Wakatoliki mmeniangusha sana ndugu zangu. Ina maana kweli mmekosa watu wa kubadilisha upepo wa papa?

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,121
27,128
Poleni sana ndugu zangu wakatoliki kwa taharuki mliyo ipata baada ya kauli tata ya papa.

Binafsi wala hata sioni threat ya maneno ya papa kwa ustawi wa kanisa katoliki duniani..

Wala sioni damage yoyote kwa kanisa katoliki.

Na hii ni kwa sababu, maneno ya papa yana loop holes nyingi mno na yanaweza kugeuzwa na kubadilishwa juu chini na upepo ukabadilishwa ndani ya dakika sifuri na dunia ikakiri ama kwa hakika papa hakumaanisha hicho walichokielewa wao.

Wakatoliki hebu fanyeni hima bana mmalize huo mpira. Kweli mmekosa watu wa propaganda? Watu wa kubadilisha upepo?


Kuna kesi moja maarufu sana ilitokea Uingereza miaka ya 1920s enzi za Lord Denning ( names of the parties nimezisahau ila nakumbuka facts na judgment both in the trial court and at the appellate court)


Ni hivi dogo ( 19 yrs) alihukumiwa kunyongwa kwa kosa la kumuua mkewe ( 18) kwa risasi)

Awali bwana mdogo alikuwa amefunga ndoa na mkewe then Mkewe akarudi kwao baada ya kutokea tofauti. Baada ya muda dogo akahisi mkewe atakuwa kapata mtu mwingine.

On the fateful day dogo akaenda kumuomba msamaha mkewe arudi nyumbani. Mke akagoma. Dogo akampiga risasi mke akafa. Ndugu wa mke wakapiga simu polisi dogo akawa arrested then akahukumiwa maisha. ( ndugu walikuta tayari dogo kamuua mkewe)

Dogo aka appeal ( alipata wakili mzuri )


Utetezi wa dogo kupitia wakili wake:

" Mtukufu Jaji, ninampenda sana mke wangu. Alipo rudi kwao niliumia sana. Nikaona hakuna sababu ya kuishi tena duniani so nikaenda kumuomba arudi kwa malengo kwamba akikataa basi nitaji#a. Nilipoenda kumuona kweli akakataa kata kata. Nilipo ona amesisitiza hataki kurudi nikachukua bastola ili nijimalize. Mke wangu alipoona hivyo akaja kuninyanganya bastola nisimdhuru, katika purukushani hizo bahati mbaya nikabonyeza trigger nikamuua"
Dogo akawa acquitted na upepo ukabadilishwa juu chini. Jamii badala ya kumuona muuaji ikaanza kusymphasize nae.


What am saying here ni kwamba hakuna tukio au kauli ambayo haiwezi kubadilishwa na kumaanisha kinyume chake.

Usiendelee kumlaumu papa ambae ni mzee kwa kutoa kauli tata wakati wewe kijana upo unaweza kubadilisha hiyo kauli.

Let's GO
 
Unataka propaganda ya kazi gani kwenye jambo ambalo liko wazi kwenye waraka? umewahi kuusoma ule waraka au unaimba tu hapa?

Kanisa Katoliki sio chama cha siasa, halihitaji propaganda kwenye mambo yake, umetumia akili ndogo sana kuanzisha huu uzi.

Hata hao wanaodai hawakumuelewa Papa, uamuzi ni wao, wakitaka waondoke na ubinafsi wao au wakipenda wabaki.

Lakini binafsi naamini na nitaendelea kuamini, maneno ya Papa kwenye waraka yamejaa ukristu mwingi, hakuna kuwatenga waovu kwa sababu yoyote ile, vinginevyo hayupo atakayebaki salama kati yetu.

Papa anajua kunyoosheana vidole sio vizuri, leo tukianza na mashoga, kesho tutahamia kwa wezi, kisha waongo, wazinzi, mwishowe Kanisa litabaki peke yake, kwa namna hiyo injili ya Yesu Kristu atahubiriwa nani?

Muache unafiki wa kujiona bora zaidi ya wengine, wengi wenu akili ndogo msioweza kuchambua mantiki ya ule waraka wa Papa, mmebaki mnaimbishana ujinga tu kama watoto wa nursery school.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Unataka propaganda ya kazi gani kwenye jambo ambalo liko wazi kwenye waraka? umewahi kuusoma ule waraka au unaimba tu hapa?

Kanisa Katoliki sio chama cha siasa, halihitaji propaganda kwenye mambo yake, umetumia akili ndogo sana kuanzisha huu uzi.

Hata hao wanaodai hawakumuelewa Papa, uamuzi ni wao, wakitaka waondoke na ubinafsi wao au wakipenda wabaki.

Lakini binafsi naamini na nitaendelea kuamini, maneno ya Papa kwenye waraka yamejaa ukristu mwingi, hakuna kuwatenga waovu kwa sababu yoyote ile, vinginevyo hayupo atakayebaki salama kati yetu.

Papa anajua kunyoosheana vidole sio vizuri, leo tukianza na mashoga, kesho tutahamia kwa wezi, kisha waongo, wazinzi, mwishowe Kanisa litabaki peke yake, kwa namna hiyo injili ya Yesu Kristu atahubiriwa nani?

Muache unafiki wa kujiona bora zaidi ya wengine, wengi wenu akili ndogo msioweza kuchambua mantiki ya ule waraka wa Papa, mmebaki mnaimbishana ujinga tu kama watoto wa nursery school.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sijaelewa huo waraka umemaanisha kipi kati ya haya:

1. Kubariki ndoa ya watu wa jinsia moja walioamua kuoana? yaani, ke + ke na me + me

2. Mwanaume au Mwanamke aliyekuwa/anajihusisha na mapenzi ya jinsia anapoamua kuoa mwenza wa jinsia tofauti?
 
Unataka propaganda ya kazi gani kwenye jambo ambalo liko wazi kwenye waraka? umewahi kuusoma ule waraka au unaimba tu hapa?

Kanisa Katoliki sio chama cha siasa, halihitaji propaganda kwenye mambo yake, umetumia akili ndogo sana kuanzisha huu uzi.

Hata hao wanaodai hawakumuelewa Papa, uamuzi ni wao, wakitaka waondoke na ubinafsi wao au wakipenda wabaki.

Lakini binafsi naamini na nitaendelea kuamini, maneno ya Papa kwenye waraka yamejaa ukristu mwingi, hakuna kuwatenga waovu kwa sababu yoyote ile, vinginevyo hayupo atakayebaki salama kati yetu.

Papa anajua kunyoosheana vidole sio vizuri, leo tukianza na mashoga, kesho tutahamia kwa wezi, kisha waongo, wazinzi, mwishowe Kanisa litabaki peke yake, kwa namna hiyo injili ya Yesu Kristu atahubiriwa nani?

Muache unafiki wa kujiona bora zaidi ya wengine, wengi wenu akili ndogo msioweza kuchambua mantiki ya ule waraka wa Papa, mmebaki mnaimbishana ujinga tu kama watoto wa nursery school.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Bora usemee wewe.
 
Sijaelewa huo waraka umemaanisha kipi kati ya haya:

1. Kubariki ndoa ya watu wa jinsia moja walioamua kuoana? yaani, ke + ke na me + me

2. Mwanaume au Mwanamke aliyekuwa/anajihusisha na mapenzi ya jinsia anapoamua kuoa mwenza wa jinsia tofauti?
None of the above.
 
Wamekusikia Mkuu, tegemea lolote kuanzia sasa.

BARIKIWA SANA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
None of the above.
Sasa alimaanisha kubariki nini?

Hili moja ni jema kabisa, utolewe waraka mwingine libarikiwe.

2. Mwanaume au Mwanamke aliyekuwa/anajihusisha na mapenzi ya jinsia anapoamua kuoa mwenza wa jinsia tofauti ndoa yake ibarikiwe
 
Sasa alimaanisha kubariki nini?

Hili moja ni jema kabisa, utolewe waraka mwingine libarikiwe.

2. Mwanaume au Mwanamke aliyekuwa/anajihusisha na mapenzi ya jinsia anapoamua kuoa mwenza wa jinsia tofauti ndoa yake ibarikiwe
kimsingi hapa alikuwa akimaanisha kupokea mtazamo wao,si kuhukumu.

ukisema ameruhusu waoane kwa ndoa umejichanganya,hakuna kanisa la roma litawapokea madhabahuni watu wa jinsia moja kufunga ndoa takatifu.
 
baada ya huyu Papa atakaefuata atamaliza kona kuunga mkono ushoga waziwazi.
hizo ndio mambo za katoliki,asili ya katoliki ni mambo ya laana na ushetani.
 
Sijaelewa huo waraka umemaanisha kipi kati ya haya:

1. Kubariki ndoa ya watu wa jinsia moja walioamua kuoana? yaani, ke + ke na me + me

2. Mwanaume au Mwanamke aliyekuwa/anajihusisha na mapenzi ya jinsia anapoamua kuoa mwenza wa jinsia tofauti?
Waraka haujabariki ndoa wala mapenzi ya watu wa jinsia moja, waraka umebariki mali za mashoga.

Hii ni sawa na kusema sasa mali za mashoga zitabarikiwa sawa na makiza waongo, wazinzi, walevi, na wote wengine wenye dhambi.

Hii inefanyika ili kuondoa unafiki wa kuona dhambi pekee hapa duniani ni ushoga tu, kumbe sio kweli, dhambi zipo nyingi na zote zinastahili kutubu na kusamehewa, hakuna popote maandiko yanasema ushoga hausamehewi.

Wengi wanaochangia hii kauli ya Papa wanapotosha kwa sababu zao maalum ili kujiliwaza, wanaona raha kulisema vibaya kanisa Katoliki kwa kupenda, au kwa upeo wao mdogo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom