadhili inabidi awe makini sana kumpeleka mwanae
 
Back
Top Bottom