Wakati Waafrika wakiuzwa kama watumwa, Mashehe, Mapadre, wachungaji wa Ulaya, Amerika na Uarabuni walikuwa wapi?

Nkobe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
2,162
3,162
Sote tunajua kuwa imani za dini (Ukristo na Uislam) vilikuwepo kabla ya utumwa. Umewahi kujiuliza wakati Waafrica wanauzwa kama Mbuzi kwenye masoko ya Ulaya, Marekani, Uarabuni, viongozi wa dini wa nchi hizo walikuwa wapi kupinga biashara hiyo, tena nchi kama Marekani watumwa wakilimishwa kwenye mashamba kwa uwazi kabisa? Jambo hili huwa najiuliza sipati majibu.

Kwa upande wa Tanzania, rasilimali zote nyeti zinamilikiwa na wawekezaji huku Watanzania wakibaki kama Watwana kwenye Maliasili zao. Madini yanachimbwa huku michanga ikibebwa na kupelekwa tusipojua, kilichomo humo hatujui, ndege kutoka Dubai inatua Loliondo na kuondoka, hivi tuna uhakika kama wanabeba wanyama hai? Vipi ule wimbo wa kwamba Tanzania iwe tayari kuelekea kwenye uchumi wa gesi ya Mtwara na Lindi, tena tunakaambiwa yatasambazwa mabomba ya gesi, kweli huo uchumi wa gesi tunauona?

Watanzania tusikubali kuingia kwenye mitego ya Wanasiasa, achaneni na propaganda za eti tusichanganye siasa na dini, viongozi wa dini zote, Waislam, Wakristo na dini nyingine, kemea mikataba mibovu. Tukiruhusu mikataba mibovu, vizazi vyetu bila kujali dini zetu vitaishia kuwa dereva bodaboda huku watoto wa kizungu wakitafuna urithi wetu.
 
Sote tunajua kuwa imani za dini (Ukristo na Uislam) vilikuwepo kabla ya utumwa. Umewahi kujiuliza wakati Waafrica wanauzwa kama Mbuzi kwenye masoko ya Ulaya, Marekani, Uarabuni, viongozi wa dini wa nchi hizo walikuwa wapi kupinga biashara hiyo, tena nchi kama Marekani watumwa wakilimishwa kwenye mashamba kwa uwazi kabisa? Jambo hili huwa najiuliza sipati majibu.
Walioshinikiza kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni wamishenari, na baada ya kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni kanisa ndio liliwagomboa watumwa wote waliokuwa sokoni kwa kuwalipia!. Lile kanisa Mkunazini limejengwa mahali palipokuwa na soko la watumwa. Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama
P
 
Walioshinikiza kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni wamishenari, na baada ya kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni kanisa ndio liliwagomboa watumwa wote waliokuwa sokoni kwa kuwalipia!. Lile kanisa Mkunazini limejengwa mahali palipokuwa na soko la watumwa. Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama
P
Utumwa ulikwisha sababu baada ya industry revolution haikuwa efficient tena kuwa na watumwa wakati wangeweza kutumika kuzalisha malighafi wakiwa na illusion kwamba wapo huru...., by the way hata enzi za kina Yesu na Mohammed utumwa ulikuwa order of the day.., haya mambo yanabadilika kutokana na convenience ya watawala at any given time...,
 
Walioshinikiza kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni wamishenari, na baada ya kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni kanisa ndio liliwagomboa watumwa wote waliokuwa sokoni kwa kuwalipia!. Lile kanisa Mkunazini limejengwa mahali palipokuwa na soko la watumwa. Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama
P
Halafu bado munataka waarabu warudi? Labda kama utumwa ulikuwa mzuri waleteni tu- wajukuu bado tunakimbuka historia ya slave trade hadi form six. Hatuwataki watesi wa babu zetu. Warudi tu huko zenj walipotimuliwa Kwa Mapinduzi matukufu na Akina John Okero
 
Walioshinikiza kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni wamishenari, na baada ya kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni kanisa ndio liliwagomboa watumwa wote waliokuwa sokoni kwa kuwalipia!. Lile kanisa Mkunazini limejengwa mahali palipokuwa na soko la watumwa. Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama
P
Nadhani mtoa Mada hajasoma history....waliokuwa wanaendesha biashara za utumwa ni waarabu.na wamisionary na humanitarian ndio walioshinikiza kuachishwa Kwa biashara ya utumwa.kama Kuna watu wa kuwalaumu kuhusu biashara ya utumwa ni hao hao warabu.
 
Nadhani mtoa Mada hajasoma history....waliokuwa wanaendesha biashara za utumwa ni waarabu.na wamisionary na humanitarian ndio walioshinikiza kuachishwa Kwa biashara ya utumwa.kama Kuna watu wa kuwalaumu kuhusu biashara ya utumwa ni hao hao warabu.
Hata waarabu Sio wa kuwalaumu.
Wakulaumiwa ni waafrika wenyewe sababu ya ubinafsi haukuanza Leo.
Mwarabu hakuuingia front kukamata watu Bali mwafrika ndie aliuza ndugu zake,mateka wa vita nk
Pia ilikuwaje lundo la watu wanaswagwa na watu watano toka congo hadi bagamoyo huku wakipita kwenye vijiji vyenye watu bila kushambuliwa nao
 
Walioshinikiza kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni wamishenari, na baada ya kusitishwa kwa biashara ya utumwa ni kanisa ndio liliwagomboa watumwa wote waliokuwa sokoni kwa kuwalipia!. Lile kanisa Mkunazini limejengwa mahali palipokuwa na soko la watumwa. Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama
P
Kiongozi hayo walifanya kwa hila, muda wote UKOLONI unaendelea walikuwa wapi na watumwa walipouzwa walienda kuwanufaisha akina nani?
Wazungu wanajua kutupanga na tukapangika. Tusigombane kwa misingi ya dini wala siasa, tupendane na tuendelee kunywa alkasusu na kahawa pale kwa Mzee...
 
Halafu bado munataka waarabu warudi? Labda kama utumwa ulikuwa mzuri waleteni tu- wajukuu bado tunakimbuka historia ya slave trade hadi form six. Hatuwataki watesi wa babu zetu. Warudi tu huko zenj walipotimuliwa Kwa Mapinduzi matukufu na Akina John Okero

Huyo okello laana za Allah ziwe juu yake, hujui alichowafanyia waislamu sio!! Umefurahia alichokifanya yeye na vibaraka wake sio!! Leo wakwapi hao madhaalim na makatili!! Washafukiwa sio!! Kila nafsi itaonja umauti.

Unavyodai unakumbuka historia ya slave trade hadi form six 😂 ulikuwepo? ni nani alieeneza huu uzushi wa kuaminisha waafrika kwamba waarabu walitesa mababu? Ni aibu sana kuongelea hizi stori, tena usijaribu kuongea kwa watu wanaojitambua watakupiga kofi.
 
640px-Select_Parts_of_the_Holy_Bible_for_use_of_the_Negro_Slaves.jpg
 
Back
Top Bottom