vexozanzhu
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 503
- 619
Akili za Robots zipo programed hawana roho au utashi wa kutambua unless vyote unavyosema viwe programmed yani roboti hawezi kwenda kumwambia roboti mwingine njoo nikusimulie ulimwengu ulivyo atadeal na jinsi alivyopangiwa kufanya tu na atafanya jinsi alivyokuwa orderd na mwanadamu aliyeumbwa na Mungu,roboti ni mashine inayotembea kusema mungu wa mashine may be."...Elon ni Mungu wa robots, na baada ya miaka 2000 kuwa ADVANCED robots watamtambua Elon kama Mungu huku wao wakiumba pia."
Labda tuongelee sayari ya kufikirika ya Cybertrone ya Transformers kwa kina Optimus Prime(lord primus) na Bumblebee ambao wao walitoka moja kwa moja kwenye sayari nyingine bila kupitia utengenezaji/kuundwa na mwanadamu wao inadhaniwa kuwa ni viumbe wengine walio katika Ulimwengu huu ukiachana na Alliens.