Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
Unacheka , unaendelea na maisha yako, kujirekodi ukiwa unacheka na kuisambaza hapo itabidi dhamira yako ya kufanya hayo mawili yaani kujirekodi na kuisambaza aingaliwe , je Ni dhamira ovu?Lione jioga! Ukiona kitu kinakuchekesha unafanyaje?
Sent using Jamii Forums mobile app