peter madeleka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka yupo Mahakamani kwa ajili ya kesi ya wafanyabiashara 'wapangaji' katika jengo la ghorofa lililoporomo Kariakoo

    Wakili Peter Madeleka, tayari amefika kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi ambapo kesi inayowahusu waliokuwa wafanyabiashara 'wapangaji' kwenye jengo la ghorofa lililoporomo Kariakoo, Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwaka 2024 inaanza kusikilizwa leo, Jumatatu Mei...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Madeleka: "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini

    Wakili Peter Madeleka amesema "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini, akisisitiza kuwa madai ya mabadiliko ya kisiasa na kikatiba ni haki ya msingi ya kidemokrasia na sio uchochezi au kosa la jinai. Alifafanua kuwa katika mfumo wa vyama vingi, kila chama kina haki ya kuwa na sera na...
  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka ulifanya kosa kubwa sana kugombea ubunge kupitia Act wazalendo huku ukijua ni chama kisichofaa

    Nakushauri kwa madini uliyonayo utubu dhambi zako na ufanye uchaguzi sahihi. Mtu alie makini hawezi kukaa kwenye chama kama Act Wazalendo. Unajenga hoja za msingi lakini watu wanakudharau sababu ya kuwa upo na kibaraka wa CCM mwenye makunyanzi.
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Madeleka: Taifa limekwama kuliko wakati wowote tangu Uhuru kwa sababu ya Uongozi Mbovu

    Wakili Peter Madeleka amesema amesema "Taifa limekwama kabisa katika namna ambayo haijawahi kutokea tangu tupate uhuru. Mkwamo ni kwamba... mkwamo unasababishwa na uongozi mbovu. Kwa sababu ili taifa liweze kustawi, lipate maendeleo, linahitaji uongozi thabiti, uongozi madhubuti. Kuna nukuu...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Ukitaka kuwajua waliohusika na Matukio ya Oktoba 29, rudi kabla ya Uchaguzi, Jeshi liliambiwa lijipange

    Wakili Peter Madeleka amesema Jaji Shande anaeleza ukweli kuhusu madai ya jaribio la mapinduzi lililoratibiwa, kufadhiliwa na kutekelezwa, ingawa hakufafanua waliohusika moja kwa moja. Amesema kauli hizo zinaonyesha kuna mambo muhimu ambayo jamii bado haijayaelewa kikamilifu. Madeleka amedai...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Matukio ya Oktoba 29 yale ni Mauaji siyo Vurugu, kuzungumza Vurugu ni kudogosha “Mauaji”

    Wakili Peter Madeleka akiwa kwenye Mjadala wa Kitaifa kuhusu hatma ya Nchi uliofanyika leo Mei 16, 2026 amesema; "Nchi yetu ipo kwenye msiba. Na kwa mara ya mwisho tangu mwaka 1907... mwaka 2025 nchi imeshuhudia mamia ya Watanzania wakiuawa bila sababu za msingi na bila uwajibikaji wowote...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka: Maigizo ya Bi Samia Suluhu Hassan na wafungwa wavaa heleni, gereza la UKONGA🤪🤪😁

    Ufuatiliaji wa JamiiCheck JamiiCheck imefuatilia na kujiridhisha kuwa picha hii si halisi bali imehaririwa kwa Akili Unde. Zaidi soma: POTOSHI Je, picha hii ya mfungwa aliyevaa hereni kutoka gereza la UKONGA ni halisi?
  8. R

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka: Tutenge siku maalum ya kumsifia Rais. Nami naongezea iwe Siku ya Mapumziko kitaifa

    Sasa inabidi TUKUBALIANE. Kwamba; TUTENGE siku moja, kuanzia ASUBUHI hadi JIONI, CCM wamsifie RAIS, mpaka WACHOKE. Baada ya hapo TUENDELEE na MAMBO YA MSINGI kama watu wenye AKILI TIMAMU
  9. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Peter Madeleka ueleze Umma ulihojiwa nini na tume ya Chande

    Umeitwanna tume ya Chande jana. Tueleze ulihojiwa kujusu nini na what is your take home message from your casual observation ya tume yenyewe! Inclination yake ni ipi? Uliwahoji kwanini wanazima mtandao wasionekane wala testimonies za wahojiwa zisiwe public? That was the most important question
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka: Rais aliongea kwa uchungu sana watu kubambikiwa kesi

    Peter Madeleka, amekosoa utendaji wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na jeshi la polisi, akidai kuwa mchakato wa utoaji haki nchini umejaa migongano ya kisheria na matukio yanayovunja utu wa binadamu. Soma: PostGE2025 - Rais Samia: Huko Mahabusu kuna watu hawana hatia, wanafungwa kwa kesi ya...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Alichokiandika Peter Madeleka kuhusu Tume ya Jaji Chande

    Anaandika Wakili Peter Madeleka kwenye ukurasa wake wa X: Itakavyokuwa Ikiwa watu wataendelea KUGOMA kupeleka USHAHIDI kwa TUME; basi TUME itakuja na RIPOTI kwamba; “HAKUNA USHAHIDI WA WATU KUULIWA 29 OKTOBA 2025”. Watu wakimwaga UGALI, Tume itamwaga MBOGA na MAJI YA KUNAWA
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka: Siku Mange Kimambi akimamatwa, akashitakiwa na kutiwa hatiani kwa kesi hii, basi hiyo siku ndiyo YESU atarudi rasmi duniani😀

    Huyu Peter Madeleka huyu, sijui kwanini anaongea kwa mafumbo (rhetorically) badala ya kusema kwa uwazi tu ili Hamza Johari na Nassoro Katuga waelewe kirahisi🤔🤔😀😀 Fumbo mfumbie mjinga lakini mwerevu............................(malizia) #D9 #SAMIAMUSTGO
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Kama walioandamana ni vijana kutoka Nje ya Tanzania vyombo vya ulinzi vina kazi gani?

    Kada wa chama cha ACT Wazalendo, Wakili Peter Madeleka, amesema anaiamini kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyoeleza kuwa vurugu za Oktoba 29 hazikuhusisha vijana wa Tanzania, akisisitiza kuwa kauli hiyo haiwezi kupuuzwa na inapaswa kuwa chanzo cha uwajibikaji wa vyombo vya ulinzi na usalama...
  14. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Yeriko Nyerere, Peter Madeleka, Salim Mwalimu Na James Mbowe, Je Uchaguzi umeisha?

    Nauliza Mbona Hawasemi Kitu Hawa Wagombea Kwenye Uchaguzi Mkuu Wa 2025...kipi Kimewapata..?
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Madeleka: Niliunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu hakusema atazuia uchaguzi, kama angesema hivyo kabla, nisingemuunga mkono

    Wakili Peter Madeleka akihojiwa na Jambo TV amesema, "Wakati namuunga mkono ili Tundu Lissu achaguliwe na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama, hakuna mahala popote alisema atazuia Uchaguzi akiingia madarakani, na kama angelisema hivyo mimi nisingemuunga mkono."
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Madeleka: Polisi mkituchagua ACT Wazalendo, kila Askari atamiliki Ghorofa na Land Cruiser

    Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia ACT Wazalendo, Peter Madeleka, amesema kuwa serikali iliyoko madarakani sasa itafikia kikomo cha uhalali wake mwezi Oktoba mwaka huu, na hivyo Watanzania wana jukumu la kuunda serikali mpya kupitia uchaguzi. Julai 4, 2025 akihutubia mkutano wa hadhara...
  17. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Martin Maranja Masese: Hivi ndivyo tutakavyozuia chaguzi zote zijazo kuanzia na huu wa 2025

    Ni mjadala unaoendelea huko X/Twitter kati ya Martin M. Masese na Peter Madeleka (wakili). Alianza kwa swali la kejeli Martin M. Masese akamshushia nondo hizi akirejea mavuguvugu mbalimbali yaliyowahi kutokea ktk nchi mbalimbali duniani yakihamasishwa na kaulimbiu (slogans) kali kama ilivyo...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka kimekupata nini? It is a pity kuwa mtu aliyekuwa shujaa wa IMANI kutete haki leo Unatetea utekaji!

    Madeleka kugombea Ubunge Tabora kumekutoa akili kweli? Mbona ulikuwa shujaa wa IMANI katika Mungu na mkeo kaokoka? Leo unasema utekaji umepungu/haupo? Kweli? Umeshakuwa "chawa" wa ACT, but remotely chawa wa CCM! KWELI HAKUNA UTEKAJI?
  19. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka: CHADEMA kuzuia Uchaguzi 2025 kwa kigezo hakuna "reforms" ni kosa la Jinai

    Wakili Peter Madeleka amesema CHADEMA kupanga kuzuia Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 ni kupanga kufanya kosa la jinai, na kwamba ACT Wazalendo haiwezi kuunga mkono suala hilo. Mahojiano ya One on One ambayo Shahidi wa Jamhuri Charles William amefanya na Wakili Madeleka yanapatikana pia katika...
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka ateuliwa Waziri kivuli wa katiba na sheria

    Mwanasheria na Mwanaharakati mashuhuri nchini Wakili Peter Madeleka ametuliwa kuwa Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria katika Baraza Kivuli la Mawaziri la ACT Wazalendo. Uteuzi huo umefanywa leo tarehe 17 Juni na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Dorothy Semu.
Back
Top Bottom