peter madeleka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka; "Kama Sofia akiamua kudai fidia kutoka kwa paul chacha haiwezi kuwa chini ya billioni tano za kitanzania"

    "Kama Sofia akiamua kudai fidia kutoka kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha, haiwezikuwa chini ya shilingi Bilioni tano za kitanzania" Amesema wakili Peter Madeleka. Akihojiwa kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, Wakili Madeleka amebainisha kuwa ikiwa Sofia ataamua...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka tusaidie ufafanuzi wa kisheria kwa Mhadhiri wa UDOM kuachiwa huru na masharti kama mtu aliye kwenye kifungo cha nje

    Serikali haina nia ya kuendelea na kesi. Sasa dhamana inatoka wapi tena? Unampa mtu dhamana mtu aliye na kesi inayoendelea as far as I know. Masharti yanatoka wapi ya kuripoti kila friday ya mwisho wa mwezi for a year wakati kufutiwa kesi siyo kifungo cha nje. Kuna vitu haviko sawa. peter...
  3. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Paul Chacha ana kesi ya kujibu kuhusu dada aliyemtongoza, ametoa taarifa bila ridhaa

    Wakili Peter Madeleka amesema anafunga safari kuelekea Tabora kwa ajili ya kusimamia kesi ya mwanamke aitwaye Sophia ambaye anatuhumiwa kumtongoza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha, ambaye aliteuliwa Katibu wa Oganaizesheni Ya CCM. Taarifa hizo zimeibuka kufuatia mahojiano maalum...
  4. Informer

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka afunguliwa mashtaka matano ya dharau kwa mahakama (Contempt of Court)

    DAR ES SALAAM: Jamhuri imemfungulia mashtaka matano ya dharau kwa mahakama (Contempt of Court) Wakili Peter Michael Madeleka (46) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mashtaka hayo yanahusiana na kauli na machapisho anayodaiwa kuyatoa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vya...
  5. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka apandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka matano yanayomkabili

    Hii ni hati ya mashtaka (Charge Sheet) dhidi ya Peter Michael Madeleka, wakili. Kwa ufupi, inasema: Anachotuhumiwa nacho Madeleka amefunguliwa makosa 5 ya “Contempt of Court” (kudharau/kukiuka mamlaka au amri ya mahakama) chini ya Section 114(1)(a) ya Penal Code, Cap. 16 R.E. 2023. Mashtaka...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Wakili Kisabo: Tumemdhmini Madeleka, ila hatujaondoka naye. ZCO amesema Polisi watamrejesha nyumbani kabla ya saa 6

    Wakili Paul Kisabo amesema wamefanikiwa kumdhamini Wakili Peter Madeleka ambaye alikamatwa kwa tuhuma za kudharau amri ya mahakama. Wakili Kisabo amesema pamoja na kufanikiwa kumdhamini, wameshindwa kuondoka naye baada ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Kanda Maalun (ZCO) kuwaeleza kuwa...
  7. bhachu

    JamiiForums Tanzania Swali la msingi: Sheria ni Moja kwa wote?

    Kuna jambo linahitaji mjadala wa wazi, bila ushabiki wa kisiasa wala kumhukumu mtu kabla ya mchakato wa kisheria kukamilika. Wakili Peter Madeleka amekumbana na hatua za polisi katika mazingira yanayohusishwa na masuala yake ya kisheria. Wakati huo huo, mwaka 2023 mfanyabiashara Rostam Aziz...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limesema kuwa tarehe 14 Agosti 2026, saa 9:30 alasiri, eneo la Mikocheni B, Kinondoni, limemkamata na linamhoji Peter Madeleka kwa tuhuma za kudharau amri za Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, maarufu kama “Mahakama ya...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Si kosa wakili kuongea na wanahabari mahakamani

    Wakili Peter Madeleka amesema si kosa la kimaadili au la jinai kwa mtu yeyote, wakiwemo mawakili, kuongea na vyombo vya habari kwenye viunga vya mahakama baada ya ahirisho la kesi. Mahakama kuu ya Tanzania iliwakumbusha mawakili wote wanaohudhuria mashauri mahakamani kuzingatia na kuheshimu...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Watu wanaomzunguka Rais wanamuhujumu, tumeomba AFCON ifanyike hapa halafu mtu anasema kuna ugaidi!

    Wakili Peter Madeleka, amewashutumu baadhi ya wasaidizi na watu waliopo pembeni mwa Rais kwa kumhujumu kiongozi huyo wa nchi na kuingiza taifa kwenye hatari. Soma: Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON Madeleka amebainisha kuwa...
  11. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka aipiga teke ACT WAZALENDO. Hajawa clear na destination yake kisiasa. Lakini kwa alivyoisifia CHADEMA, namuona akitua huko..!

    https://youtu.be/tN1-smB7nOo?si=j1dEU9tUQi1fNu2N Anasema: 1. Ameamua kutoka huko ili kuungana na wapigania haki wengine kuipigania haki, demokrasia na utawala bora Tanzania 2. Haoni chama kingine chochote ambacho kinapata uungwaji mkono mkubwa toka kwa wananchi kwa sasa kuliko wakati...
  12. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka Aondoka Rasmi ACT-Wazalendo

    Hii ni Taarifa yake aliyoiposti kwenye ukurasa wake wa X: "Leo tarehe 26 Julai 2026 mimi PETER MADELEKA natangaza rasmi KUACHANA NA SIASA ZA ACT WAZALENDO.Nafanya hivyo ili nipate MUDA WA KUTOSHA kuungana na WAPENDA HAKI wote katika KUPIGANIA HAKI na USTAWI wa nchi yetu.Tanzania yenye HAKI...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Jaji Mkuu na Mahakama wasiwe kielelezo cha kuvunja haki za watu, Mahakama haiwezi kuwa tawi la chama cha siasa

    Wakili Peter Madeleka amesema Mahakama haiwezi kuwa tawi la chama cha siasa kwa kuwa ni mhimili huru kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania. Amesema uhuru wa Mahakama hauzuii wananchi kuzungumzia masuala yanayohusu mwenendo wa haki na shughuli za mahakama, akisisitiza kuwa Mahakama inapaswa kuongozwa...
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Darasa la Sheria la Wakili Peter Madeleka

    Huu ni mfululizo wa elimu inayotolewa na mwanaharakati huyo ili kuelimisha umma kuhusu utawala wa sheria na haki za kikatiba nchini Tanzania. Katika masomo yake, Madeleka anafafanua kuwa sheria ya polisi inataka vyama vya siasa kutoa taarifa tu ya mikutano badala ya kuomba kibali...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina na Wakili Peter Madeleka wanazungumza, wasema muswada wa kodi unalenga kuwaumiza maskini (Juni 30, 2026)

    https://www.youtube.com/live/KcGPeihnF1c
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Polisi wanaotekeleza maagizo yasiyo ya kisheria ni wahalifu hata kama wana magwanda na manyota

    Wakili Peter Madeleka amesema kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na maofisa wote wa Jeshi la Polisi wanapaswa kutekeleza Katiba na sheria za nchi, badala ya kufuata maelekezo ya viongozi ambayo hayana msingi wa kisheria. "Kile ambacho IGP au ofisa yeyote wa Jeshi la Polisi anapaswa kukitii ni...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Hakuna sheria inayoruhusu Jeshi la Polisi kutoa vibali vya mikutano kwa vyama vya siasa

    Wakili Peter Madeleka amesema kuwa hakuna sheria yoyote inayolipa Jeshi la Polisi mamlaka ya kutoa au kuzuia vibali vya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa. Akifafanua kuwa, kwa mujibu wa sheria za nchi, jukumu la vyama vya siasa vinapotaka kufanya mikutano hiyo sio kuomba kibali, bali ni...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Katambi amekosea, hana mamlaka ya kumwamrisha IGP Madeleka

    Wakili Peter Madeleka amesema kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani hana mamlaka Kikatiba ya kutoa Amri kwa Majeshi au mkuu wa Jeshi la Polisi. Akizungumza leo Jijini Dar es salaam, Madeleka amesema hatua ya Waziri mwenye dhamana ya Mambo ya Ndani Patrobas Katambi kutoa amri kwa Polisi kutokutoa kibali...
  19. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka yupo Mahakamani kwa ajili ya kesi ya wafanyabiashara 'wapangaji' katika jengo la ghorofa lililoporomo Kariakoo

    Wakili Peter Madeleka, tayari amefika kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi ambapo kesi inayowahusu waliokuwa wafanyabiashara 'wapangaji' kwenye jengo la ghorofa lililoporomo Kariakoo, Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwaka 2024 inaanza kusikilizwa leo, Jumatatu Mei...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Madeleka: "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini

    Wakili Peter Madeleka amesema "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini, akisisitiza kuwa madai ya mabadiliko ya kisiasa na kikatiba ni haki ya msingi ya kidemokrasia na sio uchochezi au kosa la jinai. Alifafanua kuwa katika mfumo wa vyama vingi, kila chama kina haki ya kuwa na sera na...
Back
Top Bottom