Wakili Albert Msando akatwa katwa mapanga Dar

Wakili Albert Msando akatwa katwa mapanga Dar

Duh ila hiyo mbinu ya kuiba ni kali, kwa waungwana kama mimi lazima nisimame ili tuyamalize kumbe tena ni hatari. Basi mimi kuanzia sasa sishushi hata vioo, ubaya ubaya tu
Ukiona hivyo tena usiku , nenda polisi mkamalizane huko . Kuna nyingine mwanamke anakugongea kioo hasa kwenye foleni , anakuambia fungua kioo , jua wapo wengi ukiwa busy unaongea kwa kukudanganya kuna tatizo kwenye gari lako , huku wengine wanakuibia pochi.
 
0b258c8f1ba3c0c8c2701acb17f49612.jpg

Haya ndio aliyoandika baada ya tukio!

Ndugu zangu, nawashukuruni wote mliojaribu kunitafuta na kunipa pole toka jana. Sikuwa napatikana kwa sababu walionivamia waliiba simu pamoja na vitu vingine.

Kilichotokea: Usiku wa saa tano siku ya alhamisi (juzi) nilisimamishwa na gari baada kupigiwa honi na kiwashiwa taa na gari iliyokuwa nyuma yangu. Niliposhusha kioo driver akawa anaongea haraka haraka kwamba nimewagonga wakati narudi nyuma parking na nakimbia. Nikamjibu kwamba sijamgonga.

Akaniambia umetugonga angalia bampa. Kweli bampa lilikuwa limelegea. Ila sikuwa nimewagonga hivyo nikaendelea kubisha. Akaniambia shuka uangalie hata pembeni. Alikuwa amevaa smart tu so nikashuka. Wakati naangalia anaposema nimemgonga wakashuka wengine wawili kutoka kwenye gari na kunishika. Wakaanza kunishambulia huku wakinipora wallet, saa nk. Then wakanikata panga kichwani na kupekua gari wakaondoka na laptop na simu pamoja na funguo wa gari!!

Kwa sasa naendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Nawashukuru wote.

Albert Msando
Pole wakili msomi, hata hivyo hujajulisha ilikua n wapi na ww ulikua unatokea wapi at that time of the night, otherwise punguza upopo na tambua kwamba uko spotted and people r looking 4 u in 1 way or another..... Get well soon
 
Wakili msomi lakini mzembe,
saa tano ya usiku ,watu huwajui wanakwambia shuka kwenye gari nawe kama kondoo unashuka bila kuchukua tahadhari?,
wa9feweza hata kumtwanga shaba kama wangetaka,
asirudie tena huo uzembe
 
Daaah police wetu huwezi wasikia wamewakamata watu kama hawa interijensia yao ipo kwa Lema na Max.....

Mungu mkubwa kama umepona kwanza shukuru kuna wakili mmoja wa Kenya miezi miwili iliyopita alitekwa na wateja wake na dereva wake wakauawa na kuwekwa kwenye mifuko na kutupwa kwenye mto uku wakiwa wamakatwa katwa na mapanga

Huyu hapa............
9a5704d84cb72d034af97d21b243db51.jpg


Very sad pole sana wakili....
Hiyo ni dhana yako potofu tu,km huna cha kusema Ni busara ukanyamaza.Hayo majambazi yanayokamatwaga Ni wewe unayekamata au ni Polisi wa nchi nyingine?
 
0b258c8f1ba3c0c8c2701acb17f49612.jpg

Haya ndio aliyoandika baada ya tukio!

Ndugu zangu, nawashukuruni wote mliojaribu kunitafuta na kunipa pole toka jana. Sikuwa napatikana kwa sababu walionivamia waliiba simu pamoja na vitu vingine.

Kilichotokea: Usiku wa saa tano siku ya alhamisi (juzi) nilisimamishwa na gari baada kupigiwa honi na kiwashiwa taa na gari iliyokuwa nyuma yangu. Niliposhusha kioo driver akawa anaongea haraka haraka kwamba nimewagonga wakati narudi nyuma parking na nakimbia. Nikamjibu kwamba sijamgonga.

Akaniambia umetugonga angalia bampa. Kweli bampa lilikuwa limelegea. Ila sikuwa nimewagonga hivyo nikaendelea kubisha. Akaniambia shuka uangalie hata pembeni. Alikuwa amevaa smart tu so nikashuka. Wakati naangalia anaposema nimemgonga wakashuka wengine wawili kutoka kwenye gari na kunishika. Wakaanza kunishambulia huku wakinipora wallet, saa nk. Then wakanikata panga kichwani na kupekua gari wakaondoka na laptop na simu pamoja na funguo wa gari!!

Kwa sasa naendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Nawashukuru wote.

Albert Msando
Akiwa kama wakili msomi alitakiwa kujua hatari anazoweza kukumbana nazo akiwa kama raia pia kama wakili.Unasimamishwa usiku na watu usio wajua huku ukijua hujafanya wanachokushutumu,unashuka kwenye gari... something fishy ,au aligonga kitwa.ng.a?
 
0b258c8f1ba3c0c8c2701acb17f49612.jpg

Haya ndio aliyoandika baada ya tukio!

Ndugu zangu, nawashukuruni wote mliojaribu kunitafuta na kunipa pole toka jana. Sikuwa napatikana kwa sababu walionivamia waliiba simu pamoja na vitu vingine.

Kilichotokea: Usiku wa saa tano siku ya alhamisi (juzi) nilisimamishwa na gari baada kupigiwa honi na kiwashiwa taa na gari iliyokuwa nyuma yangu. Niliposhusha kioo driver akawa anaongea haraka haraka kwamba nimewagonga wakati narudi nyuma parking na nakimbia. Nikamjibu kwamba sijamgonga.

Akaniambia umetugonga angalia bampa. Kweli bampa lilikuwa limelegea. Ila sikuwa nimewagonga hivyo nikaendelea kubisha. Akaniambia shuka uangalie hata pembeni. Alikuwa amevaa smart tu so nikashuka. Wakati naangalia anaposema nimemgonga wakashuka wengine wawili kutoka kwenye gari na kunishika. Wakaanza kunishambulia huku wakinipora wallet, saa nk. Then wakanikata panga kichwani na kupekua gari wakaondoka na laptop na simu pamoja na funguo wa gari!!

Kwa sasa naendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Nawashukuru wote.

Albert Msando
Pole sana .Allah akusaidie upoe haraka
 
Jamani ebu boresheni mifumo yenu! Haya matukio ya uwizi na uporaji wa simu ipungue kwa kuwa na mfumo ambao mhusika aliyeibiwa simu anaripoti kwenu na hiyo simu inakuwa bloked kwa matumizi ndani ya Tanzania.

TCRA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom