Wakristo huyu msanii wa injili ayeimba yesu ninyandue mbona anaachwa? Na wala hatujasikia kauli kutoka kwa viongozi

Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?
Yesu ninyandue!!?????
 
Unajuaje kama Mungu amekasirika au amechukizwa?

Kukasirika kisa mtu amemsema Mungu wako ni akili matope
 
Nimesema ngoqja niingie you tube search. Naandika yesu tu.mzigo huo
 

Attachments

  • Screenshot_20240324_192841_YouTube.jpg
    Screenshot_20240324_192841_YouTube.jpg
    185.7 KB · Views: 1
Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?
Hukumu ni kazi ya Mungu.
 
Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?
Huo wimbo uko wapi mkuu? Acha upotoshaji chwara.
 
ndo manake unaona kuna kasi kubwa ya wa2 kuslim kwa ajili ya mabo ya ovyo kama haya!!!,,,,na mambo ya PAPA-PAPAI,nimeona kasisi mmoja huko ulaya {mkatoliki nae kaslim!!!''thamani ya PAPA-PAPAI imeshuka mno kwa sasa,si umeona juzi kati alitoa witi kwa UKRAINE kusalimu amri kwa urusi!!! matokeo yake rais ZELENSKY alimjibu majibu ya kejeli mpaka msemaji wa VATIKAN akabadili kauli!!!,,,,fikiria enzi za PAPA JOHN PAUL ilivokuwa alikuwa akitoa kauli faster inafanyiwa kazi,alisaidia mpaka vita ya iraq kwisha,ata yule papa aliyeachia mdaraka papa-papai {aliachia baada ya kushinikizwa aruhusu USODOMA}....huyu papa wakati wa vita flaniflani humu duniani alikuwa akitoa kauli tu,inatekelezwa
Mtu anayeacha ukristo na kwenda uislam kwa sababu dhaifu kama hizo ni wa kumhurumia tu,hata waislam wenyewe wanatakiwa wamuogope.
Ni kama mke anayekimbia mume wake aje kwako kisa anafokewa akirudi kachelewa home.

Papa ni kiongozi,mwenye ubinaadam anawezakuwa na ujinga wowote tu kama binaadam mwingine,sasa kama unadhani ndiye Yesu huyo hatuna cha kukusaidia.
 
Mtu anayeacha ukristo na kwenda uislam kwa sababu dhaifu kama hizo ni wa kumhurumia tu,hata waislam wenyewe wanatakiwa wamuogope.
Ni kama mke anayekimbia mume wake aje kwako kisa anafokewa akirudi kachelewa home.

Papa ni kiongozi,mwenye ubinaadam anawezakuwa na ujinga wowote tu kama binaadam mwingine,sasa kama unadhani ndiye Yesu huyo hatuna cha kukusaidia.
Papa kama papa,ni taasisi,,hawezi kutoa tamko bila kukaa na washauri wake,wajadili ndo wapitishe,,,so kuniambia kwamba papa kama binadamu,huo ni uongo....huwezi kukaa ndani ya choo alaf ukafurahia chakula,,,,,,lazima usikie kinyaa,,,kwamsasa kanisa katoliki linatia kinyaa!!!
 
Papa kama papa,ni taasisi,,hawezi kutoa tamko bila kukaa na washauri wake,wajadili ndo wapitishe,,,so kuniambia kwamba papa kama binadamu,huo ni uongo....huwezi kukaa ndani ya choo alaf ukafurahia chakula,,,,,,lazima usikie kinyaa,,,kwamsasa kanisa katoliki linatia kinyaa!!!
wewe endelea kusikia kinyaa,wenzako wanajua hajuna taasisi yoyote duniani ambayo kiongozi anayeisimamia hana mamlaka.
 
Back
Top Bottom