Wakili Peter Madeleka amesema Mahakama haiwezi kuwa tawi la chama cha siasa kwa kuwa ni mhimili huru kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania. Amesema uhuru wa Mahakama hauzuii wananchi kuzungumzia masuala yanayohusu mwenendo wa haki na shughuli za mahakama, akisisitiza kuwa Mahakama inapaswa kuongozwa...
Huu ni mfululizo wa elimu inayotolewa na mwanaharakati huyo ili kuelimisha umma kuhusu utawala wa sheria na haki za kikatiba nchini Tanzania.
Katika masomo yake, Madeleka anafafanua kuwa sheria ya polisi inataka vyama vya siasa kutoa taarifa tu ya mikutano badala ya kuomba kibali...
Wakili Peter Madeleka amesema kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na maofisa wote wa Jeshi la Polisi wanapaswa kutekeleza Katiba na sheria za nchi, badala ya kufuata maelekezo ya viongozi ambayo hayana msingi wa kisheria.
"Kile ambacho IGP au ofisa yeyote wa Jeshi la Polisi anapaswa kukitii ni...
Wakili Peter Madeleka amesema kuwa hakuna sheria yoyote inayolipa Jeshi la Polisi mamlaka ya kutoa au kuzuia vibali vya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa. Akifafanua kuwa, kwa mujibu wa sheria za nchi, jukumu la vyama vya siasa vinapotaka kufanya mikutano hiyo sio kuomba kibali, bali ni...
Wakili Peter Madeleka amesema kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani hana mamlaka Kikatiba ya kutoa Amri kwa Majeshi au mkuu wa Jeshi la Polisi.
Akizungumza leo Jijini Dar es salaam, Madeleka amesema hatua ya Waziri mwenye dhamana ya Mambo ya Ndani Patrobas Katambi kutoa amri kwa Polisi kutokutoa kibali...
Wakili Peter Madeleka, tayari amefika kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi ambapo kesi inayowahusu waliokuwa wafanyabiashara 'wapangaji' kwenye jengo la ghorofa lililoporomo Kariakoo, Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwaka 2024 inaanza kusikilizwa leo, Jumatatu Mei...
Wakili Peter Madeleka amesema "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini, akisisitiza kuwa madai ya mabadiliko ya kisiasa na kikatiba ni haki ya msingi ya kidemokrasia na sio uchochezi au kosa la jinai. Alifafanua kuwa katika mfumo wa vyama vingi, kila chama kina haki ya kuwa na sera na...
Nakushauri kwa madini uliyonayo utubu dhambi zako na ufanye uchaguzi sahihi.
Mtu alie makini hawezi kukaa kwenye chama kama Act Wazalendo.
Unajenga hoja za msingi lakini watu wanakudharau sababu ya kuwa upo na kibaraka wa CCM mwenye makunyanzi.
Wakili Peter Madeleka amesema amesema "Taifa limekwama kabisa katika namna ambayo haijawahi kutokea tangu tupate uhuru. Mkwamo ni kwamba... mkwamo unasababishwa na uongozi mbovu.
Kwa sababu ili taifa liweze kustawi, lipate maendeleo, linahitaji uongozi thabiti, uongozi madhubuti. Kuna nukuu...
Wakili Peter Madeleka amesema Jaji Shande anaeleza ukweli kuhusu madai ya jaribio la mapinduzi lililoratibiwa, kufadhiliwa na kutekelezwa, ingawa hakufafanua waliohusika moja kwa moja. Amesema kauli hizo zinaonyesha kuna mambo muhimu ambayo jamii bado haijayaelewa kikamilifu.
Madeleka amedai...
Wakili Peter Madeleka akiwa kwenye Mjadala wa Kitaifa kuhusu hatma ya Nchi uliofanyika leo Mei 16, 2026 amesema;
"Nchi yetu ipo kwenye msiba. Na kwa mara ya mwisho tangu mwaka 1907... mwaka 2025 nchi imeshuhudia mamia ya Watanzania wakiuawa bila sababu za msingi na bila uwajibikaji wowote...
Ufuatiliaji wa JamiiCheck
JamiiCheck imefuatilia na kujiridhisha kuwa picha hii si halisi bali imehaririwa kwa Akili Unde.
Zaidi soma: POTOSHI Je, picha hii ya mfungwa aliyevaa hereni kutoka gereza la UKONGA ni halisi?
Sasa inabidi TUKUBALIANE. Kwamba; TUTENGE siku moja, kuanzia ASUBUHI hadi JIONI, CCM wamsifie RAIS, mpaka WACHOKE. Baada ya hapo TUENDELEE na MAMBO YA MSINGI kama watu wenye AKILI TIMAMU
Umeitwanna tume ya Chande jana. Tueleze ulihojiwa kujusu nini na what is your take home message from your casual observation ya tume yenyewe! Inclination yake ni ipi?
Uliwahoji kwanini wanazima mtandao wasionekane wala testimonies za wahojiwa zisiwe public? That was the most important question
Peter Madeleka, amekosoa utendaji wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na jeshi la polisi, akidai kuwa mchakato wa utoaji haki nchini umejaa migongano ya kisheria na matukio yanayovunja utu wa binadamu.
Soma: PostGE2025 - Rais Samia: Huko Mahabusu kuna watu hawana hatia, wanafungwa kwa kesi ya...
Anaandika Wakili Peter Madeleka kwenye ukurasa wake wa X:
Itakavyokuwa
Ikiwa watu wataendelea KUGOMA kupeleka USHAHIDI kwa TUME; basi TUME itakuja na RIPOTI kwamba; “HAKUNA USHAHIDI WA WATU KUULIWA 29 OKTOBA 2025”. Watu wakimwaga UGALI, Tume itamwaga MBOGA na MAJI YA KUNAWA
Huyu Peter Madeleka huyu, sijui kwanini anaongea kwa mafumbo (rhetorically) badala ya kusema kwa uwazi tu ili Hamza Johari na Nassoro Katuga waelewe kirahisi🤔🤔😀😀
Fumbo mfumbie mjinga lakini mwerevu............................(malizia)
#D9 #SAMIAMUSTGO
Kada wa chama cha ACT Wazalendo, Wakili Peter Madeleka, amesema anaiamini kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyoeleza kuwa vurugu za Oktoba 29 hazikuhusisha vijana wa Tanzania, akisisitiza kuwa kauli hiyo haiwezi kupuuzwa na inapaswa kuwa chanzo cha uwajibikaji wa vyombo vya ulinzi na usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.