pmwasyoke
Platinum Member
- May 27, 2010
- 4,904
- 3,626
Mkuu utatumbuliwa, ohoo!nchi ishaingia ZIKA.
Mkuu utatumbuliwa, ohoo!nchi ishaingia ZIKA.
Huyu kavamiwa na Wahuni wa chademaDaaah police wetu huwezi wasikia wamewakamata watu kama hawa interijensia yao ipo kwa Lema na Max.....
Mungu mkubwa kama umepona kwanza shukuru kuna wakili mmoja wa Kenya miezi miwili iliyopita alitekwa na wateja wake na dereva wake wakauawa na kuwekwa kwenye mifuko na kutupwa kwenye mto uku wakiwa wamakatwa katwa na mapanga
Huyu hapa............![]()
Very sad pole sana wakili....
Pole mkuu Nahisi vijana wa ufipa Ndiyo wahusika wakuu make wanafuga wahalifu na kawaita walinzi wa viongozi![]()
Haya ndio aliyoandika baada ya tukio!
Ndugu zangu, nawashukuruni wote mliojaribu kunitafuta na kunipa pole toka jana. Sikuwa napatikana kwa sababu walionivamia waliiba simu pamoja na vitu vingine.
Kilichotokea: Usiku wa saa tano siku ya Alhamisi (juzi) nilisimamishwa na gari baada kupigiwa honi na kuwashiwa taa na gari iliyokuwa nyuma yangu. Niliposhusha kioo driver akawa anaongea haraka haraka kwamba nimewagonga wakati narudi nyuma parking na nakimbia. Nikamjibu kwamba sijamgonga.
Akaniambia umetugonga angalia bampa. Kweli bampa lilikuwa limelegea. Ila sikuwa nimewagonga hivyo nikaendelea kubisha. Akaniambia shuka uangalie hata pembeni. Alikuwa amevaa smart tu so nikashuka. Wakati naangalia anaposema nimemgonga wakashuka wengine wawili kutoka kwenye gari na kunishika. Wakaanza kunishambulia huku wakinipora wallet, saa nk. Then wakanikata panga kichwani na kupekua gari wakaondoka na laptop na simu pamoja na funguo wa gari.
Kwa sasa naendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Nawashukuru wote.
Albert Msando
Hii n mbinu mpya! Ukinisimamisha barabarani usiku sisimami, hata uwe rais
Ndo dawa yako umezid jifanya much know sana ww chaliiii.![]()
Haya ndio aliyoandika baada ya tukio!
Ndugu zangu, nawashukuruni wote mliojaribu kunitafuta na kunipa pole toka jana. Sikuwa napatikana kwa sababu walionivamia waliiba simu pamoja na vitu vingine.
Kilichotokea: Usiku wa saa tano siku ya Alhamisi (juzi) nilisimamishwa na gari baada kupigiwa honi na kuwashiwa taa na gari iliyokuwa nyuma yangu. Niliposhusha kioo driver akawa anaongea haraka haraka kwamba nimewagonga wakati narudi nyuma parking na nakimbia. Nikamjibu kwamba sijamgonga.
Akaniambia umetugonga angalia bampa. Kweli bampa lilikuwa limelegea. Ila sikuwa nimewagonga hivyo nikaendelea kubisha. Akaniambia shuka uangalie hata pembeni. Alikuwa amevaa smart tu so nikashuka. Wakati naangalia anaposema nimemgonga wakashuka wengine wawili kutoka kwenye gari na kunishika. Wakaanza kunishambulia huku wakinipora wallet, saa nk. Then wakanikata panga kichwani na kupekua gari wakaondoka na laptop na simu pamoja na funguo wa gari.
Kwa sasa naendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Nawashukuru wote.
Albert Msando
Haaaa huwa wanaboa sana na hilo neno,kwani kuna wakili ambaye amefuzu sio msomi? Au kuna wahitimu wa fani mbali mbali ambao sio wasomi? Kila wakili mara wakili msomi,kwani kuna mawakili ambao sio wasomi yaani hawajaenda Shule na wanafanya uwakili?
Pole Albert Masando The Don,Mkuu walijua KWENYE Ndinga kutakuwa na Mipunga kama unayoiwekaga Instagram .
Hao ni Vibaka tu,Jamabazi haibi simu au Laptop au achukue wallet ambayo haiwezi kuwa hata na laki 5.
Ndo dawa yako umezid jifanya much know sana ww chaliiii.
Mtu kama Msando bado anaishi kijuha namna hiyo inakuwaje ? Makesi kila siku kuna wanaofurahi na wanaochukizwa, hivi hata bastola hana ?Pole wakili. Dar sio sehemu salama ya kuishi. Na hapo kuna ikulu,sasa na mkuu akitimba dodoma nahisi hapo itakuwa sawa na bagdad,somalia.
Bila shaka hawa watakuwa CCM maana amekuwa akiwashinda katika kesi nyingi tu. Hv ni lini CCM wataacha kuua raia wasiokuwa na hatia?![]()
Haya ndio aliyoandika baada ya tukio!
Ndugu zangu, nawashukuruni wote mliojaribu kunitafuta na kunipa pole toka jana. Sikuwa napatikana kwa sababu walionivamia waliiba simu pamoja na vitu vingine.
Kilichotokea: Usiku wa saa tano siku ya Alhamisi (juzi) nilisimamishwa na gari baada kupigiwa honi na kuwashiwa taa na gari iliyokuwa nyuma yangu. Niliposhusha kioo driver akawa anaongea haraka haraka kwamba nimewagonga wakati narudi nyuma parking na nakimbia. Nikamjibu kwamba sijamgonga.
Akaniambia umetugonga angalia bampa. Kweli bampa lilikuwa limelegea. Ila sikuwa nimewagonga hivyo nikaendelea kubisha. Akaniambia shuka uangalie hata pembeni. Alikuwa amevaa smart tu so nikashuka. Wakati naangalia anaposema nimemgonga wakashuka wengine wawili kutoka kwenye gari na kunishika. Wakaanza kunishambulia huku wakinipora wallet, saa nk. Then wakanikata panga kichwani na kupekua gari wakaondoka na laptop na simu pamoja na funguo wa gari.
Kwa sasa naendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Nawashukuru wote.
Albert Msando
Pole sana kamanda Msando. Njama za CCM zitakuwa zimehusika hapa.Daaah police wetu huwezi wasikia wamewakamata watu kama hawa interijensia yao ipo kwa Lema na Max.....
Mungu mkubwa kama umepona kwanza shukuru kuna wakili mmoja wa Kenya miezi miwili iliyopita alitekwa na wateja wake na dereva wake wakauawa na kuwekwa kwenye mifuko na kutupwa kwenye mto uku wakiwa wamakatwa katwa na mapanga
Huyu hapa............![]()
Very sad pole sana wakili....
Haya matukio ni ya kawaida sana popote kunapokuwa na huwepo wa watu.INSECURITY NATIONAL ALERT, WE ARE NOT SAFE.../ HATUKUZOEA HAYA NGO...../
Unataka serikali itoleee tamko kila kitu?hii ndiyo tz yenye laana kwa kweli leo hii ni kupingwa kama mbwa na serikali ipo kimya