Aliyaumba pia.Kabla binadamu hajaumbwa mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa arthi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo materia yaliletwa na nani sasa.
Maandiko yanasema alitamka tu na vikawa. Hata mimes na viumbe vyote, alitamka tu, vikawa.Kabla binadamu hajaumbwa mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa arthi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo materia yaliletwa na nani sasa.
Mkuu, maandiko yanasema binadamu tuliumbwa siku ya sitaKabla binadamu hajaumbwa mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa arthi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo materia yaliletwa na nani sasa.
Maandiko yanasema alitamka tu na vikawa. Hata mimes na viumbe vyote, alitamka tu, vikawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, maandiko yanasema binadamu tuliumbwa siku ya saba ambapo aridhi,maji na mbingu vimeshaumbwa!!!
Ardhi maana yake na vilivyomo ndani ya ardhi (materials)
Maji na vilivyomo ndani ya maji (materials)
Mbingu na vilivyomo ndani ya mbingu (Materials)
Usipate shida sana ..andaa maswali yako yote.Siku ukikutana naye njia nyepesi unampiga maswali.Kabla binadamu hajaumbwa mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa arthi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo materia yaliletwa na nani sasa.
The big bang theory inasema hapo mwanzo palikuwa na 'singularity' ambapo kapunje kamoja kalikuwa na uzito sawa na kila kitu kilichopo hapa ulimwenguni (near infinite density) baada ya kulipuka density yake ikaanza kupungua na material zote zikatokea hapo na kuanza kujioangilia katika galaxies na solar systems..Kabla binadamu hajaumbwa mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa arthi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo materia yaliletwa na nani sasa.
Kabla ya big bang kutokea kulikuwa na nini?Kabla ya kutamka kulikuwa kuna nini
Mungu ana mikono? don't be ridiculous...The only thing MUngu alicho kiumba kwa mikono yake ni MWANADAMU, narudia ni MWANADAMU, huyo tu ndio alitumia hizo raw materials, UDONGO; vingine vyote alikua anatamka tu na KUA
Yalikuwa wapi wakati huo hayakuwepo
Nilikuwa hakuna kitu.Kabla ya kutamka kulikuwa kuna nini
😂 😂 😂 😂 😂Aliyaumba pia.
Portfolio | 2020
Aliumba vitu vyote from nothingness,hapa uwezo wetu wa kufikiri kama binadamu unafika kikomo chake.Kabla binadamu hajaumbwa mungu alianza kuumba vitu na mazingira .
Kwa upande wa arthi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo materia yaliletwa na nani sasa.