Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

Kweli mzee mwenzangu...nani ana muda wa kusikia hadithi za mwaka 1947...

Atamudu kusikiliza simulizi za chagulaga au kukimbizana migombani??

au zile za Kibanga ampiga Mkoloni? hahahaa...au za Abunuwasi na Sufuria zake zinazozaa
 
Mbona hukunambia mapema??

Mwenzio nahangaika kumtafuta mjukuu wangu halafu wewe umeuchuna??

Not fair kwa kweli...
pole sana babu....
lakini nakumbuka tunasemaga ukipoteza kitu unaanza kutafuta sehemu/watu walio around you.....
ina maana mimi nipo mbali nawe kiasi hicho? mpaka upige kelele kweli mtu mzima mwenzangu?
vibaya hivyo
 
Hommie twenzetu chit chat. kuna binti naskia kafa kwa ajili yangu... na wajua bila Yohana Yesu asingebatizwa ili andiko litimie?

hahahaa.... hommie kule tumeandaliwa makao ya jumla.....sijui tutoke twende kwa nani?
 
Wakija uniite nijichekee.

Sikiliza Karucee,

Before I retired, I was a father (and of course still father) of a number of boys and some few girls...But believe me, boys are very delicate in terms of character building.. A slight miscalculation, you just end up with an unpleasant stooge!!

Kwa hiyo, acha kuzea hii specie kama hutaki kujibu mashtaka ya genocide!
 
Last edited by a moderator:
au zile za Kibanga ampiga Mkoloni? hahahaa...au za Abunuwasi na Sufuria zake zinazozaa

Thubutu....Ndani ya dakika kiduchu tu,.... Karucee au lara 1 atakuanzia uzi ambao utashika post kama 1000 within 2hrs!

Sie tujikaliage tu na wenzetu wa 1947...raha yake pia si mchezo!
 
Last edited by a moderator:
pole sana babu....
lakini nakumbuka tunasemaga ukipoteza kitu unaanza kutafuta sehemu/watu walio around you.....
ina maana mimi nipo mbali nawe kiasi hicho? mpaka upige kelele kweli mtu mzima mwenzangu?
vibaya hivyo


Ndo kusema umeshanigeuzia kibao mkubwa mwenzangu??.....

Haya bwana....ngoja mwenzio nisherehekee kumowa mwana mpotevu Rose1980.
 
Last edited by a moderator:
wawepo wasiwepo yote powa tu;

kuna wanaojaribu kuingia wanashindwa sababu ya kutokujua procedures, na kuna waliofumuliwa na waume zao baada ya kuwagundua kuwa wanatumia mitandao kufanya mambo yasiyostahili. Popote walipo wajaribu kuwa wa kiasi kwa mambo yao wanayoyafanya.
 
Sikiliza Karucee,

Before I retired, I was a father (and of course still father) of a number of boys and some few girls...But believe me, boys are very delicate in terms of character building.. A slight miscalculation, you just end up with an unpleasant stooge!!

Kwa hiyo, acha kuzea hii specie kama hutaki kujibu mashtaka ya genocide!
Mimi hapana elewa. Go straight to the point Babu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi hapana elewa. Go straight to the point Babu.

Simply unawaua watoto wa wenzio kwa kuwashusha confo. ....Umeelewa??

Wanaume siku zote wanategemea kumwagiwa sifa na wenzio wao, na siyo kipondo..sawa?
 
Halafu huyu Maty sijui alitendwa na nani??

Ngoja nimpatie homework mdau wangu mmoja anaitwa MJ1 (@MwanajamiiOne) anisaidie kumtrace...Nammiss sana huyu mjukuu....

Sitaki nianze kumlilia mtu ambaye yuko anacheza READY pale Nji kasoro bahari!!

Babu DC!!

Abee babu umeniita, majukumu yamezidi babu yangu mpenzi ndio maana unaona kimya
 
Simply unawaua watoto wa wenzio kwa kuwashusha confo. ....Umeelewa??

Wanaume siku zote wanategemea kumwagiwa sifa na wenzio wao, na siyo kipondo..sawa?
Babu I like to believe nipo straightforward sana. If someone is wrong apewe ukweli wake.

On the other side, kama mtu anastahili sifa atapewa. Thats just how I have been wired.
 
Last edited by a moderator:
Babu I like to believe nipo straightforward sana. If someone is wrong apewe ukweli wake.

On the other side, kama mtu anastahili sifa atapewa. Thats just how I have been wired.

Nakubaliana na wewe Karucee..

Ila sasa binadamu tunakuwa wachungu tukiambiwa kile kinachotugusa sana...

Unadhani yule kibosile wa Bunge na Band ya chama ukimweleza kuwa mtumbo wake unakera sana...na kwamba hawezi kuchungulia mtaji wake hadi atumie kioo...na pia lazima apate mtu wa kumvisha socks na viatu...unadhani hatarusha ngumi??

Ndivyo tulivyo na lazima tukuone wewe mbaya!!
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe Karucee..

Ila sasa binadamu tunakuwa wachungu tukiambiwa kile kinachotugusa sana...

Unadhani yule kibosile wa Bunge na Band ya chama ukimweleza kuwa mtumbo wake unakera sana...na kwamba hawezi kuchungulia mtaji wake hadi atumie kioo...na pia lazima apate mtu wa kumvisha socks na viatu...unadhani hatarusha ngumi??

Ndivyo tulivyo na lazima tukuone wewe mbaya!!

Hahaaa. Lols. Na kweli waliniona mbaya but wengi ni wale walikuwa inspired kuletaadaliko kwenye maisha yao for their own good health.
 
Last edited by a moderator:
Jf ilikuwa ukifungua mwenyewe unafurahia. Sijui nani alienda kutangaza mashuleni kwamba kuna jf. Wamejiunga watoto kibao wametukimbizia watu wenye busara zao. I real miss ushauri aliokuwa anatoa dena@Amsi ! Rudini jamani tunawamiss!

mkuu hakika ulchoandika... Ila jf imeanza kuchafuka baada ya kuanzishwa kwa page yake ya fb. Hivyo basi kupitia hio link watoto wengi wamejiunga
 
Last edited by a moderator:
yaani ilikuwa bonge la familia! hebu weka picha yako bana


mkutano.jpg
 
Back
Top Bottom