Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

Tena huyu we ngoja tu ........!!!!!!!!!!!

Balaa lilianza alipokuwa JF woman Of The Year .....

Since that time amekuwa kama jasho la kuku ....lol!!!!!!!!
Eiyer ni balaa mi nilikuwa napenda thread za hawa watu AshaDii na Lizzy na The Finest bana wakitoa thread unajiuliza uanze kujibu nini au unaacha watu wengine wajibu ndo na wewe upate pa kuanzia Roulette nae kapotea sijui nini kimemkimbiza humu
 
Last edited by a moderator:
Kule kwenye siasa ndio kuna vichwa kibao vimepotea moja kwa moja.
 
ID mpya ndo wao mkuu zilizozoeleka wameweka pembeni wapo humu unakulanao sahani moja! Dark City
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
ID mpya ndo wao mkuu zilizozoeleka wameweka pembeni wapo humu unakulanao sahani moja! Dark City

Hilo linawezekana kabisa.....

Hivi tunawezaje kuwa na PM za utambulisho kwa wale walioamua kujilipua kwa kuzamia na ID mpya?

Ngoja kidogo, nitawasiliana na Maxence Melo anipatie mwongozo!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Huyu Nyamayao anatuzingua sana,

Kumbe alikuwepo hapa leo asubuhi ila hataki kusalimia ndugu zake....


Last Activity: Today 09:03

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hilo linawezekana kabisa.....

Hivi tunawezaje kuwa na PM za utambulisho kwa wale walioamua kujilipua kwa kuzamia na ID mpya?

Ngoja kidogo, nitawasiliana na Maxence Melo anipatie mwongozo!

Babu DC!!


babu Dark City ni vyema kama umeamua kujilipua na Id mpya ila kwangu mimi kama nimemzea Katavi na id yake hii na avatar yake akijitambulisha sijui kabadili ID wala sitamuona kama Katavi nitamuona mgeni kwangu maana nitajiuliza mengi sana kuna nini ameficha mpaka aje na ID mpya
may be kama umepigwa BAN ya maisha hapo kuja na ID mpya ruksa ila kama sio hapo hapana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom