Wakati Mungu anaumba alipata wapi nyenzo?

Wakati Mungu anaumba alipata wapi nyenzo?

Sasa kama alikuwa akitamka tu kwanini siku ya 7 alichoka akapumzika?

Na yeye jinsi alivyo na akili aliumbwa na nani? Haiwezekani awe alitokea tu... Kama alitokea tu bila chanzo basi hata ulimwengu unaweza kutokeza bila muumbaji au akatokea Mungu mwingine mwenye nguvu kumzidi
Na tujue huko alikotokea ilikuwa ni wapi
 
Kabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .

Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.
Material yote uyaonayo ni kwa ajili yetu tu.....

Mungu yuko nje ya mfumo wa MATERIALS yenye kushikika na yanayoonekana na yasiyoonekana.....

1)WHAT-haimhusu Mungu
2)WHY-haimhusu Mungu
3)HOW-haimhusu Mungu
4)WHEN-haimhusu Mungu
5)WHERE-haimhusu Mungu....

👆👆👆👆👆👆👆👆👆
Uwepo wa Mungu huanza nje ya VITU HIVYO........

Yeye husema tu na VINATOKEA.....

#Yetzer ha-tov
 
Material yote uyaonayo ni kwa ajili yetu tu.....

Mungu yuko nje ya mfumo wa MATERIALS yenye kushikika na yanayoonekana na yasiyoonekana.....

1)WHAT-haimhusu Mungu
2)WHY-haimhusu Mungu
3)HOW-haimhusu Mungu
4)WHEN-haimhusu Mungu
5)WHERE-haimhusu Mungu....

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Uwepo wa Mungu huanza nje ya VITU HIVYO........

Yeye husema tu na VINATOKEA.....

#Yetzer ha-tov
Kwa hiyo Mungu yeye alitoka wapi
 
Kabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .

Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.
unajua maana ya neno CREATE,MAKE na EDIT je unajua maana ya neno ENERGY

hv vitu nafundishwa sana darasan ila huwa hamuelewi

Mfano rahisi hakuna mwanasayansi anaweza tengeneza sauti but wapo wanaweza kuedit sauti
 
unajua maana ya neno CREATE,MAKE na EDIT je unajua maana ya neno ENERGY

hv vitu nafundishwa sana darasan ila huwa hamuelewi

Mfano rahisi hakuna mwanasayansi anaweza tengeneza sauti but wapo wanaweza kuedit sauti
Tukienda huko tutapata jibu tofauti na swali langu .
bado hujanishawishi unataka kuniaminisha unachoamini wewe wakati kuna tofauti hapo
 
Hiyo space iliwekwa na Mungu
Hata hamueleweki wengine wanasema kabla ya mungu kulikuwa na space na wengine wanasema hiyo space iliwekwa na roho na wengine wanasema hiyo roho ilowekwa na mungu yaani ni vululu vululu kanjanja kanjanja tuu hamueleweki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la Mungu naona kila anashindwa kulielewa. Mungu maanake ni chanzo au kisabishi cha uwepo wa ulimwengu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom