Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

Vibaya hivyo Rose1980...why can you do this to Babu?

Kama kakukosea si unasemea kwa bibi??

Nimefurahi sana kukuona. Nitumie namba yako basi nikupe ujumbe muhimu!!

Babu DC!!
WiseLady naye sijamsikia kitambo mzee mwenzangu una P. O.Box zake
 
Last edited by a moderator:
Hapana bwana, huyu anayeingia ni Smile toto tundu....kuna yule Smiles aliyejidai kuchuana na wana infii...mwisho akaishia kuwajoin!! Alipotea kwa sababu ya maternity ila naona kama kaunganisha trip kama 4 hivi!!
Smiles ni huyu hapa....
avatar18400_9.gif


Her last post: 13th March 2011 09:43 but last activity was: 15th January 2014 13:46


Na huyu ndiye Smile
profilepic48795_3.gif


Huyu yuko mtandaoni hata sasa: Last activity = Today 13:27

Babu DC!!

Hahahahahha! Eti trip nne! Lol...
Sasa wajukuu umeshawaona babu?!!
 
Babuuu! Nipo...
Nimekuja kuitikia wito...!


Babu and Co. missed you so much....

Kwa nini unapotea kiasi hicho lakini??

Usirudie kupotea bwana....ukuje kuje umsalimie hata wazee wenzangu Kaizer na Asprin!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahha! Eti trip nne! Lol...
Sasa wajukuu umeshawaona babu?!!


Nasikia vijana wanatumia huu mkakati (kuwafanyia permanent booking labour room) ili kuwashikisha adabu...

Hebu nambie...trip ya ngapi sasa??
 
nipo mdogo wangu, nimejaa tele.....
majukumu tu mwezi huu wa January yanaongezeka, but I am alive.
Happy new year my dear


Hii picha iko poa sana ingawa macho bado ni kama ya yule uliyemficha!!

But...babu yuko poa na hii zaidi!1
 
Hehehhehehe babu una maswali mengiiii! Dark City


Sasa inakuwaje wenzio tunahesabu trip nne wakati wewe unatuhesabia moja??

Nahisi kama nahitaji msaada wa wazee wangu kuelewa haya unayonieleza!!

Ila usiwe na shaka...kama shoka hazijakitika basi msitu hauwezi kufanya party...lol!!
 
Sasa inakuwaje wenzio tunahesabu trip nne wakati wewe unatuhesabia moja??

Nahisi kama nahitaji msaada wa wazee wangu kuelewa haya unayonieleza!!

Ila usiwe na shaka...kama shoka hazijakitika basi msitu hauwezi kufanya party...lol!!

Hahahahhahha..... Usiumize kichwa babu! Si unajua mjukuu wako nilivo innocent!! Dark City
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom