Wakati Mungu anaumba alipata wapi nyenzo?

Wakati Mungu anaumba alipata wapi nyenzo?

Kwa hiyo mkubwa kabla hajaja kuumba /kutamka hivi vilivyomo nyuma yake kabla havijakuwepo kulikuwa na nini
God made things out of nothing,
Mungu kaumba vitu bila ya kutumia materials,
Hakuna mwengine awaye yeyote awezaye kuunda vitu bila ya kutumia Materials
Huyo mwenye uwezo wa aina hiyo ni Mmoja peke yake naye Ndo MUngu ndo anayestahiki KUOMBWA MSAADA, KUABUDIWA ,KUTUKUZWA NA KUTIIWA AMRI ZAKE ZOTE.
kwa kuto kutii mamrisho yake ana haki kamili ya kututia adabu kwa utovu wa nidhamu na kiburi cha ujinga wetu.
 
.....Mi naamini yupo ila yupo busy na awapendao. . ni sawa na baba mwenye
familia 2 moja ataizingatia zaidi. Sisi
wengine hatuna zali na maisha in short
hatupo mbele ya macho ya huyo Roho anayeitwa Mungu.
Wee unaamini yuko wapi..yaani yuko mbunguni au huku duniani au huku chini tunakozikwa tukifa
 
kwani sisi binadamu tuko huru kiasi gani?
Kule china wanapambana na Kirusi cha Corona kidogo mno na hawajuwi lakufanya.
Kuna Nzige wanaruka mashambani kwetu ,tumesha anza kuhemewa.hatimae tupulizia mazao yetu sumu ya kuuwa nzige kisha sumu ile tunaila wenyewe kwenye nafaka na vegetable kisha tunapata cancer.
Hatuna uwezo wala uhuru kiviiile.
Tunajigamba kwa sababu Presha ipo 120/80 lakini ikichange kidogo tuu kufikia 160/100 wote taharuki inaanza ,hasa kipindi hiki cha joto.
U see sisi hatuna tunachoweza kukimiliki ,hata usingizi wetu ni issue,ukiukosa usingizi ni hatari ,na ukiupata mwingi ni hatari.
who can controll our sleeping ?
Mbona umewaza mbali sana mkuu
 
Lengo hapa tujue kabla hajaumba kulikuwaje au kulikuwepo na nini nyumba ya hivi alivyoumba
Unatakiwa ujue kwanza hata kama mungu hayupo ila vyote hiv unavyo viona ujiulize vimetoka wapi pia na wewe umetokea wap kama wewe ni natural why mungu ashindwe yeye kua nature kama sis tume tokea tu kimiujiza kwann usiamin hata mungu pia alikuape na ataendelea kuepo kabla ya kufikiria haiwezekan fikiria kwanza mbona ulimwengu upo milele hamna anae jua umeanza lini na utaisha Lin


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo kabla ya hivi vilivyokuwepo tuamini nyuma yake kunabambavyo vilikuwepo na kama vipo ina maana na yeye kulikuwa na mtangulizi wake au ni yeye yeye na kama ni yeye yeye je alitoka wapi hadi sisi yukajamkuta baada ya kutuumba kama tunavyoaminishwa
Kulikuwa na utupu. Lakini kwa upande mwingine ni mambo ya kufikirika zaidi. Inasemekana hata hili gallaxy na dunia tuliyopo, kwake ikawa si ya kwanza, yaweza kuwa ni trillion za mfumo huu zilikuwepo na zikapita, hii itapita na zitakuja zingine.
Yeye kwake ni 'hobi' kuumba na kuangamiza kisha kuumba tena maana ni wa milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama yapi alileta zaidi ya kukuta aliyotanguliziwa na waliomwachia
material yaliletwa na sirikali ya awamu ya5, tuunge mkono juhudi maana bila hivyo hata ulimwengu usingekuwapo.pongezi kwa JPM
 
Hata uwepo wako wewe na mimi ni mimba ILIYOTUNGWA baada ya Mwanamume (baba ) kukutana na mwanamke (Mama) wakastarehe kwa kuingiza utupu wa kiume kwenye ule wa kike na kumwaga maji ya uzazi (sperms) .Kisha wakaendelea na shughuli zao za kawaida ,tahamaki baada ya miezi minne Mwanamke (Mama) akaanza kuvimba tumbo (ujauzito na ndo bada ya wastani wa miezi 9 hivi Kikazaliwa kitoto ambaye ndo wewe unayevuta Bangi leo au mimi Mtabibu ninaye kusimulia neno hili leo.
Hivi unadhani Ni nani kule tumboni kafanya kazi ya kutengeneza structure ile ya kiumbe asie fanana na binadamu mwingine duniani? mwenye Finger Print unique na sura unique. ect.?
Ikiwa hujuwi basi Huyo ndo Mungu kaweka ule mpango mzima na kaendelea kushughulika nao.mfumo huo.
Daah kuna watu mna majibu Mpaka Kutungwa naogopa kusema neno.Mkuu hilo jiwe hatari sana..Atakuwa kalaa huyo..
 
Hata uwepo wako wewe na mimi ni mimba ILIYOTUNGWA baada ya Mwanamume (baba ) kukutana na mwanamke (Mama) wakastarehe kwa kuingiza utupu wa kiume kwenye ule wa kike na kumwaga maji ya uzazi (sperms) .Kisha wakaendelea na shughuli zao za kawaida ,tahamaki baada ya miezi minne Mwanamke (Mama) akaanza kuvimba tumbo (ujauzito na ndo bada ya wastani wa miezi 9 hivi Kikazaliwa kitoto ambaye ndo wewe unayevuta Bangi leo au mimi Mtabibu ninaye kusimulia neno hili leo.
Hivi unadhani Ni nani kule tumboni kafanya kazi ya kutengeneza structure ile ya kiumbe asie fanana na binadamu mwingine duniani? mwenye Finger Print unique na sura unique. ect.?
Ikiwa hujuwi basi Huyo ndo Mungu kaweka ule mpango mzima na kaendelea kushughulika nao.mfumo huo.
Aiseee
 
Hiyo ni lugha ya kibinadamu nimekueleza ili uwelewe mbona nimeExplain hii vilivyo ingetumika lugha ya kiimungu ungeelewa ??

Hakuna binadamu aliyemuona na wala kujua Mungu yupoje na huyo Mungu hana umbo wala huwezi kufikilia yupoje kwaakili yakawaida ya kibinadamu sasa hii ingeleta ugumu endapo atataka kumuelezea au kumjuza jambo binadamu ndipo hapo inakuja kutumika lugha ambayo anaielewa binadamu kwa viongo vyake vya fahamu “Ameumba kwa kutamka tu” hiyo ni lugha ili wewe uwelewe Mkuu, hemu umiza ubongo kabla ujajibu sio ishu nyepesi hii.

Portfolio | 2020
Nataka tofauti ya kuumba kwa mikono na kwa kutamka.., considering hana mikono wala mdomo..
 
kwa ufupi Biblia ambacho ni chenge habari kumuhusu Muumba haitaji Muumba alitoa wapi material hilo ndilo jibu la uhakika na ni hatari sana ukisia kisia inapohusu mambo ambayo hayapo wazi...

Andiko la mwanzo linasema tu Hapo Mwanzo ( ambayo haiyulikani ni lini hasa na ilichukua urefu gani kisha linaendelea) Mungu aliumba mbingu na nchi.....
Baadaye linataja vipindi sita vya uumbaji vinavyoitwa siku ambayo Muumba aliumba vitu vingine kutia ndani wanyama, ndege, Binadamu n.k.
kwa materials ya Binadamu yanatajwa kihususa kuwa ni Udongo na Pumzi ya Mungu.

Uhai—Ulitokana na Muumba?
 
ALIKUWEPO NENO NA HUYO NENO AKAWA NENO!! Ukielewa hapo hutauliza tena au ndio matokeo ya majani ya Arusha kichwani he he!!
 
Kwa hiyo baada ya hapo mwanzo kulikuwa na nini kabla yeye hajaja
kwa ufupi Biblia ambacho ni chenge habari kumuhusu Muumba haitaji Muumba alitoa wapi material hilo ndilo jibu la uhakika na ni hatari sana ukisia kisia inapohusu mambo ambayo hayapo wazi...

Andiko la mwanzo linasema tu Hapo Mwanzo ( ambayo haiyulikani ni lini hasa na ilichukua urefu gani kisha linaendelea) Mungu aliumba mbingu na nchi.....
Baadaye linataja vipindi sita vya uumbaji vinavyoitwa siku ambayo Muumba aliumba vitu vingine kutia ndani wanyama, ndege, Binadamu n.k.
kwa materials ya Binadamu yanatajwa kihususa kuwa ni Udongo na Pumzi ya Mungu.

Uhai—Ulitokana na Muumba?
 
Kabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .

Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.
Mkuu acha ku question Ukuu wa Mungu. Wewe jua tu aliumba na ndivyo hivi unaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom