- Thread starter
- #41
hapana sina mchezo wowote wa kutafuta hela ya bure humu, kipindi kile nilikua bado nipo kazini japo Mambo yalikua yashaanza kuyumba. na sijawahi pokea hela yoyote humu. Nimekutag kama appreciationIla kitu kingine Yote mema inaonyesha una ID nyingine, maana hiyo kabla na baada ya hapo sikuiona popote humu. Usije kuwa hii ID unaifanyia michongo.
Unajua, sikukubali haraka mpaka uliposema hata pesa ya kula siku hiyo huna. Kama una ID nyingine acha michezo, kama ni hii tu huwa huitumii sawa, Mungu anisamehe kukuwazia tofauti. Nakutakia mafanikio, unaloomba likawe.