Tuseme ukweli, zipo changamoto zinalikabili Taifa la Tanzania, lakini hakuna awamu imetatua changamoto kama Awamu ya Rais Samia Suluhu

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Jan 3, 2013
2,161
1,493
Dunia kwa ujumla inapitia changamoto ya matarajio ya kuporomoka kwa uchumi, kwa kuwa Tanzania ni sehemu ya Dunia pia inapitia changamoto ya mfumuko wa bei( kwa Afrika Mashariki Tanzania ni nchi ambayo imedhibiti mfumuko wa bei kuliko nchi nyingine)

Ni muhimu Watanzania kujua Serikali hii ya awamu ya sita imefanya kila jitihada kuhakikisha kuwa

1.Huduma za Afya zinaboreshwa kwa kuhakikisha Kila mkoa na Wilaya kuna Hospital zenye Wataalam wa kutosha na vifaa vya kutosha. Kila kata kuna vituo vya Afya ambavyo vina Watalaam , vifaa na dawa za kutosha. Aidha kila kila kijiji kwa sasa kuna Zahanati yenye Wataalam wa Afya wa kutoa huduma kwa Watanzania.

2. Elimu.. Serikali ya awamu ya sita imejenga kila mkoa Shule Maalum ya masomo ya Sayansi kwa ajili ya watoto wa kike. Kwa sasa hakuna kata isiyokuwa na shule y Sekondari. Asilimia 95 ya Watoto wanaomaliza darasa la saba wanaendelea na Elimu ya Sekondari. Kwa sasa Wanafunzi wote wanasoma wakiwa wamekaa kwenye madawati, awamu hii yamejengwa madarasa ya kutosha kwa kila shule iliyopo Tanzania. Kama kuna Mwnafunzi anakaa chini basi Mkurugenzi wa eneo hilo anafaa kujitathimini.

3. Umeme, yawezekana hii ndio ikawa historia ya Tatizo la umeme Tanzania. JNHPP na miradi mingine ya nishati ya upepo, jua inayoazishwa inaiweka Tanzania kuwa ni moja ya nchi itakyokuwa na nishati ya ziada mpaka kuweza kuuzia nchi nyingine za Afrika Mashariki.

4. Barabara, kwa sasa unatoka Dar Es Salaam mpaka Kigoma, Katavi, Rukwa, Mtwara barbara zote zimeunganishwa kwa mtandao wa lami. Barabara zote zinafikika kipindi chote cha miezi 12.

5.Ugatuzi wa madaraka, ni awamu hii ambayo Watanzania wameshika hatamu ya uongozi, Madaraka yako kwa Wananchi. Watanzania wanaelewa na kusimamia miradi inayoazishwa.

6. Awamu hii ndio imetenda haki kwa Watumishi wa Umma, Watumishi wa Umma ambao miaka mingi walistahili kupanda madaraja na hawakupandishwa sasa wamepandishwa mseleleko. Watumishi wote wamelipwa madai yao yote waliyokuwa wanadai kwa miaka mingi.

Hakuna Taifa lisilo na changamoto, Tuendelee kuiombea Tanzania.

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
 
Dunia kwa ujumla inapitia changamoto ya matarajio ya kuporomoka kwa uchumi, kwa kuwa Tanzania ni sehemu ya Dunia pia inapitia changamoto ya mfumuko wa bei( kwa Afrika Mashariki Tanzania ni nchi ambayo imedhibiti mfumuko wa bei kuliko nchi nyingine)

Ni muhimu Watanzania kujua Serikali hii ya awamu ya sita imefanya kila jitihada kuhakikisha kuwa

1.Huduma za Afya zinaboreshwa kwa kuhakikisha Kila mkoa na Wilaya kuna Hospital zenye Wataalam wa kutosha na vifaa vya kutosha. Kila kata kuna vituo vya Afya ambavyo vina Watalaam , vifaa na dawa za kutosha. Aidha kila kila kijiji kwa sasa kuna Zahanati yenye Wataalam wa Afya wa kutoa huduma kwa Watanzania.

2. Elimu.. Serikali ya awamu ya sita imejenga kila mkoa Shule Maalum ya masomo ya Sayansi kwa ajili ya watoto wa kike. Kwa sasa hakuna kata isiyokuwa na shule y Sekondari. Asilimia 95 ya Watoto wanaomaliza darasa la saba wanaendelea na Elimu ya Sekondari. Kwa sasa Wanafunzi wote wanasoma wakiwa wamekaa kwenye madawati, awamu hii yamejengwa madarasa ya kutosha kwa kila shule iliyopo Tanzania. Kama kuna Mwnafunzi anakaa chini basi Mkurugenzi wa eneo hilo anafaa kujitathimini.

3. Umeme, yawezekana hii ndio ikawa historia ya Tatizo la umeme Tanzania. JNHPP na miradi mingine ya nishati ya upepo, jua inayoazishwa inaiweka Tanzania kuwa ni moja ya nchi itakyokuwa na nishati ya ziada mpaka kuweza kuuzia nchi nyingine za Afrika Mashariki.

4. Barabara, kwa sasa unatoka Dar Es Salaam mpaka Kigoma, Katavi, Rukwa, Mtwara barbara zote zimeunganishwa kwa mtandao wa lami. Barabara zote zinafikika kipindi chote cha miezi 12.

5.Ugatuzi wa madaraka, ni awamu hii ambayo Watanzania wameshika hatamu ya uongozi, Madaraka yako kwa Wananchi. Watanzania wanaelewa na kusimamia miradi inayoazishwa.

Hakuna Taifa lisilo na changamoto, Tuendelee kuiombea Tanzania.

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Punguza ujinga basi.2025 unataka kusema matatizo yametafutwa na serikali ya vyama pinzani ccm ijakuwepo
 
Umekosea kitu kimoja, hujaweka contacts zako hapo mwisho. You never know, I mean you never know when you'll be recognised.
 
Dunia kwa ujumla inapitia changamoto ya matarajio ya kuporomoka kwa uchumi, kwa kuwa Tanzania ni sehemu ya Dunia pia inapitia changamoto ya mfumuko wa bei( kwa Afrika Mashariki Tanzania ni nchi ambayo imedhibiti mfumuko wa bei kuliko nchi nyingine)

Ni muhimu Watanzania kujua Serikali hii ya awamu ya sita imefanya kila jitihada kuhakikisha kuwa

1.Huduma za Afya zinaboreshwa kwa kuhakikisha Kila mkoa na Wilaya kuna Hospital zenye Wataalam wa kutosha na vifaa vya kutosha. Kila kata kuna vituo vya Afya ambavyo vina Watalaam , vifaa na dawa za kutosha. Aidha kila kila kijiji kwa sasa kuna Zahanati yenye Wataalam wa Afya wa kutoa huduma kwa Watanzania.

2. Elimu.. Serikali ya awamu ya sita imejenga kila mkoa Shule Maalum ya masomo ya Sayansi kwa ajili ya watoto wa kike. Kwa sasa hakuna kata isiyokuwa na shule y Sekondari. Asilimia 95 ya Watoto wanaomaliza darasa la saba wanaendelea na Elimu ya Sekondari. Kwa sasa Wanafunzi wote wanasoma wakiwa wamekaa kwenye madawati, awamu hii yamejengwa madarasa ya kutosha kwa kila shule iliyopo Tanzania. Kama kuna Mwnafunzi anakaa chini basi Mkurugenzi wa eneo hilo anafaa kujitathimini.

3. Umeme, yawezekana hii ndio ikawa historia ya Tatizo la umeme Tanzania. JNHPP na miradi mingine ya nishati ya upepo, jua inayoazishwa inaiweka Tanzania kuwa ni moja ya nchi itakyokuwa na nishati ya ziada mpaka kuweza kuuzia nchi nyingine za Afrika Mashariki.

4. Barabara, kwa sasa unatoka Dar Es Salaam mpaka Kigoma, Katavi, Rukwa, Mtwara barbara zote zimeunganishwa kwa mtandao wa lami. Barabara zote zinafikika kipindi chote cha miezi 12.

5.Ugatuzi wa madaraka, ni awamu hii ambayo Watanzania wameshika hatamu ya uongozi, Madaraka yako kwa Wananchi. Watanzania wanaelewa na kusimamia miradi inayoazishwa.

Hakuna Taifa lisilo na changamoto, Tuendelee kuiombea Tanzania.

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Naona umetumia majina yako yote matatu mkuu hongera
Kuna mwenzako yeye kakuzidi anaweka namba kabisa jiongeze uweke na picha yako halisi na cv

Kwa machawa wa kiume mnatumia majina gani
Maana wenzenu wanajiita Queens
 
Dunia kwa ujumla inapitia changamoto ya matarajio ya kuporomoka kwa uchumi, kwa kuwa Tanzania ni sehemu ya Dunia pia inapitia changamoto ya mfumuko wa bei( kwa Afrika Mashariki Tanzania ni nchi ambayo imedhibiti mfumuko wa bei kuliko nchi nyingine)

Ni muhimu Watanzania kujua Serikali hii ya awamu ya sita imefanya kila jitihada kuhakikisha kuwa

1.Huduma za Afya zinaboreshwa kwa kuhakikisha Kila mkoa na Wilaya kuna Hospital zenye Wataalam wa kutosha na vifaa vya kutosha. Kila kata kuna vituo vya Afya ambavyo vina Watalaam , vifaa na dawa za kutosha. Aidha kila kila kijiji kwa sasa kuna Zahanati yenye Wataalam wa Afya wa kutoa huduma kwa Watanzania.

2. Elimu.. Serikali ya awamu ya sita imejenga kila mkoa Shule Maalum ya masomo ya Sayansi kwa ajili ya watoto wa kike. Kwa sasa hakuna kata isiyokuwa na shule y Sekondari. Asilimia 95 ya Watoto wanaomaliza darasa la saba wanaendelea na Elimu ya Sekondari. Kwa sasa Wanafunzi wote wanasoma wakiwa wamekaa kwenye madawati, awamu hii yamejengwa madarasa ya kutosha kwa kila shule iliyopo Tanzania. Kama kuna Mwnafunzi anakaa chini basi Mkurugenzi wa eneo hilo anafaa kujitathimini.

3. Umeme, yawezekana hii ndio ikawa historia ya Tatizo la umeme Tanzania. JNHPP na miradi mingine ya nishati ya upepo, jua inayoazishwa inaiweka Tanzania kuwa ni moja ya nchi itakyokuwa na nishati ya ziada mpaka kuweza kuuzia nchi nyingine za Afrika Mashariki.

4. Barabara, kwa sasa unatoka Dar Es Salaam mpaka Kigoma, Katavi, Rukwa, Mtwara barbara zote zimeunganishwa kwa mtandao wa lami. Barabara zote zinafikika kipindi chote cha miezi 12.

5.Ugatuzi wa madaraka, ni awamu hii ambayo Watanzania wameshika hatamu ya uongozi, Madaraka yako kwa Wananchi. Watanzania wanaelewa na kusimamia miradi inayoazishwa.

Hakuna Taifa lisilo na changamoto, Tuendelee kuiombea Tanzania.

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Awali ya yote, hii ni Awamu endelezi ya Hayat Rais John Pombe Magufuli.

Ieleweke, hakujafanyika Uchaguzi wa Kuutweka Serikali hii na title ya Awamu ya Sita. Nitakubaliana na yeyote yule kwamba huu ni wakati wa Rais Samia, lakini sio Awamu yake. Asubiri kuchaguliwa 2025.

Awamu zinatokana na Chaguzi na sio Vinginevyo. Tanzania kumekuwa na Chaguzi Tano za Maraisi kwa vipindi vya miaka kumi kumi mpaka sasa.


Kwamba "Kazi iendelee" ni muendelezo wa "Hapa kazi tu"

Tusidekeze Siasa za kushinikizwa. Na kukubali Ukoloni Mamboleo, pamoja na kulazimishwa hii ni Awamu ya Sita.

Msitufanye wote ni mazuzu, kwa kutulazimisha kuwa Watanzania wote ni mazuzu

Mbakie na uzuzu wenu nyie wenyewe. Mnajijua..

Sasa naelewa mtakuja wengine hapa na kusema kuwa 'Simkubali' Raisi Samia.

Nawaambieni mapema sana Namkubali, ni Raisi Wangu-mimi sio CHADEMA waliokuwa wakisuasua kuhusu Serikali iliyopo madarakani. Usisahau kula daku.
 
Uchaguzi huoooo
Naona wanaajiriwa kila kukicha
Kijana yule naona kawekwa pembeni kwa mda wameajiri wapya watatu kwa mpigo utafikiri timu ya mpira
 
Dunia kwa ujumla inapitia changamoto ya matarajio ya kuporomoka kwa uchumi, kwa kuwa Tanzania ni sehemu ya Dunia pia inapitia changamoto ya mfumuko wa bei( kwa Afrika Mashariki Tanzania ni nchi ambayo imedhibiti mfumuko wa bei kuliko nchi nyingine)

Hakuna Taifa lisilo na changamoto, Tuendelee kuiombea Tanzania.

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Naunga mkono hoja
P
 
I CAN'T IMAGINE /BELIEVES ON HOW MAADAM SAMIA COMES OUT QUICKLY FROM WORSES AND ROTTEN ECONOMY OF FIFTH GENERETION, INCHI ILIKUWA IMEOZA, IMEKWISHA NA KUFA KIUCHUMI HII.
 
Back
Top Bottom