CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,387
- 6,481
umeona mambo yenu eeeh
Smile gazeti hili ni la wapi mbona sijawahi kuliona Bukoba. Please let me know! I would like to read it!
umeona mambo yenu eeeh
NAULIZA,jamani,kwanini mimi kama muhaya,nitakapo kuwa na uhusiano wa mapenzi na mtanzania wa kabila tofauti na mimi,scrutiny kubwa dhidi yangu has to take place,kwani sisi male wa kihaya tunatatizo?akina dada wengi wapo tayari kutoka na kabila lolote lakini sio muhaya,is it that our malehood una walakin? i understand kuna certain stigma's attached to wahaya,lakini hello,for god's sake,hii ni karne mpya,and on top sisi ni generation mpya. sifurahi kusikia akina dada wakisema nitatoka na muhaya as a last resort.naombeni majibu ndugu zangu
Ni kweli WAHAYA mmezidi kujiweka juu! I appreciate the courage and their ability to struggle for good education and development as well but for sure they must understand that God created human being with different talents and behavior as well as the IQ capacity. The point is, one should bear with one another with love and total adherence towards the good end. Inabidi wahaya waache kuringa na kutaka watu wote wawe kama wao - NSHOMILE.......
on top of that wahaya wanapenda sana ile mambo ya kugegenda jamani sio siri na ni wataalamu kinoma!
Capital mbona unatukana tena wakati unachukua kutukana. Bati nanka leka kujuma abakulu, ati ni mbwaki elikugamba!
Sorry jamaa angu. Huyu ndugu kanikera sana.... Unajuwa kuna mambo ya kuvumilia na mengine si ya kuvumilia. Thanks
Humu ndivyo watu walivyo! Usiwe na hasira sana, si unajua na ka wivu kamo, tulipiga hatua kubwa kielimu kuliko wengi siku za nyuma sasa ndio wengine nao wanachipukia. Ni kawaida tu!
yaani post yako tu inaonyesha uhaya hata ukituma barua ya posa kiswa-nglish ndani
NAULIZA,jamani,kwanini mimi kama muhaya,nitakapo kuwa na uhusiano wa mapenzi na mtanzania wa kabila tofauti na mimi,scrutiny kubwa dhidi yangu has to take place,kwani sisi male wa kihaya tunatatizo?akina dada wengi wapo tayari kutoka na kabila lolote lakini sio muhaya,is it that our malehood una walakin? i understand kuna certain stigma's attached to wahaya,lakini hello,for god's sake,hii ni karne mpya,and on top sisi ni generation mpya. sifurahi kusikia akina dada wakisema nitatoka na muhaya as a last resort.naombeni majibu ndugu zangu
mimi sio muhaya ,ila huwa natumiaga gia ya kujiita muhaya ili kumega hawa jinsia nyingine..
Utasikia wenyewe wanasema "wewe muhaya kweli,mbona huna tabia zao?"...hah hah hah hah...
Tatizo lako Mbwembwe nyingi,sio kabila.
Kwani wahaya kwa asili hawatahiri kuondoa govi? Naomba jibu pls japo nje ya mada kuu
NAULIZA,jamani,kwanini mimi kama muhaya,nitakapo kuwa na uhusiano wa mapenzi na mtanzania wa kabila tofauti na mimi,scrutiny kubwa dhidi yangu has to take place,kwani sisi male wa kihaya tunatatizo?akina dada wengi wapo tayari kutoka na kabila lolote lakini sio muhaya,is it that our malehood una walakin? i understand kuna certain stigma's attached to wahaya,lakini hello,for god's sake,hii ni karne mpya,and on top sisi ni generation mpya. sifurahi kusikia akina dada wakisema nitatoka na muhaya as a last resort.naombeni majibu ndugu zangu
wasukuma hawaeleweki makazi yao yapo wapi zamani nilikua nafahamu wasukuma wapo mwanza tu kumbe wapo shinyanga, tabora juzi nimeambiwa eti wapo na Zanzibar . sasa kwann nianze kubahatisha , c watulie mkoa 1
wasukuma hawaeleweki makazi yao yapo wapi zamani nilikua nafahamu wasukuma wapo mwanza tu kumbe wapo shinyanga, tabora juzi nimeambiwa eti wapo na Zanzibar . sasa kwann nianze kubahatisha , c watulie mkoa 1