Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,771
Wewe ndio huelewi mkuu, anza cheke chea utaelewaHata hamueleweki wengine wanasema kabla ya mungu kulikuwa na space na wengine wanasema hiyo space iliwekwa na roho na wengine wanasema hiyo roho ilowekwa na mungu yaani ni vululu vululu kanjanja kanjanja tuu hamueleweki
Sent using Jamii Forums mobile app