YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
hajui tofauti ya creation na makingi.mkifundiswa kila kitu material basi una muwazia mpaka mungu
making is making something from something mfano unatengeneza mlango kwa kutumia mbao
creating is making something from nothing, no use of any mateal
mfano God made man he didnt create man sababu alichukua udongo lakini mbingu na nchi na vyote nje ya binadamu were created.
God us a Creator