Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,094
INSECURITY NATIONAL ALERT, WE ARE NOT SAFE.../ HATUKUZOEA HAYA NGO...../
Acha kejeli punguani mbweha wewe, unaonekana kabisa wewe ni mhalifu sugu ndo maana unajibu utumbo wakati mtu anaongea kweli tupu.Hamia Sudan Kusini Mkuu. Pako poa kuliko Tanzania.
Hakuna aliye MKUU chini ya ardhi zaidi ya MWENYEZI MUNGU kinyume na hapo ni kujikweza asante sana MotochiniPole sana mkuu
Pole sana Ndugu
Wee paka unasema ujinga gani watu wanawaza ya maana unaleta laana zako huku,punguani kweli wewe kama una kichaaa cha mbwa tulia hukoUkisikia kupotezwa au sijaribiwi ndio huku sasa. Usalama umekuwa mdogo sana. Hapa kuna kitu sio bure.
Bora uwaeleze mkuu maana wapo vichaa wa ufipa humu wanaanza kuunganisha na serikaliPole sana kuna mtu mmoja aliwahi kutoa tahadhali juu ya mbinu hii mpya ya kuiba
Sijui kama walikuwa wanaelewa maana ya wanachokitendaWatu bhana wanalike habari km hii kweli???
Ukiambiwa akili yako yakibavicha unaruka...jionee sasa mwenyewe ulichoandikaDaaah police wetu huwezi wasikia wamewakamata watu kama hawa interijensia yao ipo kwa Lema na Max.....
Mungu mkubwa kama umepona kwanza shukuru kuna wakili mmoja wa Kenya miezi miwili iliyopita alitekwa na wateja wake na dereva wake wakauawa na kuwekwa kwenye mifuko na kutupwa kwenye mto uku wakiwa wamakatwa katwa na mapanga
Huyu hapa............![]()
Very sad pole sana wakili....
Ukisikia kupotezwa au sijaribiwi ndio huku sasa. Usalama umekuwa mdogo sana. Hapa kuna kitu sio bure.
Hii kauli lazima ithibitishwe na vyombo mbalimbali vya usalama kabla ya kutangazwa kwenye media. Ushasahau mara hii kilichotokea kule NIMR?hii nchi so salama tena
Tena usiku ,Ningekuwa mimi ndio ningewagonga kabisaaaa tusijiamini kupita kiasi hasa nyakati za usiku .Pole sana jiraniKweli hiyo mbinu ya ukwapuaji , ila kama alikuwa ana uhakika hajagonga why alishuka ? hujui siku hizi kuna majambazi yanakujia kwa njia ya utapeli .
Haaaa huwa wanaboa sana na hilo neno,kwani kuna wakili ambaye amefuzu sio msomi? Au kuna wahitimu wa fani mbali mbali ambao sio wasomi? Kila wakili mara wakili msomi,kwani kuna mawakili ambao sio wasomi yaani hawajaenda Shule na wanafanya uwakili?Hivi kuna wakili anaeruhusiwa kufanya kazi za uwakili lakini asie msomi??