Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 16,338
- 37,779
Huyo jamaa anawaza kibinadamu wakati kutengeneza vitu ni mpaka kutumia vitu.Material thing!
Naona kama umesahau kidogo kwa sababu umejiuliza swali kuhusu Mungu, ambalo si swali mama. Swali mama linatokana na fact hii kwamba, Mungu hana mwanzo wala mwisho. Kwa akili yangu mimi hapa nilipo, angalau naweza kuelewa kiumbe kutokuwa na mwisho, lakini huwa akili yangu huwa inagota pale ninapoambiwa kuwa Mungu hana mwanzo. Si kwamba sikubaliani na ukweli huo, hapana isipokuwa akili yangu haitoshi kuweza kuuelewa ukweli huo, kwa hivyo inabidi niuamini tu. Na hii ni kwa sababu kwenye imani, kuna vitu tunavielewa na kuviamini, na kuna vingine viko juu ya uelewa wetu na hivyo tunaishia kuviamini tu. Uzuri ni kwamba, tusivyovielewa tukishaviamini, tunaona matokeo yake katika ulimwengu wa mwili na wa kiroho sawa na vile tulivyoamini, ila ukiambiwa utoe details za uelewa wako kuhusu vitu hivyo, unashindwa. Vivyo hivyo ukiambiwa utoe details kwamba inawezekanaje kiumbe akawa hana mwanzo, utashindwa vile vile, hili liko juu kiasi kwamba linazidi uelewa wa akili ya mwanadamuKabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.
Je kama tunapigwa changa la macho nikubali tuu?Mkuu acha ku question Ukuu wa Mungu. Wewe jua tu aliumba na ndivyo hivi unaona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ulipofikia ndio ukomo wako wa kuelewa, kwahiyo hapo ndipo unatakiwa ukubali kuwa kuna MUNGU mwenye uweza zaidi. Halafu anza kuamini na kuishi kwa kutenda mema ili upate kufika alipo!Soma vizuri nimesema kabla hajaumba binadamu .
Nauliza wakati anaumba hivo alivyoumba kama ni udongo hayo material yalikuwa wapi
We jamaa napendaga post zako mawazo yako unayajua mwenyewe [emoji850]Kabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.
Hiyo ni lugha yakibinadamu hili uwelewe maaana mungu hata umbo hana yaani ni complicated kuelewa ili kumuelewesha mwanadamu malanyingi inatumika lugha lagiki kwako kuelewa mkuu mfano utasikia “Mungu alisema” mungu hana mdomo, hana sifa yakuongea so ni lugha ya kutuelewesha tu Boss.
Portfolio | 2020
Yalikuwa kwake kama vile ulivyo na sumakuy inashtua moyo wako kupampu damu. Mungu aliijua sumaku kabla ya kuumba wanadamu na akaitumia kushtua mioyo ya viumbe. Moyo wa nyangumi wenye kilo 600 nao unastuliwa na sumaku. Ukipiga hata walio maili 20 watausikia waonaje haya? UDONGO NAO ALIUUMBA HIVO HIVO. MFIKIRIE MUNGU KUWA NI WA AJABU. Usiku na mchana je ulianza vipi?Yalikuwa wapi wakati huo hayakuwepo
Kabla ya big bang kutokea kulikuwa na nini?
Kwa tafsiri nyepesi bado namtafuta Mungu wa kwanza huyo ndio atatupatia majibu ya haya yote.
Hili lijamaa haliamini uwepo wa Mungu linawazia ubishi tu. Mambo ya rohoni hutafsiriwa kwa maneno ya rohoni so ka lijamaa hili liko mwilini hata ukimwambiaje ataishia kupinga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo "mungu" unayemuwaza ambaye lazima apate "material" ndio aweze kuumba hayupo!Kabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.
Time is an illusion, there is no past, present or future, everything just is as is and is forever is.Na Kabda ya kulikuwa na nini, je kulikuwa na nini ?
Time is an illusion, there is no past, present or future, everything just is as is and is forever is.
Wazo hili LA kuandika hivi,ulilipata wapi?Kabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.