wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,494
- 29,278
- Thread starter
- #181
Hili neno lilitoka wapi au lilikuwa wapiAlie umba ni neno, Mungu ni space
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili neno lilitoka wapi au lilikuwa wapiAlie umba ni neno, Mungu ni space
Kuwa mvumilivu..Sasa hii wewe umeitoa wapi kama kwenye biblia haipo?.
Vilikuwa na yeye Na yeye!! Yaani vilikuwa ni sehemu ya mwili wake.Hivyo navyo vileletwa na nani
Sasa havijawa revelead lakini wewe unavijua au wewe ndiye yesu mwenyewe?.Kuwa mvumilivu..
YESU mwenyewe atakuja kukufundisha hii kitu uliyoniuliza nimeipata wapi atakaporudi kipindi cha Milenium.
Kuna vitu vingi havijawa revealed sababu hatuna imani ya kutosha kuvielewa.
kwamujibu waBiblia usidhani ule mwingine banaUtupu tena 🥲🥲
Hakika Mkuu...katika galaxy kuna sayari zaidi ya bilioni yaani huu ulimwengu ni mkubwa hauna mfano kuna picha ilipigwa na chombo cha voyager, umbali wa mamilioni ya milles dunia inaonekana kama kidoti picha ilipigwa miaka 21 iliyopita na chombo hicho
View attachment 1363737
yaani katika ulimwengu dunia ni kama tone la mchanga, yaani tupo wapweke, kuna misayari ipo mingi mingine ipo mbali yaani ulimwengu unatisha, na kuna mambo hta wanasayansi hawayajui anaeyajua ni mungu pekee
Sent using Jamii Forums mobile app