Wakati Mungu anaumba alipata wapi nyenzo?

Wakati Mungu anaumba alipata wapi nyenzo?

Muwe mnafikiria nje ya Biblia Basi hata mara moja moja.

Yaani hamuwezi ku-argue kitu nje ya biblia!!! Sasa tuna akili za nini ikiwa tunafikira tu nje ya boksi?

Kizibo
kwani sisi binadamu tuko huru kiasi gani?
Kule china wanapambana na Kirusi cha Corona kidogo mno na hawajuwi lakufanya.
Kuna Nzige wanaruka mashambani kwetu ,tumesha anza kuhemewa.hatimae tupulizia mazao yetu sumu ya kuuwa nzige kisha sumu ile tunaila wenyewe kwenye nafaka na vegetable kisha tunapata cancer.
Hatuna uwezo wala uhuru kiviiile.
Tunajigamba kwa sababu Presha ipo 120/80 lakini ikichange kidogo tuu kufikia 160/100 wote taharuki inaanza ,hasa kipindi hiki cha joto.
U see sisi hatuna tunachoweza kukimiliki ,hata usingizi wetu ni issue,ukiukosa usingizi ni hatari ,na ukiupata mwingi ni hatari.
who can controll our sleeping ?
 
Nimekuelewa! Ila ni kwanini asingetamka tu na binadamu akatokea? ... Je, kulikuwa na makusudi yapi Mungu kumuumba mwanadamu kwa udongo na SIO kwa kutamka tu na KUA???

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka nahisi hiyo nayo ni mipango na utaratibu wake aliojiwekea mwenyewe. Hata humu duniani, kuna watu wana pesa na wanatembelea NDINGA kali kali but nguo zao za mitumba tu, haina maana kwamba hawana uwezo wa kununua nguo za dukani, mipango tu
 
big bang ni theory ya kutunga haina ushahidi na hakuna Binadamu aliyekuwepo wakati huo.Ni Nadharia ya kisayansi tu
Ni theory ofcourse, na kuna evidence nyingi za kuitetea, mfano background radiation ni remnants za huo mlipuko..
 
Kabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .

Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.
Unatakiwa ujue kwanza hata kama mungu hayupo ila vyote hiv unavyo viona ujiulize vimetoka wapi pia na wewe umetokea wap kama wewe ni natural why mungu ashindwe yeye kua nature kama sis tume tokea tu kimiujiza kwann usiamin hata mungu pia alikuape na ataendelea kuepo kabla ya kufikiria haiwezekan fikiria kwanza mbona ulimwengu upo milele hamna anae jua umeanza lini na utaisha Lin


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeuliza mikono na kutamka, sasa kwanini aseme huyu kaumbwa kwa mikono huyu kwa kutamka, what is the logic in that?
Hiyo ni lugha ya kibinadamu nimekueleza ili uwelewe mbona nimeExplain hii vilivyo ingetumika lugha ya kiimungu ungeelewa ??

Hakuna binadamu aliyemuona na wala kujua Mungu yupoje na huyo Mungu hana umbo wala huwezi kufikilia yupoje kwaakili yakawaida ya kibinadamu sasa hii ingeleta ugumu endapo atataka kumuelezea au kumjuza jambo binadamu ndipo hapo inakuja kutumika lugha ambayo anaielewa binadamu kwa viongo vyake vya fahamu “Ameumba kwa kutamka tu” hiyo ni lugha ili wewe uwelewe Mkuu, hemu umiza ubongo kabla ujajibu sio ishu nyepesi hii.

Portfolio | 2020
 
Kabla ya kutamka kulikuwa kuna nini
Kulikuwa na utupu. Lakini kwa upande mwingine ni mambo ya kufikirika zaidi. Inasemekana hata hili gallaxy na dunia tuliyopo, kwake ikawa si ya kwanza, yaweza kuwa ni trillion za mfumo huu zilikuwepo na zikapita, hii itapita na zitakuja zingine.
Yeye kwake ni 'hobi' kuumba na kuangamiza kisha kuumba tena maana ni wa milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upatikanaji wa 'Materials' ni either aliazima au alishirikiana. Kama inavyofahamika Mungu ni infinite na endless, kwa maana hiyo zipo dalili na tafsiri zisizo wazi juu ya Mungu.

Mungu alimuamba Elon Musk kwa materials na Elon akaumba/kuunda robots za Mars hivyo Elon ni Mungu wa robots, na baada ya miaka 2000 kuwa advanced robots watamtambua Elon kama Mungu huku wao wakiumba pia.

Kinachonitatiza who is the first God?!
1st God ndiye anayeongelewa kwenye topic hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla binadamu hajaumbwa Mungu alianza kuumba vitu na mazingira .

Kwa upande wa ardhi kama udongo hivi materials aliotumia hadi ukawa udongo sasa alipata wapi na hayo material yaliletwa na nani sasa.
material yaliletwa na sirikali ya awamu ya5, tuunge mkono juhudi maana bila hivyo hata ulimwengu usingekuwapo.pongezi kwa JPM
 
Mkuu, maandiko yanasema binadamu tuliumbwa siku ya saba ambapo aridhi, maji na mbingu vimeshaumbwa!

Ardhi maana yake na vilivyomo ndani ya ardhi (materials)

Maji na vilivyomo ndani ya maji (materials)

Mbingu na vilivyomo ndani ya mbingu (Materials)
Maandiko yapi yanayosema binadamu aliumbwa siku ya saba?
 
hajui tofauti ya creation na makingi.

making is making something from something mfano unatengeneza mlango kwa kutumia mbao


creating is making something from nothing, no use of any mateal

mfano God made man he didnt create man sababu alichukua udongo lakini mbingu na nchi na vyote nje ya binadamu were created.

God us a Creator
Definition yako ya creation siyo sahihi.. creation..uumbaji..ni kufanya kitu kisichokuwepo kiwepo bila kujali material au nyenzo zilizotumika..hivyo..Mungu aliumba wanadamu
 
Kwa hiyo yeye hakuumba alikuja na akavikuta kwa maana nyingine basi kuna aliepita kabla yake si ni ndio?
Pale tunapo muita MUNGU kwa jina hilo ,linamaanisha si kiumbe yeyote yule,
Uwepo wake hauwezi kujadiliwa kwani Yeye yupo,alikuwepo na ataendelea kuwepo,.Vitu vyote havikuwepo kabla Yake,kisha Yeye Mungu akaviumba vitu na vika wepo ikiwemo huo Udongo,maji, mawe n.k,Kisha vitu hivyo vyote vitatoweka(material decay au deth kwa venye uhai) ,kisha Yeye Mungu atarudisha akipendacho katika vitu hivyo akiwemo Bina damu.
Yeye ni MUUMBA-Yaani muanzilishi wa viumbe,hakukopi pahali popote ila ali design yeye kwa elimu na hekima kuu ya Kiuungu.
WACHA MUNGU AITWE MUNGU
 
Êi wanaume saba alafu ndio mimba ikatungwa?ina maana mtoto mmoja ana baba 7? Ebu acha masihara bhana
Hata uwepo wako wewe na mimi ni mimba ILIYOTUNGWA baada ya Mwanamume (baba ) kukutana na mwanamke (Mama) wakastarehe kwa kuingiza utupu wa kiume kwenye ule wa kike na kumwaga maji ya uzazi (sperms) .Kisha wakaendelea na shughuli zao za kawaida ,tahamaki baada ya miezi minne Mwanamke (Mama) akaanza kuvimba tumbo (ujauzito na ndo bada ya wastani wa miezi 9 hivi Kikazaliwa kitoto ambaye ndo wewe unayevuta Bangi leo au mimi Mtabibu ninaye kusimulia neno hili leo.
Hivi unadhani Ni nani kule tumboni kafanya kazi ya kutengeneza structure ile ya kiumbe asie fanana na binadamu mwingine duniani? mwenye Finger Print unique na sura unique. ect.?
Ikiwa hujuwi basi Huyo ndo Mungu kaweka ule mpango mzima na kaendelea kushughulika nao.mfumo huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom