battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,715
- 2,582
NAKUBALI KUWAKwa hiyo mkubwa kabla hajaja kuumba /kutamka hivi vilivyomo nyuma yake kabla havijakuwepo kulikuwa na nini
Kuendelea kutaka kujuwa yaliyokuwepo kabla ya sisi kuwepo ,ni kudadisi jambo lisilokuwa na maslahi yoyote ,kwani hata kama utajuwa itakusaidia nini?
na kama usipojuwa utakuwa umekosa nini?
Hii elimu ya Udadisi ina kikomo na maslahi katika mambo ya msingi kwa maslahi ya binadamu ,lakini si katika hili.
Kwa nini hatudadisi uwezekano wa sisi kuishi bila ya kufaa na tukatafutanjia ya kuweza kuishi tuu?
Kwa nini hatudadisi kuishi bila ya kula na kwenda haja kila siku,kisha kesho tunataka tena kula,Na ujuwe huli mpaka ufanye kazi,
Kwa nini hatudadisi namna ya kuzuia kuumwa kabisa iwe hatuumwi,na ikibidi basi tuvumbue dawa ya kila ugonjwa tulionao duniani?
Kwa nini hatudadisi ,kwa kila tunalolifikiri liwe bila ya kulifanyia juhudi,yaani
kun fa yakun
yaani
ukiona kiu tu pale pale yaje maji kutoka huko yalipo.
Ukimtamani msichana ,aje pale pale akuambie twende tukafanye mambo.
Vipi Udadisi kama huu hautoshi?
Kuendelea kudadisi hali iliyokuwepo Pale Mungu alipokuwa Pweke na kabla ni Kujitia Upumbavuni tuu,
Huyo Mungu mwenyewe hata kumjuwa Ukuu wake na peo wa ufalme wake hatuna ,tutayajuwa yaliyokuwa Nyuma yake.
Lets go Find Him First