Wakili Albert Msando akatwa katwa mapanga Dar

Wakili Albert Msando akatwa katwa mapanga Dar

Je nchi ni salama?
Usalama wa nchi unapimwa na nin?
Umekaaa na keyboard yako ,unapata muda wa kuchati, kulala bila kusikia vilio vya watu wanaopoteza maisha kwa mkono wa binadamu mwenzao, still unauliza kama nchi ipo salama??



Waulize Sudani nchi salama ipoje??

Ishu zingine msifate mkumbo wa kauli za wanasiasa, tumieni akili zenu. Siasa inacheza na akili zenu kwa matakwa fulani
 
Huko dar si ndiyo kuna vituo vya polisi vinavyo hama?
 
Nampa pole ndugu Albert, huu ni dhahiri ujambazi wa aina mpya kabisa. Tumepata fundisho, mtu akijaribu kukusimamisha na kavaa vizuri , usikubali mwambie tuongozane mpaka kituo cha polisi karibu na hapo. Na mwambie chukua nbr ya gari kama anafikiri utakimbia.

Kwa wale wapendao kuzusha mambo na kuwachonganisha watanzania haya fursa hiyo, njooni muitumie kujenga hoja zenu za kinafiki
Mbona unajishuku tulia.
 
Pole sana Msando ila hilo panga ni geresha tu kilichokuwa kinatakiwa ni simu pamoja na Laptop wakague waone upo kundi lipi la ndio mzee au nawe huwa unakosoa?! Sasa hali ni mbaya zaidi haupo salama kama huwa ni mkosoaji any time utatoweka Mungu akikupenda zaidi utaibukia ruvu, dah! usala wa raia sasa upo mashakani kabisa.
 
Hii picha siyo ya Albert Msando!
Kwani alie iweka hapa JF amesema ni Msando? Msiwe mnaangalia picha tu muwe mnasoma na maelezo huyu alikuwa wakili huko Kenya akauwawa kwenye mazingira ya kutatanisha kwa mujibu wa mleta picha.
 
Usalama wa nchi unapimwa na nin?
Umekaaa na keyboard yako ,unapata muda wa kuchati, kulala bila kusikia vilio vya watu wanaopoteza maisha kwa mkono wa binadamu mwenzao, still unauliza kama nchi ipo salama??



Waulize Sudani nchi salama ipoje??

Ishu zingine msifate mkumbo wa kauli za wanasiasa, tumieni akili zenu. Siasa inacheza na akili zenu kwa matakwa fulani

Kwa kuongezea Mkuu tumekuwa kondoo wa siasa tunafuata tu.
 
Hapa kuna taarifa zilikuwa zinaitajika KWA namna yoyote,sasa njia ya kutumia ni pamoja NA hiyo,Bahati sana NA AMSHUKURU MUNGU KUBAKI SALAMA,UNAWEZA POTEA KABISA UKIWA MBISHI ZAIDI OVAAAA!!!??
 
hii nchi so salama tena

Ukiona hata polisi wanashambuliwa ujue Jamii haina Imani na mamlaka

Ukiona mamlaka za serikali zikisifiwa kwa kuvunja sheria kisa mwananchi anayetaka sheria hizo hizo kumlinda basi zisimsaidie lazima mpambano wa mamlaka na wananchi wake utafukuta

Wengi hatuna imani km serikali yetu ipo kwaajili yetu sote km unaishi Tanzania wapo wanaojua serikali inawalinda na wapo wanaojua serikali hii hii inawawinda km swala....km mamlaka zina uhuru wa kutosimamia uhuru kwa kuvunja sheria tegemea haya ya wakili kunusurika kifo, pengine alimtetea mnyonge ambae serikali unaona hastahili haki

Mfano yupo raia mmoja alifanya kosa la kashfa kwa kiongozi kwa kutumia mtandao wa kijamii, akahukumiwa kifungo au faini kwa majibu wa sheria zilizopo.... alipofanikiwa kutoenda jela kwa mujibu wa sheria hizo hizo .... (wamiliki) wa serikali walichukia sana... kwamba adhabu iliyotolewa ni ndogo sana..... mamlaka zingine zikawa tayari kutafuta namna ya kumuadhibi mwananchi huyu kisa hafanani na kulindwa na sheria sifa yake ni moja tu kukandamizwa na sheria hastahili ahueni yeye si mfaidika wa utawala wa sheria .... sasa hali hii kwanini isizae watumishi wa serikali wasio hesimu mipaka ya sheria kwanini watumishi wa serikali wasijiite "MUNGU" ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom