Wakili Albert Msando akatwa katwa mapanga Dar

Wakili Albert Msando akatwa katwa mapanga Dar

Hii n mbinu mpya! Ukinisimamisha barabarani usiku sisimami, hata uwe rais
 
Albert pole sana ndugu. M shukurani sana Mungu kwa kuwa wamekuachia uhai wako na wala hawajakufunga kwenye kiroba. Katika mazingira tuliyomo kipindi hiki tunamhitaji sana Mungu akurehemu. Kwa kweli inatisha. Unamkumbuka Dr. Mvungi? Laptop yake mpk Leo gila nene
 
Pole sana ndugu wakili......Tanzania sio Nchi ya amani' ujambazi,wizi,utapeli vimeshamiri...kuna Nchi zenye amani bhana na huwezi sikia vitu ka hivi....
 
Nimesikia amefumaniwa hiyo story ni ya kutunga tu ili ajisafishe kwa mkewe.

Inawezekana Mkuu...
Ilishawai kunitokea nkapewa Chapo heavy nkaporwa na Simu...
Usintanie nkatunga stori nimeuzwa na boda boda kwa bodaboda wenzie wakanipora na kipigo juu...
 
Yaweza kuwa ni mbinu mpya kweli inayoongelewa, na inawezekana pia mbinu hii hii imetumika kuhalalisha upuuzi fulani ili watu wasishtuke sana wafikirie kuwa ni ujambazi wa kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom