Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

Umeianzisha habari sasa wataka kuja juu. Nani anajua kuwa mmeshabadilika? Asili ni asili tu. Utadhaniwa hivyo mapaka inapothibitishwa kuwa umetahiri vinginevyo mtafikiriwa hivyo siku zote.

leo wakurya tumepona kwenye hii list loh Mungu mkubwa.
 
polen sana ndo ukubwa huo...historia inawahukumu jamaa..sio wanaume tu hata wanawake...mnaogopeka sana nyie.
 
polen sana ndo ukubwa huo...historia inawahukumu jamaa..sio wanaume tu hata wanawake...mnaogopeka sana nyie.[/QUOTE

tunaogopewa sababu ya no nonsense approach towards life-backwards never forwards ever- ukiingia anga zetu bila confidence ujue imekula kwako
 
wasukuma hawaeleweki makazi yao yapo wapi zamani nilikua nafahamu wasukuma wapo mwanza tu kumbe wapo shinyanga, tabora juzi nimeambiwa eti wapo na Zanzibar . sasa kwann nianze kubahatisha , c watulie mkoa 1

Wako pia bonde la usangu, kilosa na lindi. Teh teh
 
Mmenikumbusha mkazi wange koku...nshomiree kumtima....afu mi mkibosho pyuaa
 
Kuna refiki yangu aliwahi kuapaa(
namnukuhu) " hata abaki mwanaume mmoja duniani, kama ni mhaya, ni bora nife bila kuolewa"
 
Kuna refiki yangu aliwahi kuapaa(
namnukuhu) " hata abaki mwanaume mmoja duniani, kama ni mhaya, ni bora nife bila kuolewa"
Huyo rafiki yako lazima atakuwa na shape kama ya kabati hence anajihami mapema
 
Nimeishi na wahaya kwa muda mrefu tu,ni watu wazuri na hata shuleni walikuwa marafiki zangu sana tena damu damu na wamenisaidia kwa mengi tu na hawakunitenga hata siku moja.Tatizo walilonalo ni moja tu,flag za kisanguine sanguine.Vile vile washaija hawana shida sana,wenye shida ni wasichana wa kihaya.
 
Mkuu,kwani generation ya zamani ya kihaya ilikuwa na nini? Je muhaya anachunguzwa kuliko Mkurya?


NAULIZA,jamani,kwanini mimi kama muhaya,nitakapo kuwa na uhusiano wa mapenzi na mtanzania wa kabila tofauti na mimi,scrutiny kubwa dhidi yangu has to take place,kwani sisi male wa kihaya tunatatizo?akina dada wengi wapo tayari kutoka na kabila lolote lakini sio muhaya,is it that our malehood una walakin? i understand kuna certain stigma's attached to wahaya,lakini hello,for god's sake,hii ni karne mpya,and on top sisi ni generation mpya. sifurahi kusikia akina dada wakisema nitatoka na muhaya as a last resort.naombeni majibu ndugu zangu
 
Mnac, nini maana ya hii "flag za kisanguine sanguine"
 
Last edited by a moderator:
mimi sio muhaya ,ila huwa natumiaga gia ya kujiita muhaya ili kumega hawa jinsia nyingine..
Utasikia wenyewe wanasema "wewe muhaya kweli,mbona huna tabia zao?"...hah hah hah hah...
Tatizo lako mbwembwe nyingi,sio kabila.

mkuu,we kama mimi yaani..
 
navyosikia wahaya hawajui kuongea na wanawake wao vizuri maana hawana respect. Wana tabia ya kujisikia tu na kuwadharau watu kutoka makabila mengine.wakina kaka mkiwa kwenye relationship usifanye kama wewe ndiyo bosi maana wakina dada wa makabila mengine hawajazoea hizo tabia.mimi naona wahaya kwa wahaya watawezana wenyewe kwa wenyewe

ila mademu wanawasifu hawa jamaa eti wanajua sana kukuna,ina maana ni wanafiki au?
 
mna mbwembwe sana hadi mnachosha, sio wanaume tu hata wanawake, wote lenu moja
 
Mi ni Mhaya, nimemuoa Mhaya, ila kwa wengine nikiwahitaji wala hawanitosi kwa kigezo cha uhaya
 
Mimi na wahaya damu damu hasa kwa kupiga ile kitu katerero.
 
Back
Top Bottom